Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

kijana kuwa makini sana katika kuchagua mke lasivo utauvaa mkenge ujutie maisha yako yote
 
Yote kwa yote baada ya Warioba kudhalilishwa akuna kilicho fanyika zaidi kusikia mtuumiwa kapanda chati!!
 
Jaji warioba ni kati ya majaji waliojipatia heshima kwa watanzania hasa katika kipindi cha katiba mpya
 
Mashahara wa dhambi ni mauti,,,, ipo siku hili kundi kubwa la Watanzania linalopewa elimu mbovu isiyo na viwango litageuka kuwa hatari kwa walowezi wachache wenye neema..... maana HAKUNA LISILO NA MWISHO.
 
Mwisho lazima tubadilishane maisha angalau kwa dakika chache..wa masaki wahamie uswazi aka mbagala kwa tumbo na wa uswazi waende masaki apo tutaheshimiana hilo linawezekana kama kijana itakua zamu yako...kuwa chachu ya mabadiliko
 
yetu macho tumeshuhudia messi akikosa penati na kurudia tena kwa kichwa,tena kakosa dah.ameonyesha udhaifu sana kumbe cr7 ni mtu hatari
 
Hatari kubwa ni ccm wanaotumia ujinga wa watanzania wengi kama rasheyd kuwa madarakan wakitumia mwavuli wa amani amani gani wakat albino wanauawa kama kuku!? Watu wanatekwa na hao hao viongozi? Tunahitaji mabadiliko ya fikra
 
Back
Top Bottom