businezz_oligarch
Senior Member
- Dec 16, 2012
- 145
- 35
tell him to show his tax profile if at all it is clean money, he might have done so simply because is working with the oligarchy which has hijacked the tanzania music industry, out of this oligarchy Ruge is a street hawker. His fortune is accidental like that of Adolf Hitler and the Mercedes Benz, when hitler survived a motorcade with a mercedes benz and ordered the car to adopted by the government, without that accident mercedes benz could have died long.
Hapa ndo nimeanzisha MKURABITA humu JF,we fatilia tu series za post zangu jukwaa hili, nitakuletea Mambo Mazito ya Watz walioanzia 0, step by step na kufikia u billionea. Logical facts! Hakuna ndumba wala magendo. Stay tuned. Lazima tutokomeze umasikini! Tunaanza kutokomeza wa Fikra kwanza.
topic nzuri lakini binadamu wote tunaweza ona mto wa maji wengine wataoga wengine watakunywa wengine watatengeneza maji ya azam wauze .......nyumba ni mradi nao kama we unavyoona uchuuzi ni mradi .....faida /return zinatofautiana ........ukinunua kiwanja tegeta cha mil 20 na kujenga nyumba ya mil 50 valuation yake inaweza kuwa hata mil 150 ....utakapomaliza tu sawa hii inawezekana sio hela kwa sababu ni ripoti tuu ka we unavyosema ila ukienda kwenye vyombo vya fedha ni rahisi kuvuta mkopo wa mil 120 na zaidi kwa nyumba hii ......ukisubiri miaka 5 unaweza kopa zaidi kwa sababu valuation ya nyumba ni zaidi na kufanya hiyo miradi ......ila kingine tu ukumbuke valuation ya utajiri wa mtu sio faida anayopata .....kuna tofauti kati ya profit na how wealth you are....! kwa hiyo inategemea we malengo yako ni nini ....ya muda mrefu ....unaposema mtu mwenye nyumba 2 pengine zina worth mil 400 amekufa masikini mi sijakuelewa .....au mpaka awe na mil 400 kwenye account ? ila topic nzuri sana kuna mengi na mimi nimejifunza !
Haukufikiria hiyo nyumba ambayo thamani yake imeappreciate ndio imekuwa mkombozi? Mdingi asingezika pesa hiyo, hiyo capital ingeoatikana kirahisi?
Si wote wenye uwezo au muda na guts za kufanya biashara wakingali waajiriwa. So kuzika mil. 2 ndio investment au saving if you may. Kuna rafiki yangu ambaye alijenga huku na mjini, kamaliza kazi kauza nyumba ya huku karudi mjini na mtaji wa 80m.
Sasa utajuaje uhalisia wa biashara bila kuijaribu???????? Raha ya ngoma uingie ucheze. WOGA WAKO UMASIKINI WAKO!!!!!!!!!
Issue ni kuwa mtu sawa ana nyumba 2, moja anaishi na ingine ndo anategemea kodi. Standard yake ya maisha bado iko chini sanaaa. Mind you huo ujenzi aliishi kwa kujibana na kuwabana familia yake.
I dont know, mimi bwana falsafa yangu maisha ni mafupi , i have to make the most of it while i can. So nitakusanya hela balaaa so as nienjoy mimi na familia yangu, holiday Dubai na nini. Nikijenga ni out of profits sio kwa saving. Lazima niwe na investments za kutosha na liquidity ya hali ya juu ili kufacilitate living large(Transactions motives) Ila sio kujibanaaaa kuishi at the edge kila skiu na kuja kuzeeka na nyumba 2. Ukifa watu watoane roho kugombea wakati wewe marehemu umetoka jasho la damu kumake that happen.
HAKUNA ALIEZALIWA NA PESA! WOTE TUMEZIKUTA HAPA HAPA DUNIANI. KUPATA WEWE NI USHAHIDI TOSHA KUWA HATA MIMI NIKIAMUA NAPATA PIA!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Watanzania wengi haswaaa vijana wa sasa na vijana wa zamani wengi watakufa maskini ama kuzeeka maskini kwa kuendekeza Ucommunist na sera za kizamani za utajiri ni kumiliki nyumba na gari.
