Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
T
Tunakipigania kwa hali na maliChakula ni muhimu japo tunakipigania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakipigania kwa hali na maliChakula ni muhimu japo tunakipigania
Mali yangu yaliwa. nimerudi wajameni mko pouwaaaaa.?T
Tunakipigania kwa hali na mali
Pouwaaaaa kabisa mkuu, ulimisikaMali yangu yaliwa. nimerudi wajameni mko pouwaaaaa.?
Ulimisika ww pia kwa mboni zangu. Na Skylar naye nilimmis, hivi Washawasha na pua lake bado anazima mishumaa??Pouwaaaaa kabisa mkuu, ulimisika
Mishua au mishumaa?Ulimisika ww pia kwa mboni zangu. Na Skylar naye nilimmis, hivi Washawasha na pua lake bado anazima mishua.?
Mishumaa typing errorMishua au mishumaa?
Error kama hizo kutokea ni kitu cha kawaida, nilikuelewa sana tena kwa herufi kubwaMishumaa typing error
Kubwa kuliko imetokea leoError kama hizo kutokea ni kitu cha kawaida, nilikuelewa sana tena kwa herufi kubwa
Leo ni leo, asemae kesho ni muongoKubwa kuliko imetokea leo
Muongo sana yule mtu, usimsikilizeLeo ni leo, asemae kesho ni muongo
Umsimsikilize huyu mtu ni tapeliMuongo sana yule mtu, usimsikilize
Tapeli atakuwa yeye, kutapeli katapeli dude wewe.Umsimsikilize huyu mtu ni tapeli
Wewe unamuongelea nani kwaniTapeli atakuwa yeye, kutapeli katapeli dude wewe.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwani story ya utapeli imenzia wapi?Wewe unamuongelea nani kwani
Wapi ameenda yule mtoto
Mtoto halali na helaWapi ameenda yule mtoto
Hela zenyewe ziko wapi sikuhizi ndugu yangu,maisha magumu Kila kitu bei juu
Bei juu sijui zitashuka liniHela zenyewe ziko wapi sikuhizi ndugu yangu,maisha magumu Kila kitu bei juu
Lini twende ile safariBei juu sijui zitashuka lini
Lini wa mwisho ndio mshindi kwenye huu uziBei juu sijui zitashuka lini