Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,488
Mama mtumishi wangu nampenda kwa sababu atakua mama mzuri kwa watoto wetu watatuHapo hapo siishiwi ugomvi na watu 🤣
Ni ipi sababu nyingine ya kumpenda mama mtumishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama mtumishi wangu nampenda kwa sababu atakua mama mzuri kwa watoto wetu watatuHapo hapo siishiwi ugomvi na watu 🤣
Ni ipi sababu nyingine ya kumpenda mama mtumishi?
Watatu mbona wachache sana!Mama mtumishi wangu nampenda kwa sababu atakua mama mzuri kwa watoto wetu watatu
Etihad patawaka moto Jan 15 pale sisi the blues tutakapowashukia vijana wa kipara 😂😂Watatu mbona wachache sana!
Hivi baba mtumishi hataki watoto wengi kama kikosi cha timu ya Pep pale Etihad?
Kipara kumbe hushabikii timu yake???Etihad patawaka moto Jan 15 pale sisi the blues tutakapowashukia vijana wa kipara 😂😂
Duniani LFC sio bora. Chelsea have been named the Best Men’s Club of the Year at the Globe Soccer Awards.Kipara kumbe hushabikii timu yake???
Aisee!!!
Mama mtumishi anashabikia LFC ,timu bora kuliko zote duniani.
Duniani LFC sio bora. Chelsea have been named the Best Men’s Club of the Year at the Globe Soccer Awards.
Kipanda namkubaligi namna yupo committed & passionate na kazi yake, innovative. He is also a family man.....vitu kama hivyo
🤣🤣🤣Duniani LFC sio bora. Chelsea have been named the Best Men’s Club of the Year at the Globe Soccer Awards.
Kipara namkubaligi namna yupo committed & passionate na kazi yake, innovative. He is also a family man.....vitu kama hivyo
Namuonaga mama mtumishi wangu kwenye uzi wa vijana wa Klopp. Wanaongeaga kizungu hao 🤣🤣
Ndani ya moyo nimejaza upendovitu kama hivyo huleta hamasa ndani ya moyo
Ndani ya moyo nimejaza upendo
Kuwa Baba paroko tena?Ukapungua kidogo tu basi dunia ntaiona chungu. Pengine ntaamua kuwa Baba Paroko
sasa hyo itakuwa changamotoKuwa Baba paroko tena?
Na daughters wale wawili nitawapataje sasa?[emoji1787]
Changamoto kubwa inayonikabili ni mimi kuishi mbali na baba mtumishi wangu .sasa hyo itakuwa changamoto
@baba mtumishi wangu amekula hela yote ya kanisaChangamoto kubwa inayonikabili ni mimi kuishi mbali na baba mtumishi wangu .
@baba mtumishi wangu amekula hela yote ya kanisa
Jamani tuachilie hilo swala la wizi wa pesa za kanisa, jambo nakomalia hapa ni hilo swala la mialiko tu kwa kweliKanisa gani hilo lina mtunza hazina mwizi jamani
Kwa kweli mwaliko lazima upate hata kwa lazima[emoji1787]Jamani tuachilie hilo swala la wizi wa pesa za kanisa, jambo nakomalia hapa ni hilo swala la mialiko tu kwa kweli
Lazima na mimi nifike eneo la tukio mapema kabisaKwa kweli mwaliko lazima upate hata kwa lazima[emoji1787]
Mapema kabisa baba mtumishi anaanza kumwaga mialiko kwa wapendwa wetu.Lazima na mimi nifike eneo la tukio mapema kabisa
Wapendwa wetu tunawakaribisha nyoteMapema kabisa baba mtumishi anaanza kumwaga mialiko kwa wapendwa wetu.