Ukingoni mwa siku hii hautakuwa mzuri kama nisipomuona nimpendaye katika uzi huu.
Nadhani anajijua.
Jamani inapaswa umpe na vitamu vya nje na ndaniPep nimpendaye yuko wapi jamani?
Ndani hekaluni baba askofu akishatukabidhi certificates zetu, tutapeana vitamu na Saint Anne mpaka aseme AMEN! 🤣🤣Jamani inapaswa umpe na vitamu vya nje na ndani
Ameni hakika msije nyimana maana heri mtu yule awaye tayari kumpa mwenzie kuliko yule amnyimae mwenza wake (walioana). Zinaa haipambikiNdani hekaluni baba askofu akishatukabidhi certificates zetu, tutapeana vitamu na Saint Anne mpaka aseme AMEN! 🤣🤣
🤣🤣AMEN! na iwe hivyo.Ndani hekaluni baba askofu akishatukabidhi certificates zetu, tutapeana vitamu na Saint Anne mpaka aseme AMEN! 🤣🤣
Haipambiki na hatuipendi😂.Ameni hakika msije nyimana maana heri mtu yule awaye tayari kumpa mwenzie kuliko yule amnyimae mwenza wake (walioana). Zinaa haipambiki
Halali mchanaHaipambiki na hatuipendi[emoji23].
Tunapenda vitu halali[emoji23][emoji23]
Mchana kutwa nammiss nimpendayeHalali mchana
Nimpendaye ni wewe tu, I feel...Mchana kutwa nammiss nimpendaye
Yako mistari nimeipendaNimpendaye ni wewe tu, I feel...
Atubariki Amen...
Na atulinde Amen...
Atuongoze Amen...
Milele yote Amen...
Wote tuseme Amen...
Unadhani sikufai...
Leo wameshangaa, ni siku yetu my baby...
Ndoto imekuwa, hata familia wana furahii my baby...
Vile umeniwahi, wote wanigai shingoni kama tai...
Taii taii ennh...
Na leo najidaii, heshima ulionipa ya kuwa mpenzi wako milele...
Daimaaa mamaa wee...
Takulindaa, mamama weee...
Sina sababu, mama weeee...
Yakukutenda...
Moyo wangu ni wako...
Nina kukabidhi pekeakoo, weweee...
Fungua wa kwako, nifurahie pendo lako...
Nahisia zangu zakuhitaji, uingiee moyooni...
Nawe uwe mwanga wangu kumulika, unitoee gizani...
Kwa sababu ni, niweee eehh eehh tu...
Nimpendaye, ni wewe ennh tu...
Ohh... daily
Kwa sababu ni wewe wewe tu...
Nimpendaye ni wewe wewe tu... wifey
Atubariki Amen...
Na atulinde Amen...
Atuongoze Amen...
Milele yote Amen...
Wote tuseme Amen...
Kiongozi Pep mistari hiyo ni kwa niaba yako
nmeipenda mnoo hali ya hewa ya huku niliko, s joto s baridi kaliYako mistari nimeipenda
Kali joto lipo daslam hadi nalala chininmeipenda mnoo hali ya hewa ya huku niliko, s joto s baridi kali
chini kuna bard kali, n her ulale njeKali joto lipo daslam hadi nalala chini
Nje baba mtumishi wangu hatakubali kabisa.chini kuna bard kali, n her ulale nje
kabisa, sitakaa niishi darNje baba mtumishi wangu hatakubali kabisa.
Dar ni kama maji;kabisa, sitakaa niishi dar
Hayo mambo hunishtua sanaaDar ni kama maji;
Usipoyaoga basi utayanywa maji hayo.
Sanaa nampenda wangu wa moyoniHayo mambo hunishtua sanaa