Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

Huyu lara 1 inawezekana ni mrembo na anajirahisisha kwa ma don ili dili zake zifanikiwe.

Kuna wadada huwa nawaona mipakani wanapitisha vipodozi vya mahela, nenda wewe mwanaume uone.
 
Last edited by a moderator:
ben van mike;
I think hii thread imeonyesha kwanini wasomi au watu wanaofuata vitabu hawafanyi biashara na watu walioshia darasa la saba wanamaghorofa mjini na wanafanikiwa kibiashara .........watu wamemwaga theories humu kibao ....lakini research ndogo tu ya wafanyabiashara waliofanikiwa duniani wengi hawajasoma ...
Na kwa mawazo yangu hapo ndipo opportunity ilipo,kwamba watu bado wamelala na kuishia kulalamika kwamba biashara ngumu,na misamiati mingi ya kiuchumi ya lugha za kigeni na theory za darasani,mtu anaongelea vitu vya kwenye eneo la tukio sisi tunabishana.

kwakweli mimi imenifungua macho sana hii thread kwamba nafasi ya kutoka bado ipo kwakuwa bado watu wamelala,ndio maana utakuta wanaojua wanaanza hata kama kuna vikwazo vipi wanapambana wakati wengine tunakaa pembeni tunasubiri washindwe,sasa unakuta hawa watu wanafanikiwa na sasa milango na ugumu wa hiyo biashara inafunguka ndio kilamtu anataka kuingia kwenye hiyo biashara sasa hapo ndio mnakutana watu kibaaooo mmefungua biashara inayofanana mtaa mmoja mnagombea wateja wakati wajanja walishapiga hela zamaniii na washaachana nayo kwakuona hailipi tena washatafuta nyingine wanaanza tena.

nimegundua vikwazo ndio vinafanya biashara iwepo,kungekuwa hakuna vikwazo kwamfano barabara safi,kilakitu kiko kirahisirahisi basi kilamtu angefanya biashara au mkulima angeleta mazao yake mpaka sokoni tena kwakutumia usafiri wake(gari lake)kwahiyo utaona kwamba,madalali,wasafirishaji nk wangekosa kazi au wangepungua au wangetafuta shughuli nyingine ya kufanya.

kiukweli wasomi wengi ndio wanaotukwamisha,inaonekana elimu tunayopata haitusaidii kubadilika,kwasababu utakuta mtu kasomea BIASHARA au MASOKO na kafaulu vizuri tu lakini hawezi kufungua biashara yake anasubiri kuajiriwa ataanza kuangalia vikwazo kibaoo,mara biashara ya nyanya sio nzuri zinaweza kuoza itakuwa hasara na mambo kama hayo wakati kunamtu darasa la saba hakufika haangalii hiyo misamiati ya kibiashara sjui feasibility study sjui nini na nini,anapita K/KOO anakuta uhaba analeta.kwahiyo mimi binafsi nakubaliana na mleta maada tunatakiwa tubadilike kifikra ndio mambo haya yatawezekana na zaidi mtu hulazimishwi kuufata ushauri huu unaweza kuendelea kufanya unayoona kwako ni sawa.nawasilisha
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Watanzania wengi haswaaa vijana wa sasa na vijana wa zamani wengi watakufa maskini ama kuzeeka maskini kwa kuendekeza Ucommunist na sera za kizamani za utajiri ni kumiliki nyumba na gari.

Sikatai nyumba ni a very valuable asset, na ina appreciate in value with time lakini this is not necessarily the case always. Appreciation na returns za hio nyumba zinaweza zisiwe reasonable enough kujustfy wewe kufkia 40Mills au 30Mills leo hii. Hio initial investment inaweza kuchukua hata 20yrs kujirudisha tu bila kujilipa. Imagine hio 40Mills ungewekeza kwenye opportunity zingine zenye large returns, na kuhakikisha unachukua calculated risk in 20yrs si unweza kujikuta una 400Mills na mijumba ya kumwaga!

Sio kwamba wa tz wengi hatushiki mbesa, no! tunashika sanaaa sema priority ndo zinatuangusha haswaa waajiriwa wa white collar jobs. Ile breakthrough ya msomi kutoka maisha ya kawaida na kuwa mwekezaji anae ajiri watu asilimia kubwa hawaifikiii. Mtu akishika tupesa tudogo anakimbilia kutuzika mashambani huko!

