Wa mwisho ndiyo mshindi

Muda wa kipindi cha pili niliwapenda juve, sema wakajichanganya kweny zile sub.
 
Nguvu zangu ni kwa ajili ya sweatheart#Mwana.
 
Jioni ndio mida yetu,anapafahamu nyumbani maana ni kwake. Namsubiri kwa hamu japo atakuwa amechokwa kwa kutembezwa kwa miguu.
Mwana ninae huku, tunasherehekea ubingwa wa UEFA huko atakuja jioni
 
Last edited by a moderator:
Jioni ndio mida yetu,anapafahamu nyumbani maana ni kwake. Namsubiri kwa hamu japo atakuwa amechokwa kwa kutembezwa kwa miguu.

Miguu yangu ni ya kikomando inauwezo wa kutembea mengi ma kilometre, ila yy nilikua nae kwenye gari ili asichoke
 
Asichoke kwa ajili yetu baadae usiku.Asante mkuu kwa ushirikina wako,tayari amerejea home salama.
Miguu yangu ni ya kikomando inauwezo wa kutembea mengi ma kilometre, ila yy nilikua nae kwenye gari ili asichoke
 
Mkuu b5-Click na Mkuu Pepsin tutangaze washindi ni sisi watatu
 
Gani ndio nini wakati ulidai umeshinda nae? Kumbe huna lolote.Mwana una hekima na busara sana and thats why I real love you baby.
Watatu wengi sana, wa kwanza Ww,, wa pili Mimi wa tatu pepsin.. U hali gani Mwana
 
Last edited by a moderator:

Zaidi ya nilivyotarajia nchi ya kenya imeboresha usafiri wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…