Atkinson
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 560
- 1,440
Unapungukiwa nini, sema usaidiwe.Kwani mi nikifanikiwa nn unapungukiwa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapungukiwa nini, sema usaidiwe.Kwani mi nikifanikiwa nn unapungukiwa??
Uzi huu hautapata mshindi kamwe yani watu tunasagiana kunguni wenyewe kwa wenyewe kweli[emoji1751][emoji25]
Sana sana, naona ni kama alikuwa amekunywa bia kupunguza mawazoKweli aliyeanzisha uzi huu alitumia akili sana
Sana sana, naona ni kama alikuwa amekunywa bia kupunguza mawazo
Dar hamjambo huko, vipi mkuu ashakuja huko. Yaani mama amemchukua mwamba akatuletea mmama huku bk.Mawazo mbele ya bia hayafui dafu. Zingatia maeno ya mkuu wa mkoa wetu mpya wa dar
Bk ndio Bukoba?Dar hamjambo huko, vipi mkuu ashakuja huko. Yaani mama amemchukua mwamba akatuletea mmama huku bk.
Bukoba ndo kwao na washawasha!Bk ndio Bukoba?
Nalog off
Washawasha ni watam sana jamaniBukoba ndo kwao na washawasha!
Jamani mshindi hajapatikana tu?Washawasha ni watam sana jamani
Tu tu tuu sio rahisii kiivyooooo😂Jamani mshindi hajapatikana tu?
Mshindi wa hii challenge hajapatikana tangu 2012kiivyooo mimi ndo mshindi
Mshindi wa kwioo😂😂😂😂 labda sio kwa huu uzi mkuukiivyooo mimi ndo mshindi
washawasha wale watoto wa vipepeo?? wanaliwa??Washawasha ni watam sana jamani
Wanaliwa wale, ukiwala na ugali ni watamu balaawashawasha wale watoto wa vipepeo?? wanaliwa??
wale si wana sumu wakikutembelea unawashwa??Wanaliwa wale, ukiwala na ugali ni watamu balaa
Unawashwa kwa dakika chache tu then unarudi kwenye hali ya kawaidawale si wana sumu wakikutembelea unawashwa??