kweli mkuu,tatizo mazingira ya biashara tanzania sio rafiki kabisa!na zinataka wewe mwenyewe uwe msimamizi kila process vinginevyo wafanyakazi wezi
Point yako inakuwa explained na hii quote
"Some people see the glass half full. Others see it half empty. wewe umeamua kuchagua kuitazama glass ya iliyowekwa maji nusu kama half empty na sio half full. Yaani umejikita kwenye kuidentify problems zaidi na sio opportunities. We cant move that way.
Tanzania ina watu 45m, wakulima ni 85% na wapo vijijin. Kimsingi ni wakulima wa jembe la mkono ambao tumashajiridhisha kuwa hawana uwezo wa kufeed 45 people. Hivi hii wewe unahitaji mwekezaji kuiona kuwa ni opportunity???Serikali yetu pmj na mapungufu yake, inajitahd kuweka mazingira rafiki kwa wanaojishughulisha. Huwezi letewa hela nyumbani.
Take tu initiative nenda hata wizara ya kilimo ulizia fursa zilizopo, Nenda walayani ipo hapo mirad ya district agri dev plans (DADPS) zipo hela hapo, nenda TIB, ipo pesa pale sasa tunataka nn cc jaman??? wizara ya kilimo inaweza ikakuwezesha ukapata hata heka 100 bure! i mean bure. ila hatutak kujituma. Cc ni wababaishaji tu, ndo the only expalnation. Anayebisha nipo tayari kusonga naye then tuone km hatutatoka.
Tanzania zipo opportunities nyingi sana, ila ni kwamba watu tu hawana uthubutu kama anavyosema Lara1. Biashara is all about how you execute na sio about how well your business plan/idea is. Mimi sio bizman ila naona kabisa kuwa zipo opportunities ambazo zinantaka uthubutu tu tena nyingine wala hata co mtaji at all.
Imagine mtu unalipwa mshahara wa 1 million, hii ukitoa kodi na mausafiri, ma lunch ukiwa kazin na nn mwisho wa cku ni kama umepata laki 6 kwa mwezi, tena hapo ujiminye hasa. ukigawanya kwa siku 30, utagundua kuwa umepata 20,000 per day. Kuhusu kukosa muda nalo ni tatizo lilelile, kwann ukose muda wa kukuzalishia pesa ming afu ukapata muda wa kukuzalishia 20,000 kwa mwajiri wako????
Tuassume wewe una degree moja. Unachotaka kusema hapa ni kuwa umeshindwa kutumia akili yako kupata kipato zaid ya 20,000 kwa siku na ndomana umeamua kuajiriwa.
Huu ni uvivu tu wa kufikiri. Takwimu zinaonyesha hakuna mwajiriwa Tajiri. Ili kuwa tajir unahitaj kufanya biashara na co kusaka high pay jobs. Katika mtandao wa matajiri wa Forbes, hakuna mwajiriwa pale aliyekuwa tajiri. sasa ni kwamba cc waajiriwa hatupendi kuwa matajiri au ni uvivu tu wa kufkiri???
Tanzania opportunities zipo nying sana. Mfano katika sekta ya kilimo. Leo hii wewe weka mipassion yako miche 500 tu kwenye heka zako mbili afu unambie ukianza kuvuna km hutopata zaid ya 20 per day. Hilo ni zao moja. Yapo mengi sana.
Huyo alopata 10m angesema achukue just 5m akannua miche yake ya maembe ya kisasa kama 500 kwenye kama 5 hekas huko mlandizi. Angepata pesa nyingi kwa mwaka kuliko kodi ya nyumba atakayoijenga kwa 10m au hata nyumba ya 50m. so ni namna ya kufkiri tu.Tatizo letu sehemu tunayohitajika kufikiri sisi huwa tunawaza. Mimi na concur na mawazo ya Lara1. Somewhere tuna problems ya kufikiri, nadhan ni lishe ya utotoni.