onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,499
- 3,113
Tutakimbiana kwann,watu wanatakiwa watunze siriSiri zikifichuka hapa tutakimbiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakimbiana kwann,watu wanatakiwa watunze siriSiri zikifichuka hapa tutakimbiana
Siri samsoni alishindwa kuitunza,delila alipo mbana.Tutakimbiana kwann,watu wanatakiwa watunze siri
Alipombana alisema siri ambayo hakupaswa kuisemaSiri samsoni alishindwa kuitunza,delila alipo mbana.
Kuisema ni sawa kama friji yake haigandishi.Alipombana alisema siri ambayo hakupaswa kuisema
Haigandishi karatasi vizuriKuisema ni sawa kama friji yake haigandishi.
Vizuri vya kila aina viliandaliwa Lakini mchumba akasusa !!Haigandishi karatasi vizuri
Akasusa kwa sababu hukupendezwa na tabia yakoVizuri vya kila aina viliandaliwa Lakini mchumba akasusa !!
Yako mambo mengi sana tunafichwaAkasusa kwa sababu hukupendezwa na tabia yako
Tabia yako imemchosha mwalimu wa Sayansi..Akasusa kwa sababu hukupendezwa na tabia yako
Sayansi ni somo tamu sana, ila limeniacha solombe mtaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tabia yako imemchosha mwalimu wa Sayansi..
Kweli nakumbuka,Sayansi ni somo tamu sana, ila limeniacha solombe mtaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ivi unakumbuka sayansi ya darasa la tatu kweli?
Nakumbuka sana Duru ya OksijeniKweli nakumbuka,
Oksijeni ni hewa safiNakumbuka sana Duru ya Oksijeni
Sarlfi tunayovuta,Mungu ametujaaliaOksijeni ni hewa safi
Ametujaalia kuwa na watu, ardhi na mfumo bora wa uongoziSarlfi tunayovuta,Mungu ametujaalia
Uongozi wa mitano tena imevuruga mambo mengi sanaAmetujaalia kuwa na watu, ardhi na mfumo bora wa uongozi
sana kwenye biasharaUongozi wa mitano tena imevuruga mambo mengi sana
Biashara ni uti wa mgongo ktk uchumi nasi tujiajiri kufanya shughuli hizo kwa juhudi..sana kwenye biashara
Juhudi zako za kuwa mshindi hapa lazima nizikwamisheBiashara ni uti wa mgongo ktk uchumi nasi tujiajiri kufanya shughuli hizo kwa juhudi..
Nizikwamishe vipi juhudi makini za ujenzi wa Taifa letu ambalo ndilo Kisiwa cha Amani na Utulivu duniani!??? Pongezi nyingi sana kwa mikakati makini ya serikali ya Awamu ya 5 chini ya kipenzi chetu mchapakazi, mzalendo, mweledi, mcha-Mungu, asiyechoka na mwenye huruma na mwadilifuJuhudi zako za kuwa mshindi hapa lazima nizikwamishe