kioju, yaani na wewe zawadi hii umeikomalia?nyumbani kwanini mkuu? adhimu humaanisha maalum kama sijakosea kioju
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kioju, yaani na wewe zawadi hii umeikomalia?nyumbani kwanini mkuu? adhimu humaanisha maalum kama sijakosea kioju
Mwaka kesho ni uchaguzi, hapo zitajulikana mbivu na mbishi, nakushauri usiombe visa kusafiri nje.Serikali tatu ndo mfumo gani?kwani nini kimeshindikana mpaka tutumie serikali tatu?.Sasa kama mbili mambo yako hivi je tatu?,Nikitaka viza kusafiri nje si itamaliza mwaka?
Mwaka kesho ni uchaguzi, hapo zitajulikana mbivu na mbishi, nakushauri usiombe visa kusafiri nje.
asubuhi kuamka kila siku kwenda kazini nimeshaga acha longi baada ya kuugawa mshahara wangu kwa idadi ya siku za mwezi, aisee nilitaka kudata nikaamua kumwaga manyanga.Kusafiri nje ndio maisha yangu,yaani ni kama wew kwenda kazini kila siku asubuhi.
asubuhi kuamka kila siku kwenda kazini nimeshaga acha longi baada ya kuugawa mshahara wangu kwa idadi ya siku za mwezi, aisee nilitaka kudata nikaamua kumwaga manyanga.
Mwenyewe uko hapa kuisaka hii zawadi, sasa kwa taarifa yako watu tumeshakaribia kuilamba!!Manyanga ya nini jukwaani hapa ungeyazoa mwenyewe...
Kuilamba,ni nenoi la kiswahili lisilo na maana rasmi
Rasmi ndo kwa kizungu wanasema 'official' au! Ajuaye tafadhari. Aulizaye si mjinga.
Mwanadamu wa zama hizi amemuacha Mungu na kumfuata shetani.mazoezi ni bora zaidi kwa afya njema ya mwanadamu
patimu au patamu? we Paula kilaki au paula kimillion mbona unazingua dada
FUSO ni gari linaloweza kupita kokote kule, hata ndani ya msitu linakatiza tu!! kushindana nalo ni kujichosha, Heaven na wewe umeingia kwenye kinyanganyiro?