Baharini penyewe pamechafukaTuone kama haya maji yataanza kutoka au naendelea kuoga baharini
Pamechafuka kweli kweli. Pengine nianze kuogea maji ya mvuaBaharini penyewe pamechafuka
Maji ya mvua yamenichafua sana leo asubuhiPamechafuka kweli kweli. Pengine nianze kuogea maji ya mvua
Leo asubuhi nilikukumbuka sanaMaji ya mvua yamenichafua sana leo asubuhi
Sana sana ukaacha kunikaribisha sikukuu😒Leo asubuhi nilikukumbuka sana
Sikukuu zote unataka kukaribishwa[emoji28], kwanini usiwe wewe utakayekaribisha wenzioSana sana ukaacha kunikaribisha sikukuu[emoji19]
lawama za nin wakat simba ni wabovuNdugu n lawama
[emoji1787][emoji1787]wenzio wote walinikaribisha kasoro wewe na yeyeSikukuu zote unataka kukaribishwa[emoji28], kwanini usiwe wewe utakayekaribisha wenzio
Yeye tumuache kwanza, ila mimi nikikukaribisha ninahitaji kukaribishwa kwenye sikukuu inayofuata[emoji1787][emoji1787]wenzio wote walinikaribisha kasoro wewe na yeye
Sikukuu inayofuata nikaribishe ili nami nikukaribishe pasaka.Yeye tumuache kwanza, ila mimi nikikukaribisha ninahitaji kukaribishwa kwenye sikukuu inayofuata
Sikukuu inayofuata sio mbali hata ni mwaka mpya, naanzia hapa karibuSikukuu inayofuata nikaribishe ili nami nikukaribishe pasaka.
Karibu pia na wewe mwaka mpya na pasaka.Sikukuu inayofuata sio mbali hata ni mwaka mpya, naanzia hapa karibu
nitakaribia, hata kama sjaalikwa....Karibu pia na wewe mwaka mpya na pasaka.
Mimi nitakaribia.
Sijaalikwa na Pep hadi sasa.nitakaribia, hata kama sjaalikwa....
Sikukuu nilikua mlimani kwenye maombi huko maporini hakuna mtandao.Sana sana ukaacha kunikaribisha sikukuu😒
Surprise ya wapi bwana alikuwa kimya hadi sikukuu imepita😒Hadi sasa bado anawaza akualike ama aje yeye kuku surprise!
🤗Sana nazidi kufurahi na kutiwa nguvu ninavyoona kuna watumishi hawajaniacha katika maombi na ninashukuru Mungu amenivusha katika kipindi kigumu hadi ninashangaa.Sikukuu nilikua mlimani kwenye maombi huko maporini hakuna mtandao.
Good thing nikwamba nilikuombea sana
Ninashangaa hata mimi namna Mungu amekua mwema kwetu. Nabubujikwa na furaha sana kwamba umeweza kusonga mbele🤗Sana nazidi kufurahi na kutiwa nguvu ninavyoona kuna watumishi hawajaniacha katika maombi na ninashukuru Mungu amenivusha katika kipindi kigumu hadi ninashangaa.
[emoji847]Mbele tunasonga kama injili.Ninashangaa hata mimi namna Mungu amekua mwema kwetu. Nabubujikwa na furaha sana kwamba umeweza kusonga mbele