Wa mwisho ndiyo mshindi

Mafeisbuku yameharibu kabisa hii generation
 
Mimi ni mkuu. mkuu wa nchi kikwete. Kikwete n rais bora. Bora simba kuliko yanga. Yanga n wababaishaji coz awapend azam tv. Azam tv n chanel mpya. Mpya n safi kuliko ya zamani
 

zaidi ya wanawake milioni kumi tanzania ni malaya!
 
malaya wengi wa bongo ni watoto wa shule,shule nyingi za kata hazina maabara,maabara za hospitali zetu zinauhaba wa vifaa,vifaa vya ujenzi kila siku vinapanda bei,bei ya kuku wa kienyeji ni ghali kuliko wa kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…