mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
watu mna moyo... mimi nyama za ndani tu kama utumbo, maini sili.... sembuse washawasha....Unawashwa kwa dakika chache tu then unarudi kwenye hali ya kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu mna moyo... mimi nyama za ndani tu kama utumbo, maini sili.... sembuse washawasha....Unawashwa kwa dakika chache tu then unarudi kwenye hali ya kawaida
Washawasha ni watam, ila ukifata mashart ya uzi itapendeza😀watu mna moyo... mimi nyama za ndani tu kama utumbo, maini sili.... sembuse washawasha....
Upwiru unaweza ukakufanya ukaozea jelamaparachichi yanaongeza upwiru....
jela kuna maharage, ambayo pia yanaongeza upwiruUpwiru unaweza ukakufanya ukaozea jela
Upwiru wa jela ni balaa, unakosa pa kuutolea inabidi upige nyeto tujela kuna maharage, ambayo pia yanaongeza upwiru
nyeto ni njia nzuri ya vijana balehe kuigundua miili yao na kukua kingonoUpwiru wa jela ni balaa, unakosa pa kuutolea inabidi upige nyeto tu
Mke wangu nimelala nae hapa usiniingize huko mimiatakae weka comment yoyote baada yangu ni mke wangu
Kata ya Kalakata imepata mwenyekiti mzuri kwelimimi ndo yule aliyekataza kata kataa kukata miti kwenye msitu wa kata
Kweli bandari imeuzwa?Kata ya Kalakata imepata mwenyekiti mzuri kweli
Kweli bandari imeuzwa?
Nalog off
Njia kuu inayotoka Mwenge hadi Posta ina foleni sana leo, kuna shida mahaliOff topic comments za wadau humu zinataka kuua uzi. Naomba tubaki njia kuu
Mahali ya Shilole eti ni millioni 650 kuna watu Wana shida sana!Njia kuu inayotoka Mwenge hadi Posta ina foleni sana leo, kuna shida mahali
Sana hasa wasukumaMahali ya Shilole eti ni millioni 650 kuna watu Wana shida sana!
Wasukuma hawana shida, shida ni huyo jamaa ameshindwa kutofautisha mahali na mahariSana hasa wasukuma
Wasukuma hawana shida, shida ni huyo jamaa ameshindwa kutofautisha mahali na mahari