Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Mkali sana yule mwalimu, anaogopwa na wanafunzi woteKitonga ule Mlima kona zake na mteremko mkali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkali sana yule mwalimu, anaogopwa na wanafunzi woteKitonga ule Mlima kona zake na mteremko mkali
Mkali sana yule mwalimu, anaogopwa na wanafunzi wote
Taradadi hiyo ya muda ni kwa nchi zote?Wote laleni muda usha taradadi
Nchi zote za maziwa makuu zinafahamu Saint Anne ameuteka moyo wanguTaradadi hiyo ya muda ni kwa nchi zote?
"Wangu" ni jina la wimbo wa Lady Jadee aliomshirikisha Mr Blue, ilikuwa mwaka 2013.Nchi zote za maziwa makuu zinafahamu Saint Anne ameuteka moyo wangu
Mwaka 2013 mashabiki wa muziki wa Hip Hop nchini tulimpoteza rapper Langa Kileo aka Lyrically And Naturally Gifted African."Wangu" ni jina la wimbo wa Lady Jadee aliomshirikisha Mr Blue, ilikuwa mwaka 2013.
Hii miamba hususani Albert Mangwea aliimba wimbo mkali ajabu unaenda kwa jina la CNN akiwa na Fid Q.Mwaka 2013 mashabiki wa muziki wa Hip Hop nchini tulimpoteza rapper Langa Kileo aka Lyrically And Naturally Gifted African.
Langa aliwahi kuwa member wa kundi la 'wakilisha' lililowahi kushinda tuzo ya 'Tanzania Pop Stars' likiwa na members wengine wawili, Sarah Kaisi na Witness.
Hii ilikua mwaka mmoja tu tangu tumpoteze rapper bora wa muda wote kuwahi kutokea Tanzania na nchi za maziwa makuu, Alberto Mangweha aka Ngwair.
Iendelee kupumzika kwa amani, hii miamba.
Uongo hakuna hapo mama mtumishi.Hii miamba hususani Albert Mangwea aliimba wimbo mkali ajabu unaenda kwa jina la CNN akiwa na Fid Q.
Vipi baba mtumishi Pep nasema uongo?
Majani pfunk ni producer mzuri ninayemkubali katika mziki wa hiphop bongo.Uongo hakuna hapo mama mtumishi.
Fareed Qubanda anakiri Alberto ndo rapper pekee aliyewahi kumfanya aandike upya mistari.
Hii ni baada ya yeye kuskia verses za Alberto za kwenye CNN, akaona mistari aliyoandika yeye ni mepesi mno.
Akachana karatasi, akaandika upya mistari ambayo iliondokea kuja kuwa lyrics kali sana kutoka kwa Fareed.
"If you think small, you remain small for life", moja kati ya mstari wa Fareed kwenye CNN.
Then kuna ile beat, nadhani ile ni moja kati ya beats kali zaidi kuwahi kutengenezwa na mdachi Paulo Majani.
Jibu lake litaibua mengi JFMajani pfunk ni producer mzuri ninayemkubali katika mziki wa hiphop bongo.
Ukitoa nyimbo za kitumishi,
Nyimbo nyingine ambazo huwa nasikiliza ni hiphop.
Nikuchanie verse kidogo baba mtumishi???[emoji1787]
...............
Mdau MalcolM XII ameniuliza kama nilishawahi kuwaza kuonana nawe Baba mtumishi .
Naomba kwa niaba yangu umpe jibu lake.
Jibu la mkuu MalcolM XII ni hili.Majani pfunk ni producer mzuri ninayemkubali katika mziki wa hiphop bongo.
Ukitoa nyimbo za kitumishi,
Nyimbo nyingine ambazo huwa nasikiliza ni hiphop.
Nikuchanie verse kidogo baba mtumishi???[emoji1787]
Mdau MalcolM XII ameniuliza kama nilishawahi kuwaza kuonana nawe Baba mtumishi .
Naomba kwa niaba yangu umpe jibu lake.
JF imenipa mtoto mubashara sana mwenye hofu ya MunguJibu lake litaibua mengi JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu lake litaibua mengi JF
Mtirirko wamaji pangani ni mrefu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani wana uzi nimevuruga mtiririko.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha mafanikio.JF imenipa mtoto mubashara sana mwenye hofu ya Mungu
Mafanikio kwenye maisha yanatokana na familia bora. Au mnasemaje Pep na Saint Anne ?Hofu ya Mungu ni chanzo cha mafanikio.
Saint Anne na mimi tutatengeneza familia bora sana yenye mafanikioMafanikio kwenye maisha yanatokana na familia bora. Au mnasemaje Pep na Saint Anne ?
Mafanikio mema ila naomba utulete mlejisho ni bwawa au kisima na usimpe saint Anne paka akalewaSaint Anne na mimi tutatengeneza familia bora sana yenye mafanikio
Akalewa sana siku hiyo, kisha akaenda kwa baba mkwe kudai ng`ombe wa mahari aliyotoa baada ya mkewe kumkimbia kisa ana kibamiaMafanikio mema ila naomba utulete mlejisho ni bwawa au kisima na usimpe saint Anne paka akalewa
kibamia sio kilema inategemea na na jinsi Saint Anne atavyokishereheshaAkalewa sana siku hiyo, kisha akaenda kwa baba mkwe kudai ng`ombe wa mahari aliyotoa baada ya mkewe kumkimbia kisa ana kibamia