Wa mwisho ndiyo mshindi

Mimi sasa naweza kula pia.

Kwenye sindano najua mtoto wa mwisho alilia, pole 🤣🤣

Glory to God mtumishi mwenzangu, stay safe.

Sijakula zege kitambo sana
 
mtumishi tuna hamu ya kujua, wew na baba mtumishi mmekutana jf ama mmejuana zamani
Zamani nilikua simjui Saint Anne, nimemfahamia humu jamvini.

Itoshe tu kusema kwamba ni heri midomo yake inibusu,
Maana pendo lake ni bora kuliko divai,
Manukato yake yanukia vizuri kama maua ya kondeni,
Naaam, na jina lake ni kama marashi yaliyomiminwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…