Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Mbili, tatu za falsafa za siasa ni kuhadaa ummaViumbe hatari zaidi katika ustawi wa nchi yetu siyo bacillus bacteria, wala plasmodium, wala HIV wala corona -- ila ni wale watu wanaotuhadaa kuwa ni viongozi wetu na wapo kwa ajili ya maslahi mapana ya umma, ilhali hata wangepewa miaka elfu ofisini hakuna lolote bora la mafanikio watendalo zaidi tu ya kuendekeza uzembe, rushwa, ufisadi, kujinufaisha, migawanyiko, ugomvi, migogoro na ulevi kwa namna zake mbili.
Umma unahadaika tu kwa kupenda wenyewe, kwa sababu kila raia anapaswa kutumia akili yake timamu kufanya maamuzi sahihi badala tu ya kutegemea akili za kuambiwa ambazo aghalabu matokeo yake ni madhara makubwa kwa taifa letu, leo na keshoMbili, tatu za falsafa za siasa ni kuhadaa umma
Kesho taifa letu litakuwa na Mustakabali imaraUmma unahadaika tu kwa kupenda wenyewe, kwa sababu kila raia anapaswa kutumia akili yake timamu kufanya maamuzi sahihi badala tu ya kutegemea akili za kuambiwa ambazo aghalabu matokeo yake ni madhara makubwa kwa taifa letu, leo na kesho
Imara sana kwa sababu ya msingi bora ambao umewekwa particularly kuanzia kipindi cha miaka mitano iliyopita ya viongozi wanaojua maana halisi ya uzalendo wa kweli, utumishi wa haki na sheria, nidhamu na miiko ya kazi, weledi, uwekevu, kubana matumizi, ubunifu, bidii, ushupavu na kumtanguliza Mola kwa maslahi mapana ya maendeleo ya taifa, na pia utekelezaji fanisi wa vitendoKesho taifa letu litakuwa na Mustakabali imara
Vitendo ni bora kuliko maneno...Imara sana kwa sababu ya msingi bora ambao umewekwa particularly kuanzia kipindi cha miaka mitano iliyopita ya viongozi wanaojua maana halisi ya uzalendo wa kweli, utumishi wa haki na sheria, nidhamu na miiko ya kazi, weledi, uwekevu, kubana matumizi, ubunifu, bidii, ushupavu na kumtanguliza Mola kwa maslahi mapana ya maendeleo ya taifa, na pia utekelezaji fanisi wa vitendo
Meneno mengi anaandika Jasmoni Tegga ,anataka tuelewe kwa uhakikaVitendo
Vitendo ni bora kuliko maneno...
Uhakika wa safariMeneno mengi anaandika Jasmoni Tegga ,anataka tuelewe kwa uhakika
Safari ya kwenda wap ndugu yangu,unataka kuniacha hapa jamviniUhakika wa safari
Jamvini nitamuacha mrembo onlyalvira ktk mataa ya DubaiSafari ya kwenda wap ndugu yangu,unataka kuniacha hapa jamvini
Dubai kusema kweli naomba usiniache twende sote kwenye yale marahaJamvini nitamuacha mrembo onlyalvira ktk mataa ya Dubai
Maraha yapo jfDubai kusema kweli naomba usiniache twende sote kwenye yale maraha
JF ipewe pongezi maridhawa kwa sababu imesaidia sana kuelezea kwa umma malengo & mafanikio ya Rais wetu mpendwa JPMMaraha yapo jf
Mpendwa JPM longlive na maisha muruwa..JF ipewe pongezi maridhawa kwa sababu imesaidia sana kuelezea kwa umma malengo & mafanikio ya Rais wetu mpendwa JPM
Muruwa kabisa Jasmoni Tegga unapenda kutupa sana habari za jpm ,haya watanzania mumsikilize kwa makiniMpendwa JPM longlive na maisha muruwa..
Kwa makini nilizingatia mwenendo na TabiaMuruwa kabisa Jasmoni Tegga unapenda kutupa sana habari za jpm ,haya watanzania mumsikilize kwa makini
Makini sana huyu Rais wetu mzalendo na mpenda-maendeleo ya kweli; ni kiongozi mwenye msimamo thabiti, asiyeyumba wala kuyumbishwa, ni mbunifu na mwenye maamuzi ya kujitegemea yenye maono, anayependa kuona usawa katika nchi yake, si mbaguzi wa dini, rangi, kabila, hadhi, jinsi wala jinsia, ama elimu; ni msema kweli na wala hawafumbii macho wabadhirifu, walarushwa, wahujumu-uchumi, wapiga-dili na madalali wa mabeberuMuruwa kabisa Jasmoni Tegga unapenda kutupa sana habari za jpm ,haya watanzania mumsikilize kwa makini
Mabeberu wameipata meseji kikamilifuMakini sana huyu Rais wetu mzalendo na mpenda-maendeleo ya kweli; ni kiongozi mwenye msimamo thabiti, asiyeyumba wala kuyumbishwa, ni mbunifu na mwenye maamuzi ya kujitegemea yenye maono, anayependa kuona usawa katika nchi yake, si mbaguzi wa dini, rangi, kabila, hadhi, wala elimu; ni msema kweli na wala hawafumbii macho wabadhirifu, walarushwa, wahujumu-uchumi, wapiga-dili na madalali wa mabeberu
Kikamilifu lakini hela zao bado tunazitakaMabeberu wameipata meseji kikamilifu