Ukipewa 10m utafanya biashara gani ifike 100m? Tupe mfano halisi
Naona watu mmenijia juu kama moto wa kifuuu ila nimejipanga sikukurupuka kuleta huu upembuzi yakinifu..
Kama una 10Mills usitake mambo makubwa. THE MAIN KEY KWENYE BIASHARA YOYOTE NI KUSPOT OPPORTUNITIES NA NA KUZIGRAB BY THE BALLS.
Sasa opportunity inategemea unaishi wapi, na mazingira gani. Opportunity ya Kinondoni sio sawa na za Kkoo.
Ila naomba nikupe story ya client wangu nilimfanyia Market and Sales Consultation.
Huyu Client ni mchina anaitwa Jin, jin alitoka kwao china na mtaji wa 15000$ akaingia kariakoo na kontena 4 za juice flani very cheap kwa bei ya kuuzia 400. Akachemsha sokoni. Mzigo anao hautoki, bishara imemshika pabaya, expiary date inasogea tu. Wahindi kitumbini wamereject mzigo.
Jin akaenda kwenye consultation firm ya rafiki yangu, yuko ready kulipa. (Mind u ana roho ya kutu, biashara imekaza na bado hakati tamaa anatumbukiza mahela) Rafiki yangu akachemkaaa. Kitumbini wamereject mzigo.
Kama bahati tu akaniambia kuna kazi imenishinda kabisaaa, ndo akanielezea. Nikamuuliza itakulipa au mchina kabana sanaa. Akasema maslahi yapo yapo. Mi nikamwambia coz that stuff is cheap tupeleke maduka ya mashuleni. Kids ndo wanapenda hizo makitu.
Mzigo ukapelekwa shule chache tu, Bunge, Olimpyo, shebbyrobi, Zanaki, Mzizima, Tambaza, Jangwani, na shule za pale jirani, tena mzigo unampa muuza duka kwa credit akiuza akulipe.
Wiki tu, Kontena 4 kwisha kabisaaaaaaaaa. Mchina mwenyewe aliblooo mapigo. Ndo kaenda kwao huko anampango wa kushusha mzigo wa laana!!!!!!!!!! Afu mimi sikupata hata senti tano kipande kwa hii kazi. Na mdau nae alipata hela ya mboga tu, Mchina ndo alimwaga razi, kwa mauzo tu ya pale pesa ilifika 40 na kitu Mills kwa mauzo ya 1 week.
THE SECRET IS SPOTTING THE OPPORTUNITY AND GRABBING IT BY THE BALLS