Pumzi yake ya mwisho ilipokata macho yakapanda juu yakamfika mauti..
Yakimbie matusi ya mlevi Ili uheshimike..Mauti yakikufika huwezi yakimbia
Uheshimike kama mimiYakimbie matusi ya mlevi Ili uheshimike..
Nimesimama Kama mlongoti wa benderaMimi siwezi kula huku nimesimama
Bendera ya Tanzania ina rangi nne ambazo ni Kijani, Buluu, Njano, NyeusiNimesimama Kama mlongoti wa bendera
Weusi ni sisiNyeusi inawakilisha watu weusi
ππππ ππππππππππ π’ππ’π.Weusi ni sisi
Yeye mwenyewe alisema yale manenoππππ ππππππππππ π’ππ’π.
Yale maneno yako yaliniumiza kweli.Yeye mwenyewe alisema yale maneno
Kweli tunajinasibu na weusi huu siyo ubaguzi?Yale maneno yako yaliniumiza kweli.
Ubaguzi ni janga la duniaKweli tunajinasibu na weusi huu siyo ubaguzi?
Dunia ni sisi walimwengu ...Ubaguzi ni janga la dunia
Walimwengu awakosi visaDunia ni sisi walimwengu ...
Visa ndiyo hulka zetu hapo ndipo kukosoana..Walimwengu awakosi visa
Kukosoana kwahitaji hekima....Visa ndiyo hulka zetu hapo ndipo kukosoana..
Hekima ya mfalme suleimanKukosoana kwahitaji hekima....
mno ni sawa na kusema ππππ.Suleiman Alikuwa mfalme maarufu mno