Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hajazaliwa katika ulimwengu wa Mwili lakini katika ulimwengu wa roho yupo tayariWangu bado hajazaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajazaliwa katika ulimwengu wa Mwili lakini katika ulimwengu wa roho yupo tayariWangu bado hajazaliwa
😍😘😘😘😘Tayari nimekuweka picha hapa nimepiga leo mchana pale hippo pool, Serengeti National Park.
View attachment 2061809
Nimeiweka humu kuwa confuse mataga
Ageuke? hapana, hapo kuna jopo la hippos kwaio akigeuka akawapa mgongo anaweza pigwa counter attack moja kama ile walipigwa The Kops jana😍😘😘😘😘
Mataga hawapo.
Nasubiri baba mtumishi ageuke
🤣🤣🤣🤣The kops jana tumetelezaAgeuke? hapana, hapo kuna jopo la hippos kwaio akigeuka akawapa mgongo anaweza pigwa counter attack moja kama ile walipigwa The Kops jana
Hisia zako nazielewa mtumishi mwenzangu.🤣🤣🤣🤣The kops jana tumeteleza
Acha kunibania.
Siku yangu leo ina mixture ya hisia🤦♀️
View attachment 2061827
Mama wawili nafanana naye sana.Hisia zako nazielewa mtumishi mwenzangu.
Sio jambo rahisi and it will never be.
Mungu aendelee kumpa pumziko la milele mzee wetu.
Kwa upande wako endelea kuhakikisha mzee anakua proud kwamba He raised a God-fearing beautiful lady.
_________________
Msalimie Ma wawili
Nimeumia mno pia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeumia mno pia.
Ila nimefarijika kugundua mzee alikua anapenda ndizi na pilau kama mkwe wake [emoji28]
Stori zake mbali ya kuwa zinaleta furaha, pia zitakuwa zina mafundisho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wake wakwe walikuwa wakienda kumsalimia wanafurahi na roho zao.
I wish ungemuona,ungefurahi sana kwa stori zake.
Mafundisho mengi yametukuza katika njia sahihi.Stori zake mbali ya kuwa zinaleta furaha, pia zitakuwa zina mafundisho
Sahihi kabisa hayo maneno unayoyasemaMafundisho mengi yametukuza katika njia sahihi.
Sahihi kabisa hayo maneno unayoyasema
Social media ni sehemu ya jamii yetu
Wapi mirinda inapatikana?
Wapi upo binamu nije kukupa salamu
Inapatikana Tanzania nzima kila mtaaWapi mirinda inapatikana?
Dukani kwa mangi
Shida ni kwa wanaonunua mirinda nyeusi
Nyeusi ibaki kuwa nyeusiShida ni kwa wanaonunua mirinda nyeusi
Nyeusi kama mkaaNyeusi ibaki kuwa nyeusi