Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Waasi ni wazuri Kwa kuwa wanaikumbusha serikali isiwachukulie poa raiaItashinda kesi ya uhaini dhidi ya waasi....
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waasi ni wazuri Kwa kuwa wanaikumbusha serikali isiwachukulie poa raiaItashinda kesi ya uhaini dhidi ya waasi....
Raia mwema ni mimiWaasi ni wazuri Kwa kuwa wanaikumbusha serikali isiwachukulie poa raia
Nalog off
Raia wema tutailinda nchi yetu adimuWaasi ni wazuri Kwa kuwa wanaikumbusha serikali isiwachukulie poa raia
Nalog off
Nchi yetu adimu lazima tuilinde dhidi ya nchi jiraniRaia wema tutailinda nchi yetu adimu
jirani mwema ni ambaye mpo naye kwa shida na rahaNchi yetu adimu lazima tuilinde dhidi ya nchi jirani
Nalog off
Raha ni kuwa na serikali sikivujirani mwema ni ambaye mpo naye kwa shida na raha
Serikali sikivu ni ile inayaletea wananchi wake maendeleo yao na si ya vitu.Raha ni kuwa na serikali sikivu
Nalog off
Vitu ambavyo sisi raia havitusaidiiSerikali sikivu ni ile inayaletea wananchi wake maendeleo yao na si ya vitu.
havitusaidii chochote ni kweli kabisa - maendeleo ya watu ni muhimu mno kuliko maendeleo ya vitu na maendeleo yanayotakiwa kuanza ni ya watu kwanza then ya vitu yanafuata ila sisi tunafanya kinyume chake.Vitu ambavyo sisi raia havitusaidii
Nalog off
Kinyume chake inakuwa ni kupigana na ukwelihavitusaidii chochote ni kweli kabisa - maendeleo ya watu ni muhimu mno kuliko maendeleo ya vitu na maendeleo yanayotakiwa kuanza ni ya watu kwanza then ya vitu yanafuata ila sisi tunafanya kinyume chake.
ukweli utabakia palepale, kuua upinzani ni kazi ngumu mno.Kinyume chake inakuwa ni kupigana na ukweli
Nalog off
Mno Mbeya kuna makanisa ya kila aina kila kona kila mtaaukweli utabakia palepale, kuua upinzani ni kazi ngumu mno.
mtaa wa machakos kenya ndiyo mtaa wenye vituko vingi duniani....Tandare kwa bi nyau ukasome..Mno Mbeya kuna makanisa ya kila aina kila kona kila mtaa
Ukasome maandiko chini ya mstari...mtaa wa machakos kenya ndiyo mtaa wenye vituko vingi duniani....Tandare kwa bi nyau ukasome..
mstari mwekundu ukishakupita huku jina lako likiwa chini jua umeumia.Ukasome maandiko chini ya mstari...
Umeumia na mapenzi nyumban kwako unafika bar napo unaambia bia zimeishamstari mwekundu ukishakupita huku jina lako likiwa chini jua umeumia.
zimeisha? huwa haziishi ndugu - pale ni bandika bandua huku unavyozidi kulewa na muhudumu naye anazidi kukusogelea tayari kwa lolote lile.Umeumia na mapenzi nyumban kwako unafika bar napo unaambia bia zimeisha
Zimeisha enzi za unyanyapaa !!Umeumia na mapenzi nyumban kwako unafika bar napo unaambia bia zimeisha
Unyanyapaa, kunyanyapaa haifai kwasababu sisi binaadam wote ni sawaZimeisha enzi za unyanyapaa !!
Sawa nimekuelewa mkuuUnyanyapaa, kunyanyapaa haifai kwasababu sisi binaadam wote ni sawa