Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

Wasalaam wana Jamvi!

Moja kwa moja kwenye mada.

1. Hakuna watu wenye raha katika nchi hii kama Wazanzibari. Wao wana privillages nyingi sana katika taifa kuliko mwananchi wa sehemu yoyote. Wao ni kama wana wa Mfamle na Watanganyika ni vijakazi wao.

Wana Uhuru wa kuishi upande wowote wa muungano na kupata haki zote bila shida yoyote, kitu ambacho ni ndoto kwa Watanganyika wakienda Zanzibar. Hawapewi haki yoyote ile katika visiwa hivyo. Sina haja ya kuelezea kila kitu kwa kuwa kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza kwa upana sana.

2. Sasa limekuja swala la mikopo ya nje na ajira. Zanzibar wanatunyonya sana waTanganyika kama vile hamnazo hivi.
Kweli inaingia akilini kwa nchi yenye idadi ya watu 2M kupata Mkopo kwa 25% na ajira 21% dhidi ya nchi yenye watu 58 M?

3. Yote tisa, kumi mimi ninawataka Watanganyika ambao ni Pro-Muungano wa aina hii wanipe faida zinazotokana na Muungano huu kwa watu wa Upande wa Bara? Kwa Lugha nyepesi, mimi mtu wa Morogoreo nina faidika vipi na uwepo wa Muungano huu zaidi ya hasara.?

MWISHO! Jamani tuamke tulisemee taifa letu, tunataka usawa katika nchi yetu na sio vinginevyo
Tafuta video clip ya mbunge wa Isimani mh Lukuvi akiongea pahala flani utajua kwa nini wabara ndiyo mnang'ang'ania muungano....
 
Wasalaam wana Jamvi!

Moja kwa moja kwenye mada.

1. Hakuna watu wenye raha katika nchi hii kama Wazanzibari. Wao wana privillages nyingi sana katika taifa kuliko mwananchi wa sehemu yoyote. Wao ni kama wana wa Mfamle na Watanganyika ni vijakazi wao.

Wana Uhuru wa kuishi upande wowote wa muungano na kupata haki zote bila shida yoyote, kitu ambacho ni ndoto kwa Watanganyika wakienda Zanzibar. Hawapewi haki yoyote ile katika visiwa hivyo. Sina haja ya kuelezea kila kitu kwa kuwa kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza kwa upana sana.

2. Sasa limekuja swala la mikopo ya nje na ajira. Zanzibar wanatunyonya sana waTanganyika kama vile hamnazo hivi.
Kweli inaingia akilini kwa nchi yenye idadi ya watu 2M kupata Mkopo kwa 25% na ajira 21% dhidi ya nchi yenye watu 58 M?

3. Yote tisa, kumi mimi ninawataka Watanganyika ambao ni Pro-Muungano wa aina hii wanipe faida zinazotokana na Muungano huu kwa watu wa Upande wa Bara? Kwa Lugha nyepesi, mimi mtu wa Morogoreo nina faidika vipi na uwepo wa Muungano huu zaidi ya hasara.?

MWISHO! Jamani tuamke tulisemee taifa letu, tunataka usawa katika nchi yetu na sio vinginevyo
Tatizo kubwa ni umma kukosa uwakilishi bungeni kufuatia wizi wa Kura mnamo 28/10/2020.
Kwa sasa HAKUNA anayeweza kuhoji huu wizi na unyang'anyi kule bungeni.
Ndugai alijaribu kidogo yakamkuta!
Tanganyika imegeuzwa kinyemela kuwa Shamba la Bibi. Wanavuna mwanzo mwisho!

 
Waafrika tuna matatizo makubwa sana.

Marekani ni Muungano wa nchi 52 ila husikii kelele za aina yeyote.

Sisi hapa nchi mbili tu kila siku yanaibuka mapya.
 
Mkuu, wamepewa fedha kwa ajili ya miradi ya maji tu. Ni maji tu ya kuoga, kufulia, kupikia na kunywa.
Wala hata sio hela ya bia na bata.

Au kuna ubaya mkuu ?
Maana naona msingi wa hoja yako umeanzia kwenye mgawo wa huo mkopo wa "mabeberu".
Znz wanajengewa vituo vya afya kila umbali wa 5 km..
Mbona kwa Bara hakuna hilo?!!!
 
Katiba mpya wananchi walioendekeza serikali tatu!CCM Kwa ulafi wao wa madaraka wakatupa maoni ya wananchi!
Kweli tumepigwa na kitu kizito sisi wadanganyika!
 
Embu twende na uhalisia:

Taifa la Tanganyika, eneo lake ni eneo lote la Tanzania Bara ya sasa.

