Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nini kifanyike sasaHaiwezekani uamini kuwa Mungu yupo halafu useme hakuna Uchawi wakati vitabu vyote vinavyomzungumzia huyo Mungu navyo vinaongelea wachawi na uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kifanyike sasaHaiwezekani uamini kuwa Mungu yupo halafu useme hakuna Uchawi wakati vitabu vyote vinavyomzungumzia huyo Mungu navyo vinaongelea wachawi na uchawi
Sasa wewe Mtoto halali na hela unaharibu TERMS and CONDITIONS za huu uziNini kifanyike sasa
Huu Uzi mahindi hajajulikana badoSasa wewe Mtoto halali na hela unaharibu TERMS and CONDITIONS za huu uzi
Lenie anapenda zawadi
Zawadi ni zawadi hata ikiwa ndogoLenie anapenda zawadi
Ni kuipokea tuZawadi ni zawadi hata ikiwa ndogo
Ndogo haifai maana watu huwa hamridhikiZawadi ni zawadi hata ikiwa ndogo
Hamridhiki sijui kwaniniNdogo haifai maana watu huwa hamridhiki
Kwanini unauliza swali linalokuhusu?Hamridhiki sijui kwanini
Linalokuhusu usilipuuzie kamweKwanini unauliza swali linalokuhusu?
Kamwe hatuwezi kuifunga Tanzania kwasababu ya corona, nayakumbuka maneno ya Hayati MagufuliLinalokuhusu usilipuuzie kamwe
Wanyonge ni wapuuzi fulani hivi! Kataeni kuitwa hilo jina.Magufuli rais wa wanyonge
NalogofuWanyonge ni wapuuzi fulani hivi! Kataeni kuitwa hilo jina.
Nalog off
Wanyonge ni kina naniMagufuli rais wa wanyonge
Jina lake hilo alipewa na bibiWanyonge ni wapuuzi fulani hivi! Kataeni kuitwa hilo jina.
Nalog off
Bibi gani? bibi Titi au bibi tozo?....yote kwa yote itoshe tu kusema kwamba nam miss sana mama mtumishi Saint Anne.Jina lake hilo alipewa na bibi
Yangu macho maana naiona Tanganyika ikizidi kugawanyika kwa tusionacho na walionachoBibi gani? bibi Titi au bibi tozo?....yote kwa yote itoshe tu kusema kwamba nam miss sana mama mtumishi Saint Anne.
Skylar nasema uongo ndugu yangu?
Ndugu yangu umeua bendiBibi gani? bibi Titi au bibi tozo?....yote kwa yote itoshe tu kusema kwamba nam miss sana mama mtumishi Saint Anne.
Skylar nasema uongo ndugu yangu?