jina baya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 573
- 377
Kama mwanzo na mwisho. AminaNzuri kama..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mwanzo na mwisho. AminaNzuri kama..
Amina maana yake ni "Na iwe hivyo"Kama mwanzo na mwisho. Amina
Hivyo mpaka nimecheka[emoji23]Amina maana yake ni "Na iwe hivyo"
Nimecheka leoHivyo mpaka nimecheka[emoji23]
Leo ni siku njema,nimemuona Bwana.Nimecheka leo
Bwana anasema ule mwaliko uliplan kunipea pasaka uulete mwaka mpyaLeo ni siku njema,nimemuona Bwana.
Mwaka mpya na mambo mapyaBwana anasema ule mwaliko uliplan kunipea pasaka uulete mwaka mpya
Mapya yote hayo magariMwaka mpya na mambo mapya
Magari yamejaa yoteMapya yote hayo magari
Yote namtolea Yesu na nampa moyo wangu woteMagari yamejaa yote
Wote tusifu na kuabuduYote namtolea Yesu na nampa moyo wangu wote
Kuabudu na kusifu kunawapasa wanyoofu wa moyo.Wote tusifu na kuabudu
Moyo wangu tukia nyumbani mwa BwanaKuabudu na kusifu kunawapasa wanyoofu wa moyo.
Bwana Mungu asema hivi; "Mpende jirani yako kama nafsi yako".Moyo wangu tukia nyumbani mwa Bwana
Nafsi yako inajua ninavyokupenda?Bwana Mungu asema hivi; "Mpende jirani yako kama nafsi yako".
Ninavyokupenda usiyependekaNafsi yako inajua ninavyokupenda?
Usiyependeka ulidhani wewe ndiye mshindi. No, hapa bado sana....tutaenda hadi matutaNinavyokupenda usiyependeka
Matuta madogo madogo nayalima pale Lumumba🤣Usiyependeka ulidhani wewe ndiye mshindi. No, hapa bado sana....tutaenda hadi matuta
Inavyokuelewa hii jamii ya hapa jamvini ni kwasababu wewe ni mtoto mzuri mwenye haiba ya kike.Matuta madogo madogo nayalima pale Lumumba🤣
Nataka tu nikukere Pep .
Najua wajua pia nafsi yangu inavyokuelewa😉
Inavyokuelewa hii jamii ya hapa jamvini ni kwasababu wewe ni mtoto mzuri mwenye haiba ya kike.
Mods waongeze "mixed reactions' kwenye hizi reactions. Comment yako inatakiwa dislike na love hapo hapo