Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Juu zaidi kwasababu ya vita vya Ukraine-UrusiMijini hapafai saivi vitu bei juu
Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juu zaidi kwasababu ya vita vya Ukraine-UrusiMijini hapafai saivi vitu bei juu
Urusi wasitishe operesheniJuu zaidi kwasababu ya vita vya Ukraine-Urusi
Z
Operesheni iendeleeUrusi wasitishe operesheni
iendelee ili?Operesheni iendelee
Z
Ili Urusi ishindeiendelee ili?
Ishinde tabia ya kuahirisha mamboIli Urusi ishinde
Z
Mambo yamebadilika sana, zamani haikua hiviIshinde tabia ya kuahirisha mambo
Mambo yamebadilika sana, zamani haikua hivi
Iwe isiwe 2025 nitachukua fomu CCM nishindane na mamaHivi ndvyo walitaka iwe....
Iwe isiwe 2025 nitachukua fomu CCM nishindane na mama
Nalog off Z
Wahenga walikua na misemo yao mizuri, ndio maana tunawaenzi had leoMama n mama hata kama anazngua, ndvyo wasemavyo wahenga
leo imefikia stage et chapati moja 800!Wahenga walikua na misemo yao mizuri, ndio maana tunawaenzi had leo
leo imefikia stage et chapati moja 800!
Kifungua kinywa cha Ugali vijijini na hata baadhi ya makabila ni enzi na enzi, sidhani kama ni jambo geni800 😳, looh! Hatuna bud kula ugali asubuhi kama kifungua knywa
Jambo geni hilo, kwetu sisi hatujazoeaKifungua kinywa cha Ugali vijijini na hata baadhi ya makabila ni enzi na enzi, sidhani kama ni jambo geni
Jambo geni hilo, kwetu sisi hatujazoea
Wazoefu siku zote walianza kama utani vile, kuja kustuka wakajikuta wameshakuwa wazoefu suguHatujazoea kuyaona haya yanayoendelea, lkn kadr sku znavyosonga hatuna budi kuwa wazoefu
Sugu inaharibu sana ngoziWazoefu siku zote walianza kama utani vile, kuja kustuka wakajikuta wameshakuwa wazoefu sugu
Sugu inaharibu sana ngozi
Hao watu wanajali maslahi yaoNgozi mara nyng huaribiwa na makemikali wanayotumia wanaotaka kung'aa, inaskitsha kweli nkiwatazama watu hao