Kula nashindwa. Mpaka Saint Anne anambie ameponaKaja mapema kula
Amepona yuko fresh na anamsubiri baba mtumishi ili wale pamoja zege[emoji23].Kula nashindwa. Mpaka Saint Anne anambie amepona
Mimi sasa naweza kula pia.Amepona yuko fresh na anamsubiri baba mtumishi ili wale pamoja zege[emoji23].
Usiku nilibanwa kimtindo..homa ilikuwa juu.
Leo nimedungwa sindano[emoji846]
Ukisikia mgonjwa wa mwendokasi ndio mimi sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2047516
Sana sana nilitaka wanipe nijichome mwenyewe😂😂😂😂.Mimi sasa naweza kula pia.
Kwenye sindano najua mtoto wa mwisho alilia, pole 🤣🤣
Glory to God mtumishi mwenzangu, stay safe.
Sijakula zege kitambo sana
mtumishi tuna hamu ya kujua, wew na baba mtumishi mmekutana jf ama mmejuana zamaniSana sana nilitaka wanipe nijichome mwenyewe😂😂😂😂.
Asante kwa kujali🙏🙏
Njoo tule pamoja baba mtumishi.
Zamani nilikua simjui Saint Anne, nimemfahamia humu jamvini.mtumishi tuna hamu ya kujua, wew na baba mtumishi mmekutana jf ama mmejuana zamani
Yaliyomiminiwa asali au majiZamani nilikua simjui Saint Anne, nimemfahamia humu jamvini.
Itoshe tu kusema kwamba ni heri midomo yake inibusu,
Maana pendo lake ni bora kuliko divai,
Manukato yake yanukia vizuri kama maua ya kondeni,
Naaam, na jina lake ni kama marashi yaliyomiminwa.
Maji yamekua changamoto sana hapa Dar, ni siku ya nne hii naoga bahariniYaliyomiminiwa asali au maji
Baharini tuwapeleke wewe na Saint Anne wamadhabahuni hulia madhabahuniMaji yamekua changamoto sana hapa Dar, ni siku ya nne hii naoga baharini
Madhabahuni ndipo mimi na Pep tutakapoweka agano la kuwa pamoja maisha yetu yote.Baharini tuwapeleke wewe na Saint Anne wamadhabahuni hulia madhabahuni
msinyimane vijana wa leo wanalitafsiri vibaya Mungu hakumaanisha tundaYote msinyimane kwa maana uchoyo sio mzuri. Imeandikwa msinyimane
Tunda lililiwa kuanzia pale bustani ya eden ndipo tukajua mema na mabayamsinyimane vijana wa leo wanalitafsiri vibaya Mungu hakumaanisha tunda
mabaya ya sabaya yamemfikisha pabayaTunda lililiwa kuanzia pale bustani ya eden ndipo tukajua mema na mabaya
Pabaya gerezani alipo wahuni wasimuache kizembe wa mhudumie vizuriiiiimabaya ya sabaya yamemfikisha pabaya
Vizuriiiii sana kualikana na kutembeleana kipindi hiki cha mwisho wa MwakaPabaya gerezani alipo wahuni wasimuache kizembe wa mhudumie vizuriiiii
Vizuriiiii sana kualikana na kutembeleana kipindi hiki cha mwisho wa Mwaka
Unaisha huku mapenzi yangu na mtumishi Pep yakizidi kupamba moto .Mwaka ndo unaisha
Mbali na kwamba Mbeya kuna baridi 'kweri kweri', wanajamvi msiache kujumuika nasi mimi na Saint Anne pale mitikasi yote itakapo tickMoto wa kuotea mbali