Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

Bikira Maria aliumbwa na Mungu, akazaa Mungu,huoni ni kituko? Waafrika tukaacha jadi yetu na kuamini mambo yao. Haraka!!!turudi kwenye jadi yetu.Majanga yote tunayopata ni kuwapuuza mababu zetu.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Walitumia Dini kutupumbaza... Leo hii nchi za Afrika zimekumbatia Dini kuliko kitu chochote...

Wakati wenye Dini zao wakiuana huko Gaza... Sasa si bora turudi kwenye Mizimu yetu.

Mbona huko Japan hawaabudu hizi Dini zetu na wanafanikiwa... Sisi wenye kung'ang'ania hizi Dini tunazidi kuwa maskini tu
 
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.

Dini ndio chanzo cha matatizo mengi Duniani. Katia Dunia ya leo raia wanakosa ushirkiano tu kwa sababu wanatofautiana Kidini, mkristo anambagua muislamu na muislamu anambagua mkristo. Na ubaguzi wa kidini hauzungumzwi sana ila kiukweli ndio unaotendeka kwenye ofisi nyingi na taasisi nyingi, siku hizi ubaguzi wa kikabila unaenda ukipungua, huku ubaguzi wa kidini ukizidi kukuwa.

Je Dini zilianza kuingia Afrika karne zipi;

Dini za Kiislamu na Ukristo zilianza kuingia Afrika muda mrefu uliopita. Ukristo uliingia Afrika kwa mara ya kwanza karne ya 1 BK (Baada ya Kristo) kupitia wamishonari na biashara na Waafrika wa Kaskazini. Ukristo uliendelea kuenea katika maeneo tofauti ya Afrika.

Uislamu ulianza kuingia Afrika katika karne ya 7 BK (Baada ya Kristo) kupitia kazi ya Muhammad na Waislamu wa kwanza. Kupitia biashara na uvumbuzi wa safari za jangwani, Uislamu ulienea kwa kasi katika maeneo mengi ya Afrika, haswa katika Afrika Kaskazini.

Je Kabla ya Dini hizi waafrika tulikuwa tunaabudu nini?

Kabla ya kuingia kwa dini za Kiislamu na Ukristo, tamaduni za Kiafrika zilikuwa na dini na imani za kiasili zilizojumuisha ibada ya miungu ya asili, roho za wafu, na nguvu za asili. Dini za Kiafrika zilitofautiana sana kutoka eneo moja hadi lingine na kati ya jamii tofauti za Kiafrika.

Mara nyingi, dini za Kiafrika zilijumuisha ibada ya miungu au roho za wakubwa wa kale, kama vile mababu au wazee wa kabila. Kwa mfano, jamii nyingi za Kiafrika ziliabudu miungu ya jua, mvua, na ardhi, kwa sababu vitu hivyo vilikuwa muhimu kwa maisha yao ya kila siku.

Dini za Kiafrika pia zilijumuisha ibada ya wazee na mababu waliokufa, kwa kuwa waliona kumbukumbu na heshima kwa wafu kama sehemu muhimu ya utamaduni wao. Imani hizi za kiasili zilikuwa sehemu ya utamaduni wa Kiafrika na zilisimulia hadithi za uumbaji, maisha, na mazishi.

Kwa hiyo, kabla ya kuingia kwa dini za nje, Waafrika walikuwa wanaabudu miungu yao ya asili na walikuwa na imani za kiasili zilizohusiana na maisha yao ya kila siku na utamaduni wao, na maombi yalikuwa yanafanya kazi.

MY TAKE: Ukitizama Dini hizi za Ukristo na Uislamu ni dini zilizoletwa tu Afrika. Walikuja na kutuambia Imani zao ni bora kuliko zetu, hivyo tuache Imani zetu tufate Imani zao. Dini hizi mbili zinaimiza katika Kusameheana, kutokuua, kutokudhuru, na zinaamini katika Kupendana. Inasikitisha sana hawa wenye dini zao wamekuja Afrika na kutuhubiria Amani lakini wao hawafuati hiyo Amani wala hayo mafundisho. Mbona wenye dini zao wenyewe Waisraeli na wapalestina wameshindwa kufuata maandiko na wanauana kama kuku, inakuaje mimi muhaya wa Bukoba ambaye hapo mwanzo nilikuwa naabudu mizimu nifuate maandiko hayo ambayo wahusika wenyewe wameshindwa kuyafuta.

Mimi kwa mtazamo wangu naona walitumia dini zao kama chambo hili kutuweka katika ukoloni miaka hiyo maana waarabu ndio walikuwa walanguzi wa watumwa kisha wanaenda kuwauzia wazungu. Hivyo walitumia mafundisho ya dini zao kutufanya kutufumba akili na uwezo ili iwe rahisi kututawala.

