Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

Kuna wengine huyo unaemuomba hatoi majibu........ Dunia kila mtu na formula zake wengine mizimu inajibu
Ndo maana nimemwambia yeye aendelee kuabudu mizimu kwakua inajibu na mie naamuabudu Allah anipa majibu asishawishi watu kila mmoja ana Uhuru wa kuabudu anachokiamini mizimu jua moto masanamu etc.
 
Laiti ungeijua nguvu ya MUNGU usingewaza vibaya.Ukifikia level flani ya kumjua MUNGU huwezi sema hivyo.MUNGU hapendi dhihaka.Kumbuka alikukomboa kwa damu ya thamani ya Mwanae
Ukisha sema Mungu apendi tayari usha fanya dhihaka.
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Wa kulaumiwa kaka ni haya majamaa mawili
1.YESU
2.MUDY S.A.W
 
Mizimu ni kitu dhaifu sana kama ilishindwa muokoa mwafrika asichukuliwe utumwani plus kutawaliwa kuna haja Gani kuiabudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…