Sikatai nyumba ni a very valuable asset, na ina appreciate in value with time lakini this is not necessarily the case always. Appreciation na returns za hio nyumba zinaweza zisiwe reasonable enough kujustfy wewe kufkia 40Mills au 30Mills leo hii. Hio initial investment inaweza kuchukua hata 20yrs kujirudisha tu bila kujilipa. Imagine hio 40Mills ungewekeza kwenye opportunity zingine zenye large returns, na kuhakikisha unachukua calculated risk in 20yrs si unweza kujikuta una 400Mills na mijumba ya kumwaga!
Sio kwamba wa tz wengi hatushiki mbesa, no! tunashika sanaaa sema priority ndo zinatuangusha haswaa waajiriwa wa white collar jobs. Ile breakthrough ya msomi kutoka maisha ya kawaida na kuwa mwekezaji anae ajiri watu asilimia kubwa hawaifikiii. Mtu akishika tupesa tudogo anakimbilia kutuzika mashambani huko!
Vijana wenzangu unashika tu 10mills unawahi kutuzika Mbagara kiburugwa sijui huko au Mbezi maramba mangapi sijui. Unaongezea kuzika mamilioni hadi yafike hata 50 in 4 yrs hadi umalize jumba hilo. Kisha kodi unapoke 100,000/= in 10 to 20 years haiendi mbali na hapo. Watu waliojenga Tabata in 1990's nyumba mpaka leo Tbt ni 200,000 kwa mwezi?????
Tubadilike tuwe capitalistic. Ukishika 10m ujipange izungushe ushike 50m. It all about opportunity and risk taking this is the only key kuwa billionea. Ruge keshasema fursa ziko nyingi mnoooo! Tabia ya kuzika tuiache. Nyumba ziko kibao Sinza, Masaki, Obay, Knyma kwanini uende porini? Hio 10Mills izungushe hadi ifike 300Mills ununue nyumba ya uhakika Kinondoni. This is the bigger picture!
Thanks you all!
MAISHA YAKO! CHAGUO NI LAKO!!!!!! WOGA WAKO UMASIKINI WAKO!!!!!!!!!!!! Hizo appreciation in value calculated sio sawa na real value ukitaka kuuza. Juzi kuna mdau kanunua plot 9m, low density, kimepimwa na kina hati tbt lakini valuation ya ile plot si chini ya 25m je ukitaka kuuza yuko mtu standby wa kununuaaaaaa? Money in documents n publications ain't real money! Walio uza nyumba recently watakubaliana na mimi.
Lonya zimewatoa kina Shirima (R.I.P) walikuja mjini na begi! Wachina wanaleta lonya wanaondoka na mibegi ya hela! Chezeya! Biashara ni biashara mradi iwe inalipaaaaa!
Afu ujue mambo kuingiza mambo ya uchunaji wakati mwenzio niko busy na Mkurabita sifagilii wala nini.
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Watanzania wengi haswaaa vijana wa sasa na vijana wa zamani wengi watakufa maskini ama kuzeeka maskini kwa kuendekeza Ucommunist na sera za kizamani za utajiri ni kumiliki nyumba na gari.
Sikatai nyumba ni a very valuable asset, na ina appreciate in value with time lakini this is not necessarily the case always. Appreciation na returns za hio nyumba zinaweza zisiwe reasonable enough kujustfy wewe kufkia 40Mills au 30Mills leo hii. Hio initial investment inaweza kuchukua hata 20yrs kujirudisha tu bila kujilipa. Imagine hio 40Mills ungewekeza kwenye opportunity zingine zenye large returns, na kuhakikisha unachukua calculated risk in 20yrs si unweza kujikuta una 400Mills na mijumba ya kumwaga!
Sio kwamba wa tz wengi hatushiki mbesa, no! tunashika sanaaa sema priority ndo zinatuangusha haswaa waajiriwa wa white collar jobs. Ile breakthrough ya msomi kutoka maisha ya kawaida na kuwa mwekezaji anae ajiri watu asilimia kubwa hawaifikiii. Mtu akishika tupesa tudogo anakimbilia kutuzika mashambani huko!
Vijana wenzangu unashika tu 10mills unawahi kutuzika Mbagara kiburugwa sijui huko au Mbezi maramba mangapi sijui. Unaongezea kuzika mamilioni hadi yafike hata 50 in 4 yrs hadi umalize jumba hilo. Kisha kodi unapoke 100,000/= in 10 to 20 years haiendi mbali na hapo. Watu waliojenga Tabata in 1990's nyumba mpaka leo Tbt ni 200,000 kwa mwezi?????