Vijana wenzangu unashika tu 10mills unawahi kutuzika Mbagara kiburugwa sijui huko au Mbezi maramba mangapi sijui. Unaongezea kuzika mamilioni hadi yafike hata 50 in 4 yrs hadi umalize jumba hilo. Kisha kodi unapoke 100,000/= in 10 to 20 years haiendi mbali na hapo. Watu waliojenga Tabata in 1990's nyumba mpaka leo Tbt ni 200,000 kwa mwezi?????

Tubadilike tuwe capitalistic. Ukishika 10m ujipange izungushe ushike 50m. It all about opportunity and risk taking this is the only key kuwa billionea. Ruge keshasema fursa ziko nyingi mnoooo! Tabia ya kuzika tuiache. Nyumba ziko kibao Sinza, Masaki, Obay, Knyma kwanini uende porini? Hio 10Mills izungushe hadi ifike 300Mills ununue nyumba ya uhakika Kinondoni. This is the bigger picture!

Thanks you all!

Nigga (call you so out of respect) you goddamn nailed it. Mtu yuko mid 20 ameajiriwa anajitutumua kujenga kwa bajeti iliyovuka kikomo...matokeo yake anamis opportunity kibao za kuongeza kipato na ndio kila siku amekazana kusoma vitabu vya richdaddy poor daddy...nyumba yenyewe in 10 years unayiona out of place sababu imejengwa under austerity measures....yaani hapa ndipo vijana wa-kikenya wanatupotushindia....wao angalau ufanya morgaging ambayo sio capital intensive. Word up for that....pia niliwahi ona article ya bbc kuhusu nyumba za moshi na bukoba ambazo hazina wakaaji watu wanalipwa wakae....we can do better than this...
 
Mkuu patriot.

Huo ndio ukweli wengi wetu ambao ni waajiriwa ni wavivu wa kufikiri and not not ready to take risk. Tuko busy kubeba majina ya makampuni tunayofanyia kazi kama vile ni yakwetu ( iam working with so and so company our offices are at this building in this street) hamna kitu ujinga mtupu.

Point yako inakuwa explained na hii quote "Some people see the glass half full. Others see it half empty. wewe umeamua kuchagua kuitazama glass ya iliyowekwa maji nusu kama half empty na sio half full. Yaani umejikita kwenye kuidentify problems zaidi na sio opportunities. We cant move that way.

Tanzania ina watu 45m, wakulima ni 85% na wapo vijijin. Kimsingi ni wakulima wa jembe la mkono ambao tumashajiridhisha kuwa hawana uwezo wa kufeed 45 people. Hivi hii wewe unahitaji mwekezaji kuiona kuwa ni opportunity???Serikali yetu pmj na mapungufu yake, inajitahd kuweka mazingira rafiki kwa wanaojishughulisha. Huwezi letewa hela nyumbani.

Take tu initiative nenda hata wizara ya kilimo ulizia fursa zilizopo, Nenda walayani ipo hapo mirad ya district agri dev plans (DADPS) zipo hela hapo, nenda TIB, ipo pesa pale sasa tunataka nn cc jaman??? wizara ya kilimo inaweza ikakuwezesha ukapata hata heka 100 bure! i mean bure. ila hatutak kujituma. Cc ni wababaishaji tu, ndo the only expalnation. Anayebisha nipo tayari kusonga naye then tuone km hatutatoka.

Tanzania zipo opportunities nyingi sana, ila ni kwamba watu tu hawana uthubutu kama anavyosema Lara1. Biashara is all about how you execute na sio about how well your business plan/idea is. Mimi sio bizman ila naona kabisa kuwa zipo opportunities ambazo zinantaka uthubutu tu tena nyingine wala hata co mtaji at all.

Imagine mtu unalipwa mshahara wa 1 million, hii ukitoa kodi na mausafiri, ma lunch ukiwa kazin na nn mwisho wa cku ni kama umepata laki 6 kwa mwezi, tena hapo ujiminye hasa. ukigawanya kwa siku 30, utagundua kuwa umepata 20,000 per day. Kuhusu kukosa muda nalo ni tatizo lilelile, kwann ukose muda wa kukuzalishia pesa ming afu ukapata muda wa kukuzalishia 20,000 kwa mwajiri wako????

Tuassume wewe una degree moja. Unachotaka kusema hapa ni kuwa umeshindwa kutumia akili yako kupata kipato zaid ya 20,000 kwa siku na ndomana umeamua kuajiriwa.