Mbona hatuoni ishara yoyote kutoka juu kwa muumba mwenyewe baada ya mapigano hayo, maana tunaambiwa maeneo yale ni matakatifu, hivyo kwa akili tu lazima kungetokea ishara ya kukataza mapigano, ila naona tu Aliakibar ndio nyingi huko Gaza, huku Shalom zikiwa nyingi huko Israel.
Kila mtu akiomba mwenyezi hamsaidie.

Sasa tumeona ni namna gani Dini hizi za kuletwa vile hazifanyi kazi, ni bora kurudi kwenye kuabudu Mizimu yetu ambayo hapo mwanzo tulikuwa tukiiomba, mwandishi mashuhuri wa vitabu Yericko Nyerere aliwahi kugusia hili, kwamba turudi kwenye Imani zetu za hawali, na mimi sasa naona umuhimu wake
Vyanzo vikuu vya upotevu wa amani ni dini na siasa, yaani dini ndo ya kwanza kabisa.
 
Hivi karibuni kunaibuka nyuzi nyingi watu wanaonesha kuwa na wasi wasi sana na " MUNGU + uhusiano wake na DINI " au " MUNGU pekee "

Lakini I think watu wanakosea katika kuhitimisha mawazo yao and jump into wrong conclusion kama mtoa mada, Dini ni guiding systems bora sana duniani kuliko Serikali. imetokea tu watu wana misuse kwa manufaa yao binafsi
 
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.

Dini ndio chanzo cha matatizo mengi Duniani. Katia Dunia ya leo raia wanakosa ushirkiano tu kwa sababu wanatofautiana Kidini, mkristo anambagua muislamu na muislamu anambagua mkristo. Na ubaguzi wa kidini hauzungumzwi sana ila kiukweli ndio unaotendeka kwenye ofisi nyingi na taasisi nyingi, siku hizi ubaguzi wa kikabila unaenda ukipungua, huku ubaguzi wa kidini ukizidi kukuwa.

Je Dini zilianza kuingia Afrika karne zipi;

Dini za Kiislamu na Ukristo zilianza kuingia Afrika muda mrefu uliopita. Ukristo uliingia Afrika kwa mara ya kwanza karne ya 1 BK (Baada ya Kristo) kupitia wamishonari na biashara na Waafrika wa Kaskazini. Ukristo uliendelea kuenea katika maeneo tofauti ya Afrika.

Uislamu ulianza kuingia Afrika katika karne ya 7 BK (Baada ya Kristo) kupitia kazi ya Muhammad na Waislamu wa kwanza. Kupitia biashara na uvumbuzi wa safari za jangwani, Uislamu ulienea kwa kasi katika maeneo mengi ya Afrika, haswa katika Afrika Kaskazini.

Je Kabla ya Dini hizi waafrika tulikuwa tunaabudu nini?

Kabla ya kuingia kwa dini za Kiislamu na Ukristo, tamaduni za Kiafrika zilikuwa na dini na imani za kiasili zilizojumuisha ibada ya miungu ya asili, roho za wafu, na nguvu za asili. Dini za Kiafrika zilitofautiana sana kutoka eneo moja hadi lingine na kati ya jamii tofauti za Kiafrika.

Mara nyingi, dini za Kiafrika zilijumuisha ibada ya miungu au roho za wakubwa wa kale, kama vile mababu au wazee wa kabila. Kwa mfano, jamii nyingi za Kiafrika ziliabudu miungu ya jua, mvua, na ardhi, kwa sababu vitu hivyo vilikuwa muhimu kwa maisha yao ya kila siku.

Dini za Kiafrika pia zilijumuisha ibada ya wazee na mababu waliokufa, kwa kuwa waliona kumbukumbu na heshima kwa wafu kama sehemu muhimu ya utamaduni wao. Imani hizi za kiasili zilikuwa sehemu ya utamaduni wa Kiafrika na zilisimulia hadithi za uumbaji, maisha, na mazishi.

Kwa hiyo, kabla ya kuingia kwa dini za nje, Waafrika walikuwa wanaabudu miungu yao ya asili na walikuwa na imani za kiasili zilizohusiana na maisha yao ya kila siku na utamaduni wao, na maombi yalikuwa yanafanya kazi.

