Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

2015 tutakuwa na katiba mpya itakayo ondoa kinga ya kufunguliwa mashtaka kwa marais wastaaf. Tutaanza kumfunga baba mwanaasha
 
1 ccm, namba 2 pia ccm na namba tatu twawachia vyama vingine
 
Vingine vinavyofanywa kwenye huu mchezo ni vya kijinga..mi naona tubadilishe kichwa cha mchezo kiseme pia 'anayekosea ni kilaza'.embu mtizame huyo buchanagande hapo juu
 
chini au juu zote ni sawa, muhimu ni point aliyoiongelea prisoner. Huu mchezo ni mzuri na unafurahisha hasa pale ambapo ni muendelezo wa mada moja. Mf. Madaktari au siasa. Ila kuna wengine vichwa vigumu sijui ni hawaelewi au makusudi?
 
Wenu ni jina la kichaa mmoja anapatikana kule mitaa masaki
 
Vibopa ndio kama sisi wamaliziaji..hence proved kama kwenye hesabu za form 2,mimi ndiyo mshindi..nipeni kombe jamani
 
Jaman mshangaen prisoner katoka jana jela anataka nimrudishe tena..
 
daily bongo jua kali na maisha ndio haya hayana uelekeo kwa watanzania waliowengi.
 
Aibu mbaya ni kuchanika suruali masaburini halafu huna boxer wala c....pi kisha upo kwenye dala dala.
 
Back
Top Bottom