Huu ni uvivu tu wa kufikiri. Takwimu zinaonyesha hakuna mwajiriwa Tajiri. Ili kuwa tajir unahitaj kufanya biashara na co kusaka high pay jobs. Katika mtandao wa matajiri wa Forbes, hakuna mwajiriwa pale aliyekuwa tajiri. sasa ni kwamba cc waajiriwa hatupendi kuwa matajiri au ni uvivu tu wa kufkiri???

Tanzania opportunities zipo nying sana. Mfano katika sekta ya kilimo. Leo hii wewe weka mipassion yako miche 500 tu kwenye heka zako mbili afu unambie ukianza kuvuna km hutopata zaid ya 20 per day. Hilo ni zao moja. Yapo mengi sana.

Huyo alopata 10m angesema achukue just 5m akannua miche yake ya maembe ya kisasa kama 500 kwenye kama 5 hekas huko mlandizi. Angepata pesa nyingi kwa mwaka kuliko kodi ya nyumba atakayoijenga kwa 10m au hata nyumba ya 50m. so ni namna ya kufkiri tu.Tatizo letu sehemu tunayohitajika kufikiri sisi huwa tunawaza. Mimi na concur na mawazo ya Lara1. Somewhere tuna problems ya kufikiri, nadhan ni lishe ya utotoni.
 
Mkuu patriot.

Huo ndio ukweli wengi wetu ambao ni waajiriwa ni wavivu wa kufikiri and not not ready to take risk. Tuko busy kubeba majina ya makampuni tunayofanyia kazi kama vile ni yakwetu ( iam working with so and so company our offices are at this building in this street) hamna kitu ujinga mtupu.

.....Tena utaona watu wapo biize wamevaa ma uniform na badges za kampuni flani huku wanajisikia wamefika kweliweli....huu upuuzi mtupu!
 
daisy umeniacha hoi kwa haya maneno yako!
"tatizo letu sehemu tunayohitajika kufikiri sisi huwa tunawaza. Mimi na concur na mawazo ya Lara1. Somewhere tuna problems ya kufikiri, nadhan ni lishe ya utotoni"

Mkuu daisy tofauti ya kuwaza na kufikiri ni nini mkuu? usije ukasema nimeanza kuleta theories, teh teh teh!!
 
Sorry (hapo juu kwenye comment yangu) kumbe ni maneno ya Patriote
 
EXACTLY!!!!!!!!!!!!! Ungekimbilia kuizika ungekuwa mmiliki wa maana wa gofu la mjengo wa L kibaha kwa matiasi! (Perdon my sarcasm) Sasa tuseme leo ukiamua kujenga paaaah! Si utajenga nyumba ya maana zaidi na neighbour hood nzuri zaidi kuliko ungekurupuka kufukia pesa kipindi kile!

People its time to change!

Penye miti hakuna wajenzi lara 1
Hata hivyo maneno mja hunena, muungwana ni vitendo (!!!).

ha ha ha....halafu ndio maana wachaga ni wachaga, wakinga ni wakinga na wazaramo ni wazaramo.
 
Last edited by a moderator:
daisy umeniacha hoi kwa haya maneno yako!
"tatizo letu sehemu tunayohitajika kufikiri sisi huwa tunawaza. Mimi na concur na mawazo ya Lara1. Somewhere tuna problems ya kufikiri, nadhan ni lishe ya utotoni"

Mkuu daisy tofauti ya kuwaza na kufikiri ni nini mkuu? usije ukasema nimeanza kuleta theories, teh teh teh!!
Kiongozi kuwaza ni kama una daydreams hivi. Kufikiri ni kudirect akili yako katika kutafuta suluhisho la kitu flani. Kuwaza hakukupelekei kusaka suluhisho lolote yan ni mimawazo inakujiajia tu, mara unawaza upo kwenye jumba la kifahari bila kuelezea namna ya kukufikisha kwenye hiyo hali. Hapo chini ni a) mkao wa kufikiri na b) ni mkao wa kuwaza/wa daydreamers

a)

thinking+web+pic.jpg


b)

images
 
Patriote kumbe hata signature yako tu imebeba ujumbe wa kutosha, nilikuwa sijaisoma!! pamoja mkuu!
 
HALOOOOOOOOOOOOOO! I NEVER GOT WHOOPING 30 LIKES! PAH! JUST LIKE THAT IN MMU!!!!!!!!!! But i got them her! How many do you have? I too didnt think soo.

Embu cheki chini hapo 1000 na ushee people viewing the thread. Hesabu na like za comments zangu za katikati. Afu cheki reponse overrall! Over 220 comments. Weka link hapa thread uliyoanzsha jukwaa lolote ikafika hata tucomment 100 tu!

