Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kweli kivipi mkuu??
Ya mwisho kabla yako iliishia na dhaifu, ungeendelezea pale.
Pale nilikuwa sijagundua Shark ....
Lol unajua mi binafsi sipendi kuona madoctor wanaishi maisha magumu wakati ndio wanaotuwezesha kuzalisha mali na kukuza uchumi na kuokoa maisha ya watu....!
Serikali iangalie kwa ukaribu suala lao!
 
Last edited by a moderator:
Pale nilikuwa sijagundua Shark ....
Lol unajua mi binafsi sipendi kuona madoctor wanaishi maisha magumu wakati ndio wanaotuwezesha kuzalisha mali na kukuza uchumi na kuokoa maisha ya watu....!
Serikali iangalie kwa ukaribu suala lao!

Lao wanalodai ni dogo sana compare with chai ya ikulu 15Bil na Mshahara wa Mbunge
 
Last edited by a moderator:
Mbunge mwenyewe bungeni anaongea Pumba hakuna lolote

Lolote tu wabunge wanaongea bila kujali kua tunawatazama!!
Kama kina Msangi wangekua na huruma na watanzania wangeanzia Dodoma kwanza

Kuna wajinga wengi sana .
 
Wote wanaowaza kama wewe H.I.V yao kama sio kukonda sana kwa shughuli hiyo
 
bhangi nibangue, nibangue yaani nasema nibangue ili kwa muda nisahau maisha magumu yaliyosababishwa na mr dhaifu
 
Aibu kubwa sana kiongozi wa magamba(Lukuvi) aliposhushuliwa na Lissu bungeni
 
Aibu kubwa sana kiongozi wa magamba(Lukuvi) aliposhushuliwa na Lissu bungeni

bungeni ata ungeenda wewe ungetia aibu tuu...hapa kwenyewe umeishaanza kuvuruga mchezo,sijui ndio umeshalewa niagieni!!!!
 
Niagieni! Niagieni! Ni sauti iliyosikika kwa mgonjwa wa H I V wakati anakata roho akikumbuka aliemwambukiza bado anakula maini
 
Back
Top Bottom