Kwa hiyo waliokuwa Watanganyika, ndiyo wanaitwa Watanzania kwa sasa.

Kisheria, Watanganyika hawapo na hata ardhi yao haipo. Ila, Watanzania wapo na ardhi yao ipo.

Zanzibar wana eneo lao kisheria. Wana watu, Serikali n.k. Watanzania, ambao Watanganyika wa zamani, nao wana serikali yao na taasisi zake.

Kwa hiyo, Watanganyika unaowataka wapiganie haki zao hawapo kwa sababu sasahivi Wanaitwa Watanzania kuanzia April, 26 1964.

Ila Wazanzibari wapo kisheria na haohao Wanzanzibari wanatambulika kisheria kama Watanzania.

So kuna Watanzania Wanzanzibari na kuna Watanzania ambao siyo Wazanzibari. Yaani, ni sawasawa kusema, kuna Watanzania Wasukuma na kuna Watanzania amabo siyo Wasukuma, maana wengine ni Wachagga, n.k.

Lakini, wewe unayejiita Mtanganyika, kwa mfano, ukienda Zanzibar au kupewa unachokitaka huko, kitabadilishaje maisha yako?

Lakini pia, ukibadilishwa jina ukaitwa Mtanganyika, kimsingi haitabadili kitu. Yaani haina tofauti na Mpare atake aitwe Mchagga.

Kimsingi, iliyokuwa Tanganyika ndiyo sasa Tanzania, ikiwemo Zanzibar.

Na huwezi ukawaita Watanganyika na kuwahimiza maana hawa watu wenye jina hilo la Watanganyika hawapo.
Huu ndiyo ujinga wetu kuwa proud na jambo la kipuuzi
 
Ok twende na Logic yako.

Mtanzania mwenye asili ya upande wa bara anafaidika vipi na huu muungano?

Kipi hasa anakipa akienda Zanzibar ambacho waZanzibari wakija bara wanapata??

Tusaidie hapo Mtaalam
Hawezi kukujibu bali bla bla za watawala
 
Wasalaam wana Jamvi!

Moja kwa moja kwenye mada.

1. Hakuna watu wenye raha katika nchi hii kama Wazanzibari. Wao wana privillages nyingi sana katika taifa kuliko mwananchi wa sehemu yoyote. Wao ni kama wana wa Mfamle na Watanganyika ni vijakazi wao.

Wana Uhuru wa kuishi upande wowote wa muungano na kupata haki zote bila shida yoyote, kitu ambacho ni ndoto kwa Watanganyika wakienda Zanzibar. Hawapewi haki yoyote ile katika visiwa hivyo. Sina haja ya kuelezea kila kitu kwa kuwa kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza kwa upana sana.

2. Sasa limekuja swala la mikopo ya nje na ajira. Zanzibar wanatunyonya sana waTanganyika kama vile hamnazo hivi.
Kweli inaingia akilini kwa nchi yenye idadi ya watu 2M kupata Mkopo kwa 25% na ajira 21% dhidi ya nchi yenye watu 58 M?

3. Yote tisa, kumi mimi ninawataka Watanganyika ambao ni Pro-Muungano wa aina hii wanipe faida zinazotokana na Muungano huu kwa watu wa Upande wa Bara? Kwa Lugha nyepesi, mimi mtu wa Morogoreo nina faidika vipi na uwepo wa Muungano huu zaidi ya hasara.?

MWISHO! Jamani tuamke tulisemee taifa letu, tunataka usawa katika nchi yetu na sio vinginevyo
Tatizo ni ccm wabunge na mawaziri ni mazuzu
 
Waafrika tuna matatizo makubwa sana.

Marekani ni Muungano wa nchi 52 ila husikii kelele za aina yeyote.

Sisi hapa nchi mbili tu kila siku yanaibuka mapya.
Ya USA yana ukweli. Lakini hii ya hapa hata wananchi hawashirikishwi, na ni mwiko kuujadili !!
 
Waafrika tuna matatizo makubwa sana.

Marekani ni Muungano wa nchi 52 ila husikii kelele za aina yeyote.

Sisi hapa nchi mbili tu kila siku yanaibuka mapya.
Vitu viwili tofauti kabisa. Huwezi kufananisha muungano wetu na ule wa wamarekani hata kidogo.
 
Sajazungumzia muundo

Bali idadi.
Umesema “muungano wa nchi 52 vs Muungano wa nchi mbili”

Muungano hauna muundo?

Ukilinganisha idadi bila ya kuhusisha muundo uliopelekea hiyo idadi ya kwenye muungano, ni ukosefu wa hoja yoyote kwenye bandiko lako.
 
Back
Top Bottom