Bila kusahau Reputation power chek kako na langu! Hahahaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!

FACTS SHOW THAT MAJORITY ARE DIGGIN THIS SHIT!!!!!!!!! NUMBERS DONT LIE!

IWE MMU, ECONOMIC FORUM KOKOTE KULE MI NATISHAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! ALWAYS EXCELLING IN WHATEVER I DO!!!!!!!!!!!! CHEZEYA!!!!!!!!!!!!!!!!!! NACHEZA NAMBA ZOTE 11 UWANJANI! KIPA MIE, DEFENCE MIE, MID FILDER MIE, FOWARD MIE!!!!!! UTANIWEZEA WAPI?

Nimefuatilia toka mwanzo NA ulikuwa unajibu hoja vizuri ila Hapa Dada yangu umeharibu maana unaonyesha ni namna gani bado hujakomaa kifkra NA nmana NA Kujibu hoja.

Mimi binafsi naona either wewe hujaanza Kuwa NA majukum Kwa maana ya familia lakin pia inawezekana kabisa umetoka katika familia ambayo imejaaliwa Kuwa NA maisha mazuri of which wazazi NA ndugu zako hawakutegemei NA ndo maana yeyote anaye kusupport kuhusu kutozika hela nahakika atakuwa katika mazingira kama yako ya kutikuwa NA majukum ya extended family maana nakuhakikishia hakuna anaweza kukaa akafikiria kuboresha mradi au biashara kama bado familia yake haina uhakika wa mahala pa kuishi.
Nahakika as days goes by iko siku utakuja kukumbuka hizi comments ambazo zinatofautiana NA wewe Kwa maana zina kuchallenge NA naona hutaki changamoto sasa napata wasiswasi NA uzoefu wako wa maswala ya masoko maana marketing is full of challenges hasa Kwa maeneo unayokwenda maana hao wote hao wana deal NA FMCG/PCG.

Ntakuwa tayari kuchangia hoja kama utaonyesha kukubali changamoto maana mada yako ni nzuri sana ila tusipotoshane.



fuodenr and CEO of wwwdotoricdotcodottz and wwwdotaiodotcodottz
 
Alicho Ongea huyu Dada ndo ukweli wenyewe mkuu, Na hata Serukali inafahamu kabisa madhara ya watu kujenfa nyumba kwa kutumia pesa zao wenyewe, ila sema tu imepiga kimya, Tafuta mchumi mzuri anaweza kukupa hayo madhara make wengine sisi unaweza sema tunakudanganya

Ruturn ya Nyumba inachukua miaka mingi sana, na dhat is why Ulaya watu hulipa Mikopo ya Nyumba mpaka wanakufa na wajukuu wanaendelea kulipa, na zipo nchi nyingi sana ambazo kisheria huruhusiwi kujenga nyumba kwa pesa yako wewe mwenyewe, ni lazima uchukue mkopo Benki na si uchukue mkopo then uende Madukani kuanz kununua Misumari na bati, no kuna kampuni zinajenga and then unauziwa,

ULISHA WAHI KUJULIZA KWA NINI MAREJESHO YA MKOPO WA NYUMBA HUCHUKUA MUDA MREFU SANA KULIKO AINA NYINGINE ZOTE ZA MIKOPO?
 
Alicho Ongea huyu Dada ndo ukweli wenyewe mkuu, Na hata Serukali inafahamu kabisa madhara ya watu kujenfa nyumba kwa kutumia pesa zao wenyewe, ila sema tu imepiga kimya, Tafuta mchumi mzuri anaweza kukupa hayo madhara make wengine sisi unaweza sema tunakudanganya

Ruturn ya Nyumba inachukua miaka mingi sana, na dhat is why Ulaya watu hulipa Mikopo ya Nyumba mpaka wanakufa na wajukuu wanaendelea kulipa, na zipo nchi nyingi sana ambazo kisheria huruhusiwi kujenga nyumba kwa pesa yako wewe mwenyewe, ni lazima uchukue mkopo Benki na si uchukue mkopo then uende Madukani kuanz kununua Misumari na bati, no kuna kampuni zinajenga and then unauziwa,

ULISHA WAHI KUJULIZA KWA NINI MAREJESHO YA MKOPO WA NYUMBA HUCHUKUA MUDA MREFU SANA KULIKO AINA NYINGINE ZOTE ZA MIKOPO?

