Walionacho ni kina nani sasaYangu macho maana naiona Tanganyika ikizidi kugawanyika kwa tusionacho na walionacho
Bendi ya Jide ilikuaga inaitwa machozi band, hivi bado ina exist?Ndugu yangu umeua bendi
exist ndo nini?Bendi ya Jide ilikuaga inaitwa machozi band, hivi bado ina exist?
Nini bana!..😁😁😁 kumbe anataka huku anajifanya hatakiexist ndo nini?
Hataki utani yule mzeeNini bana!..😁😁😁 kumbe anataka huku anajifanya hataki
Mzee KigegoHataki utani yule mzee
Kigego tena.Mzee Kigego
Tena alisema atafurahi akikuonaKigego tena.
Akikuona moyo wake unaburudikaTena alisema atafurahi akikuona
Unachokitaka kukipata yahitaji juhudiUnaburudika kiasi gani ukipata unachokitaka?
Juhudi yangu katika kumpenda baba mtumishi Pep inaongezeka siku hadi siku.Unachokitaka kukipata yahitaji juhudi
Siku zinaenda kasi sana yaani ni juzi tu tukitoka shule tunashinda pale Posta ya Zamani tunakunywa kahawa mpaka saa 3 usiku halafu tukifika nyumbani tunadai usafiri mgumu,,, leo mimi ndo dogo wa Primary ananipanga 😁😁 kweli hamna jipya dunianiJuhudi yangu katika kumpenda baba mtumishi Pep inaongezeka siku hadi siku.
Duniani ukiandika sana unaitwa mwandishiSiku zinaenda kasi sana yaani ni juzi tu tukitoka shule tunashinda pale Posta ya Zamani tunakunywa kahawa mpaka saa 3 usiku halafu tukifika nyumbani tunadai usafiri mgumu,,, leo mimi ndo dogo wa Primary ananipanga [emoji16][emoji16] kweli hamna jipya duniani
WahengaWalionacho ni kina nani sasa
Mwandishi naye ana heshimikaDuniani ukiandika sana unaitwa mwandishi
Mwandishi naye ana heshimika
Vizuri kuwa na usafi wa nafsi kama baba mtumishi PepHeshimika kwa wote na ishi na watu vizuri
Siku hizi upendo kwa baba mtumishi Pep unazidi kuongezeka .Taifa limepwaya sikuhizi