Tubadilike tuwe capitalistic. Ukishika 10m ujipange izungushe ushike 50m. It all about opportunity and risk taking this is the only key kuwa billionea. Ruge keshasema fursa ziko nyingi mnoooo! Tabia ya kuzika tuiache. Nyumba ziko kibao Sinza, Masaki, Obay, Knyma kwanini uende porini? Hio 10Mills izungushe hadi ifike 300Mills ununue nyumba ya uhakika Kinondoni. This is the bigger picture!
Thanks you all!
Naunga mkono thread kwa upande wa kutumia kile tunachokipata wisely japo bado naamini kuwa na nyumba/ makazi ni hatua muhimu sana kwenye harakati za kujikwamua kiuchumi. Sio lazima tufuate kila kitu anachosema lara 1 ila naamini kidogokidogo huu uzi utafungua kwa kiasi kikubwa sana jinsi tunavyo tumia rasilimali zetu.
Na ndio maana utajiri na shule havikai pamoja! Mkuu Young Tanzanian, tuwe wa kweli, wafanyakazi wengi tulioajiriwa tumefungwa sana na mambo ya kutaka ku apply mambo ya shule kwenye real life, ndo maana mara zote tunakuwa waoga sana, na kwa sababu hiyo wenye pesa wengi wana shule ndogo sana.
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Watanzania wengi haswaaa vijana wa sasa na vijana wa zamani wengi watakufa maskini ama kuzeeka maskini kwa kuendekeza Ucommunist na sera za kizamani za utajiri ni kumiliki nyumba na gari.
Sikatai nyumba ni a very valuable asset, na ina appreciate in value with time lakini this is not necessarily the case always. Appreciation na returns za hio nyumba zinaweza zisiwe reasonable enough kujustfy wewe kufkia 40Mills au 30Mills leo hii. Hio initial investment inaweza kuchukua hata 20yrs kujirudisha tu bila kujilipa. Imagine hio 40Mills ungewekeza kwenye opportunity zingine zenye large returns, na kuhakikisha unachukua calculated risk in 20yrs si unweza kujikuta una 400Mills na mijumba ya kumwaga!
Sio kwamba wa tz wengi hatushiki mbesa, no! tunashika sanaaa sema priority ndo zinatuangusha haswaa waajiriwa wa white collar jobs. Ile breakthrough ya msomi kutoka maisha ya kawaida na kuwa mwekezaji anae ajiri watu asilimia kubwa hawaifikiii. Mtu akishika tupesa tudogo anakimbilia kutuzika mashambani huko!
Vijana wenzangu unashika tu 10mills unawahi kutuzika Mbagara kiburugwa sijui huko au Mbezi maramba mangapi sijui. Unaongezea kuzika mamilioni hadi yafike hata 50 in 4 yrs hadi umalize jumba hilo. Kisha kodi unapoke 100,000/= in 10 to 20 years haiendi mbali na hapo. Watu waliojenga Tabata in 1990's nyumba mpaka leo Tbt ni 200,000 kwa mwezi?????
Tubadilike tuwe capitalistic. Ukishika 10m ujipange izungushe ushike 50m. It all about opportunity and risk taking this is the only key kuwa billionea. Ruge keshasema fursa ziko nyingi mnoooo! Tabia ya kuzika tuiache. Nyumba ziko kibao Sinza, Masaki, Obay, Knyma kwanini uende porini? Hio 10Mills izungushe hadi ifike 300Mills ununue nyumba ya uhakika Kinondoni. This is the bigger picture!
Thanks you all!
Mimi ni mwana Darisalama mzaliwa wa Kinondoni ndo maana hoja yangu imebase Dsm. All im sayin is WATU WAJENGE BAADA YA KUJIJENGA KIUCHUMI! Pesa ndogo wanayoipata kwanza waitumie kujijenga kiuchumi then wakisimama kiuchumi ndo wafukie mahelaaaa!
Lasivo it doesnt make sense mtu alieweza kujenga jumba la 60mills in eraly 2000's leo hii awe anaishi kwa kudunduliza kadi! That is a bad investment strategy.
WATU WADHUBUTU SIO KUENDEKEZA WOGA WA KUTAKE RISK!