salito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,406
- 731
wote wameathirika kasoro wewe na mkeo.duniani kuna mademu kama milioni ishilini na sita na ushee,na nitaakikisha nimewapitia wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote wameathirika kasoro wewe na mkeo.duniani kuna mademu kama milioni ishilini na sita na ushee,na nitaakikisha nimewapitia wote
yah ni kweliUmasikini umeletwa na serikali ya ccm dhaifu
yah ni kweli
Pale nilikuwa sijagundua Shark ....Kweli kivipi mkuu??
Ya mwisho kabla yako iliishia na dhaifu, ungeendelezea pale.
Pale nilikuwa sijagundua Shark ....
Lol unajua mi binafsi sipendi kuona madoctor wanaishi maisha magumu wakati ndio wanaotuwezesha kuzalisha mali na kukuza uchumi na kuokoa maisha ya watu....!
Serikali iangalie kwa ukaribu suala lao!
Mbunge mwenyewe bungeni anaongea Pumba hakuna loloteLao wanalodai ni dogo sana compare with chai ya ikulu 15Bil na Mshahara wa Mbunge
Mbunge mwenyewe bungeni anaongea Pumba hakuna lolote
Wote wanaowaza kama wewe H.I.V yao kama sio kukonda sana kwa shughuli hiyo
yah ni kweli
hiyo ndo dili na ndo inayowaingizia pesa machangudoa.
hiyo ndo dili na ndo inayowaingizia pesa machangudoa.
Machangudoa waliojazana Dodoma wakiwinda wabunge...
wabunge wana akili kama za kwako kuchakachua uzi,kama simbachawene alivyomchakachua mke wa koplo..
Aibu kubwa sana kiongozi wa magamba(Lukuvi) aliposhushuliwa na Lissu bungeni