Wa mwisho ndiyo mshindi

Komba ni wataalamu wa kula ndizi mbivu kijijini kwetu
 
Kweli Lulu aliliwa mbunye na Kapteni au ni uzushi wa magazeti?
 
Magazeti ya michezo! hasahasa mwanasport nayapenda sana! huwezi kukuta habari ka hizoo!
 
Tanzania ni nchi pekee yenye rasilimal za kutosha japokuwa imeshindwa kuzitumia
 
Kututawala watu kama Mkama zeddy tunaovuruga mtiririko wa uzi ni vigumu
 
Last edited by a moderator:
vigumu sana kuona huu mtiririko ukiharibika hasahasa kama watu wote mtajielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…