kuelewa kwa haraka huwa kunatokana na upeo wa akili uliyonayoinanichanganya mpaka nashindwa kuelewa
kuelewa kwa haraka huwa kunatokana na upeo wa akili uliyonayo
uliyonayo ni mengi, ila kiukweli hayavutii.
mtetemo wa masaburi ndiyo mvuto wenyewe, wengine wanaita kibipio!!masaburi yanayovutia sana ni yale ya mtetemo.
mtetemo wa masaburi ndiyo mvuto wenyewe, wengine wanaita kibipio!!
kibipio wakiwa na maana ipi
ipi ndio ilinifanya nikupende wewe!
Wewe! acha zako huyo kashaolewa kitambo
kitambo Sana nimeshawekwa kinyumba na mume wangu kipenzi
Kipenzi huyo huyo anaitwa kipenzi na demu mwingine.
Mtalia na kuomboleza enyi wote mnaowatenda wenzi wenu, mie na wangu swadaktaYangu nayaweka moyoni... Nikiyato mtalia
SWADAKTA hata kwa asiye na mpenzi lakini mapozoe yanaweza kuwa kwa huyo unayemmiliki!Mtalia na kuomboleza enyi wote mnaowatenda wenzi wenu, mie na wangu swadakta
Unayemmiliki ni yule tu uliyemtolea mahari.SWADAKTA hata kwa asiye na mpenzi lakini mapozoe yanaweza kuwa kwa huyo unayemmiliki!
Unayemmiliki ni yule tu uliyemtolea mahari.
kubebana ni sawa imo, lakini heshima ya ndoa inabakia kuwa mahari.Mahari haina lazma cku hzi tunabebana tu
kubebana ni sawa imo, lakini heshima ya ndoa inabakia kuwa mahari.