Hiki kinachoendelea hapa kwetu Tanzania siyo ukosoaji Bali matusi tena ya nguoni. Hakuna demokrasia ya hivi hata ulaya au marekani haipo. Kinachofangika Tanzania kwa Sasa ni kumlazimisha Samia kuwa dictator kama jpm tu. Ndo mana kumbe jpm alichagua kuwa dictator na kuwapoteza au kuwaua watu kadhaa ili kuwatusha wengine wasioendelee na uhuni wao.
Samia fungia vyombo vya habari kama mtangulizi wako ikitokea mtu anatukana adakwe fasta nchi itatulia kama kipindi Cha jpm. Wanakulazimisha uwe kama jpm hakika umefika wakati uwe kama yeye waafrica hawaendi bila mijeredi.
Demokrasia afrika haitufai mana hatujui kuitumia kwetu demokrasia ni matusi na kudhalilidhana tu
Samia fungia vyombo vya habari kama mtangulizi wako ikitokea mtu anatukana adakwe fasta nchi itatulia kama kipindi Cha jpm. Wanakulazimisha uwe kama jpm hakika umefika wakati uwe kama yeye waafrica hawaendi bila mijeredi.
Demokrasia afrika haitufai mana hatujui kuitumia kwetu demokrasia ni matusi na kudhalilidhana tu