Waachana siku tatu kabla ya ndoa

Waachana siku tatu kabla ya ndoa

Kwa matukio kama haya waiteni wana harakati wa haki za mwanamke, wana majibu ya kuwasaidia
 
Alimsihi wafanya mapenzi ili ampakazie mtoto, huyu mwanamke ni mjanja, akaolewe na mwenye kuweka mimba. Kwa ujumla sio mwaminifu na amekubuhu katika maswala ya uchepukali. Achana nae Mungu amekuonyesha mapema.
 
Wanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu Ili wawe rasmi, mke na mume. Sasa ndugu wa mke wakamuuliza bibie, vipi mmeshapima HIV na mumeo mtarajiwa?. ..Binti akajibu hapana.

Itabidi waitwe Mume mtarajiwa na mke mtarajiwa, Ili wapelekwe kupima, maana baba mkwe aligoma mwanae asiolewe mpk wote wajue afya zao. Apo ikumbukwe mahali ilishatolewa ya kutosha, cash. Upande wa mme washanunua kila kítu cha shughuli, washakodi ukumbi, washafanya maandalizi yote, sare ishatembezwa na majirani kualikwa.

Baada ya kufika hospitali, wakachukuliwa vipimo, na majibu yalipotoka....wote mambo ni safiiiiii kbs...familia ikafurahi. Asa Dkt akasema "aah hongera bhana maana umeshaweka kitu tumboni muda si mrefu utaitwa baba, mchumba ana mimba mIEzI ". Jamaa alitoa macho hatari, unasemaje?. Itabd ndugu waulize kwani mzigo sio wako baba?.

Jamaa akasema muulizeni mtoto wenu aseme iyo mimba ni ya nani, maana mimi nna miez nae 6 sijawah shiriki nae tendo, na ata baada ya kurudi apa, mtt wenu alinilazimisha sana twende tukafanye tendo lkn Mimi niligoma katakata nikamwambia tusuburie ndoa ipite bs tutafanya kwa uhuru. Binti akasema ni kweli mimba siyo ya jamaa, akaanza lia aliomba msamaha eti bd anampenda mumewe mtarajiwa.

Yani mpaka sasa binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
KIHEREHERE cha BABA MZAZI kujiona Binti Yake Msafi yamemkuta[emoji1787][emoji1787]
 
Technology imekua sana now days eeh, maana watu wanapima ngoma majibu yanakuja ya mimba, daadek hii chai kawape wala msuba wenzio ndengelec waahed
 
Wenza karibu wote hawafaani..kama mimi siku nafunga ndoa nilikua nimenuniana na mke wangu..yani tena full kukorofishana..na hii inatokea kwa wengi tu..
Nilikua nna gari yangu nakodisha maharusi,weekend nlikua naendesha mwenyewe niliona couples nyingi sana zinazinguana sana siku ya harusi..na wanaonesha tu..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaah
 
Yani mpaka sasa binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.
Huyu mwanadada alijiua au ndiyo analea mwanae kisingle Maza?
 
Huyu mwanadada alijiua au ndiyo analea mwanae kisingle Maza?
[emoji1] analea mtoto wake huko. Mwenzie aliyeolewa m Badala yupo kwa mumewe anakula raha asa hivi.
 
Wanajukwaa, hii kitu imetokea uku kwetu mtaani, mahusiano yavunjika siku chache kabla ya kufungishwa ndoa... Jamaa na bibie wanafanya Kazi mikoa tofauti, sasa wamerudi Ili wafunge ndoa takatifu Ili wawe rasmi, mke na mume. Sasa ndugu wa mke wakamuuliza bibie, vipi mmeshapima HIV na mumeo mtarajiwa?. ..Binti akajibu hapana.

Itabidi waitwe Mume mtarajiwa na mke mtarajiwa, Ili wapelekwe kupima, maana baba mkwe aligoma mwanae asiolewe mpk wote wajue afya zao. Apo ikumbukwe mahali ilishatolewa ya kutosha, cash. Upande wa mme washanunua kila kítu cha shughuli, washakodi ukumbi, washafanya maandalizi yote, sare ishatembezwa na majirani kualikwa.

Baada ya kufika hospitali, wakachukuliwa vipimo, na majibu yalipotoka....wote mambo ni safiiiiii kbs...familia ikafurahi. Asa Dkt akasema "aah hongera bhana maana umeshaweka kitu tumboni muda si mrefu utaitwa baba, mchumba ana mimba mIEzI ". Jamaa alitoa macho hatari, unasemaje?. Itabd ndugu waulize kwani mzigo sio wako baba?.

Jamaa akasema muulizeni mtoto wenu aseme iyo mimba ni ya nani, maana mimi nna miez nae 6 sijawah shiriki nae tendo, na ata baada ya kurudi apa, mtt wenu alinilazimisha sana twende tukafanye tendo lkn Mimi niligoma katakata nikamwambia tusuburie ndoa ipite bs tutafanya kwa uhuru. Binti akasema ni kweli mimba siyo ya jamaa, akaanza lia aliomba msamaha eti bd anampenda mumewe mtarajiwa.

Yani mpaka sasa binti anatishia kujiua, ndoa jamaa kaikataa, Yani mihela yote ile imepotea. Nimejisikia vby kwa kweli , Dunia hii usiombe likukute jambo kama hili. Ama kweli usaliti mbaya. Ingawa wengine wanamshauri eti amuoe ivyo ivyo atakwenda kulea mimba na mtoto awe wake.

Tatizo baba wa binti anajiona anajua kulea, hawa watu hawajui mabinti zao ni malaya tu.
 
Mara nyingi mtoto ni Siri ya mama. Mama ana uhakika kuwa ni mtoto wake kwa kuwa amembeba tumboni (labda abadililishiwe wakati wa kujifungua,ila kwa nada) . Sisi wanaume hatuna tumbo la kubeba mimba, hivyo uhakika hatuna labda DNA. Na DNA unaweza kudanganywa ili kuepusha shari. Kwa hiyo sisi wanaume yetu macho tu.
 
Hii story ni bora ungesema walienda kupima HIV na mimba ingeleta maana kidgo.
 
Back
Top Bottom