MY TAKE: Ukitizama Dini hizi za Ukristo na Uislamu ni dini zilizoletwa tu Afrika. Walikuja na kutuambia Imani zao ni bora kuliko zetu, hivyo tuache Imani zetu tufate Imani zao. Dini hizi mbili zinaimiza katika Kusameheana, kutokuua, kutokudhuru, na zinaamini katika Kupendana. Inasikitisha sana hawa wenye dini zao wamekuja Afrika na kutuhubiria Amani lakini wao hawafuati hiyo Amani wala hayo mafundisho. Mbona wenye dini zao wenyewe Waisraeli na wapalestina wameshindwa kufuata maandiko na wanauana kama kuku, inakuaje mimi muhaya wa Bukoba ambaye hapo mwanzo nilikuwa naabudu mizimu nifuate maandiko hayo ambayo wahusika wenyewe wameshindwa kuyafuta.

Mimi kwa mtazamo wangu naona walitumia dini zao kama chambo hili kutuweka katika ukoloni miaka hiyo maana waarabu ndio walikuwa walanguzi wa watumwa kisha wanaenda kuwauzia wazungu. Hivyo walitumia mafundisho ya dini zao kutufanya kutufumba akili na uwezo ili iwe rahisi kututawala.

Mbona hatuoni ishara yoyote kutoka juu kwa muumba mwenyewe baada ya mapigano hayo, maana tunaambiwa maeneo yale ni matakatifu, hivyo kwa akili tu lazima kungetokea ishara ya kukataza mapigano, ila naona tu Aliakibar ndio nyingi huko Gaza, huku Shalom zikiwa nyingi huko Israel.
Kila mtu akiomba mwenyezi hamsaidie.

Sasa tumeona ni namna gani Dini hizi za kuletwa vile hazifanyi kazi, ni bora kurudi kwenye kuabudu Mizimu yetu ambayo hapo mwanzo tulikuwa tukiiomba, mwandishi mashuhuri wa vitabu Yericko Nyerere aliwahi kugusia hili, kwamba turudi kwenye Imani zetu za hawali, na mimi sasa naona umuhimu wake
rud mwemyewe ukaiabudu iyo mizimu...alafu mizimu ya leo imenambia ni zamu yako leo kukutoa sadaka🤣😅😆😁😄
 
Hivi karibuni kunaibuka nyuzi nyingi watu wanaonesha kuwa na wasi wasi sana na " MUNGU + uhusiano wake na DINI " au " MUNGU pekee "

Lakini I think watu wanakosea katika kuhitimisha mawazo yao and jump into wrong conclusion kama mtoa mada, Dini ni guiding systems bora sana duniani kuliko Serikali. imetokea tu watu wana misuse kwa manufaa yao binafsi
Dini ni dini tu.
 
Mizimu yenu ni ipi ninyi kama Waafrika?
Kwani unadhani hao Waarabu au Wazungu huu Ukristo na Uislamu ndiyo dini zaobza asili?
Unavyodhani wewe Ukristo na Uislamu ndiyo Mizimu yao?
Tatizo katika kufikiri wengi mnaanzia walipoishia wenzenu jana. Huwa hamjisumbui kujiuliza walau maswali mawili matatu kurudi nyuma, halafu ndiyo mnajiibua kuwa Championa and great thinkers...mnafanya vyema thou
Soma vizuri hapo juu... Mizimu yetu ni za Mababu zetu...

Mpaka leo hii wapo wazungu wanaoabudu mizimu.... Niliwahi kukutana na muholanzi nikamuuliza kuhusu mambo ya dini akaniambia Nchini kwao watu wanaofatilia mambo ya dini ni wachache, nikamuuliza kuhusu kwa nini mnaazimisha Christmas, wakaniambia ni utamaduni tu, na sio sherehe kama ya dini, ndio maana utakuta wanaweka father Christmas.

Imani za mizimu zipo mpaka huko kwa waarabu na wazungu... Wapagani pia wapo wengi huko, Tizama YouTube utaona wazungu wanaoabudu mizimu na waarabu
 
Hivi karibuni kunaibuka nyuzi nyingi watu wanaonesha kuwa na wasi wasi sana na " MUNGU + uhusiano wake na DINI " au " MUNGU pekee "

Lakini I think watu wanakosea katika kuhitimisha mawazo yao and jump into wrong conclusion kama mtoa mada, Dini ni guiding systems bora sana duniani kuliko Serikali. imetokea tu watu wana misuse kwa manufaa yao binafsi
Kwani Mizimu haikutupa guiding system ya maisha... Maana kabla ya ukristo na Uislamu tulikuwa na serikali za vijiji na serikali za falme na koo... Ukisoma Historia vizuri utaona hata huko nchini Mali kulikuwa na Empire kubwa sana.

Still Mizimu nayo ilikuwa bora
 
Back
Top Bottom