JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
- Thread starter
- #41
Tatizo kubwa ni umma kukosa uwakilishi bungeni kufuatia wizi wa Kura mnamo 28/10/2020.
Kwa sasa HAKUNA anayeweza kuhoji huu wizi na unyang'anyi kule bungeni.
Ndugai alijaribu kidogo yakamkuta!
Tanganyika imegeuzwa kinyemela kuwa Shamba la Bibi. Wanavuna mwanzo mwisho!
Muungano wetu: Mgao wa Fedha za IMF na Zanzibar kupewa asilimia 18, ni sahihi?
Hivi karibuni, kuna taarifa zilizowekwa wazi kwenye baadi ya vyombo vya habari, juu ya mgawanyo wa mikopo ya nje, kati ya Tanzania bara na Zanzibar. Mkopo wa pesa ya Uviko 19, tunaambiwa Zanzibar ilipata 18%. Mkopo wa kutoka Japan, tunaambiwa Zanzibar imepata 30%. Mkataba wa Muungano kati ya...www.jamiiforums.com
Tatizo kubwa naona zaidi kwa wananchi kuliko hata wana siasa.
Wamelala utafikiri nchi iko sawa, sijui tumerogwa na nani? Na inawezekana aliyeturoga ameshakufa