Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Chunya nini bana[emoji19] Pep,ile picha inamtia mama mtumishi majaribuni[emoji23],usiniulize kivipi.
Anataka ile umeinua simu bila michoro.
Please babe please[emoji8][emoji8]
Please niambie ni ipi? 🤭

________

Niliyoinua simu ukiiunganisha na nyingine unapata the complete thing mrembo wangu...
 
Jina lake linavuma kwenye mitaa.....jina lake lina hadhi ya ki superstar....

Halina kwakweli, hapo nimesema uongo ndugu zangu 🤣🤣
Ndugu zangu jina lake linaongeza idadi ya maadui,wengine anawajua wengine hawatambui...
Jina lake😀
 
Wangu mtumishi ile ya kwenye kioo ile kwa kweli inanitia mama mtumishi majaribuni🙈
Majaribuni? nimecheka kitopolo ati

Wacha nikaiangalie vizuri 🤣🤣🤣
Tena majaribu mazito ukizingatia mama mtumishi yupo mid ishirini,,umri wa motomoto😆
Mid ishirini ni umri wa moto moto kwakweli.

Ni jambo la baraka kuna ka significant gap kati yako na baba mtumishi 😉
 
Majaribuni? nimecheka kitopolo ati

Wacha nikaiangalie vizuri 🤣🤣🤣

Mid ishirini ni umri wa moto moto kwakweli.

Ni jambo la baraka kuna ka significant gap kati yako na baba mtumishi 😉
Baba mtumishi wangu yupo kale ka age pendwa.
Hebu icheki aisee...nadhani utagundua kama kweli ile picha ilimtia mama mtumishi majaribuni🙈.
.............
Usinitoe kwenye reli,naomba picha niliyokuomba tafadhali.
 
Back
Top Bottom