Chasha, sio kwamba nampinga Dada yetu, hapana ila hoja yangu ni ngumu hiyo theory kui apply kutokana NA namna uchumi wetu ulivyo NA zaidi ni jinsi kila mmoja wetu alivyobahatika kulingana NA makuzi maana priorities zinatofautiana, mf: kama umezaliwa katika familia duni isiyo hata NA baiskeli wala kakibanda, hivi priority yako inakuwa katika miradi? Let's be honest and realistic!

Ila kama umezaliwa NA umekuta wazee wameisha jitosheleza kiuchumi nahakika hata wewe focus yako itaaanzia pale wao walipoishia maana huwezi kufikiria kuzika hela wakati baba au mama alishazizika Kwa ajiri yako, au huwezi kufikiria kununua usafiri maana tayari upo.

So issue ya kuzika hela ni swala la kibnafsi zaidi japo si vizuri kiuchumi
 
Mkuu
Kuwaza ni kama having illusions, while kufikiri is more of having constructive ideas. And is true as you put it "pale tunapohitaji kufikiri tunawaza" mfano unaweza mtu anafanya shughuli zake amefanikiwa badala na wewe ufikirie ufanye nini ili ufanukiwe unajikuta ukiwaza ningekuwa na hela kama za fulani....

daisy umeniacha hoi kwa haya maneno yako!
"tatizo letu sehemu tunayohitajika kufikiri sisi huwa tunawaza. Mimi na concur na mawazo ya Lara1. Somewhere tuna problems ya kufikiri, nadhan ni lishe ya utotoni"

Mkuu daisy tofauti ya kuwaza na kufikiri ni nini mkuu? usije ukasema nimeanza kuleta theories, teh teh teh!!
 
Mada ni nzuri na ina ukweli sana ndani yake , kinachofanya watu washindwe kuelewana na mtoa mada ni kuwa baadhi yetu tunadhani ina apply kwa kila mtu. Nilichomwelewa dada ni kuwa kama unaweza kuraise na kushika say 10 milion , ni bora uzungushe biashara kuliko kuzizika kwenye nyumba .
Remember 10 milion ni recomended not dictated amount. capital threshold inaweza kuwa kiasi chochote kutegemeana na aina ya biashara .Ninachokiona hapa kwanza kuna makundi kama matatu:-

1: Si kila mtu ana uwezo wa kuishika hiyo 10 milion kwa wakati mmoja au muda mfupi, so watu wa aina hiyo mada hiyo haiwahusu. (Japokuwa wanaweza kudunduliza mostly kwenye ujenzi na kupata propery yenye thamani tajwa ,mind you ;hii ni time investment pia so inategemea malengo yako yatatimia muda gani )
2: kuna watu tayari wana uwezo wa kushika mabilion kwa wakati mmoja. watu hawa pia mada hii haiwahusu sababu wanauwezo hata wa kuestablish na kumudu ushindani real estate ambayo nadhani ni moja ya biashara kubwa duniani inayohusisha majengo .
3: kuna watu wako makazini wana mishahara mizuri na opportunity kibao' a good job has to offer' , wafanyabiashara na wengineo ambao hiyo 10 million wanaweza kuipata kwa njia mbali mbali hapa hata wale ambao walidunduliza senti wakafanikiwa kupata kitu ambacho (nyumba kwa mfano) thamani yake inafika 10 mil hawa ndio walengwa hasa wa mada hii.

My take ; Jipime kwanza mwenyewe uko kundi lipi financialy kabla ya kumpinga mtoa mada . Binafsi naupokea ushauri wa mtoa mada bila kipingamizi!!!!
 
HAHAHAAAAAAA! We hoja huna! TOO THEORETICAL! Afu pi very pessimistic! I have my vivid example, mimi mwenyewe kila siku nawatafutia watu masoko, how more vivid can it get?

Anyways MAISHA NI YAKO CHAGUO NI LAKO!!!!!!!!!!! I said what i wanted to say!

Unachotakiwa kuelewa ni kuwa Mimi na wewe ni independent events! Kufanikiwa kwangu au kushindwa hakukuaffect wewe chochote, na kufanikiwa kwako au kushindwa kwako hakuni affect chochote.

Kila mtu acheze karata zake. Fursa ni nyingi mnoooooooo!!!!!!!!!!!!
Ndio naelekea kugraduate sista, Je mmi naweza niawa na fursa gani kiuchumi uanzia sasa maana nimepigika wei dada yangu, aau majuumu kibao.
 
Back
Top Bottom