Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

Waafrika ni muda sasa wa kurudia kuabudu Mizimu yetu

Wao wanatumia mwili kupiga watu wa Mungu lile ni Taifa teule...

Lilishachaguliwa...
Wewe ulikuwepo kipindi linachaguuliwa au umekariri maandiko....

Wewe waachei waisraeli tamaduni zao, kama wamechaguliwa ni wao

Wewe angaika na tamaduni zako, na mizimu yako... Ukipigwa bomu leo, Israel haiwezi kuja kukusaidia
 
Wewe ulikuwepo kipindi linachaguuliwa au umekariri maandiko....

Wewe waachei waisraeli tamaduni zao, kama wamechaguliwa ni wao

Wewe angaika na tamaduni zako, na mizimu yako... Ukipigwa bomu leo, Israel haiwezi kuja kukusaidia
Mungu atanisaidia maana yeye hana Roho ngumu kama yako...
 
Waafrika
IMG-20231011-WA0000.jpg
 
Mungu atanisaidia maana yeye hana Roho ngumu kama yako...
Sio roho ngumu, mimi ni open minded

Wewe dini ya ukristo umekuja kuijua baada ya kuzaliwa baada ya ukristo kwisha kusambaa.... Ungazaliwa India sasa hivi uenda ungeona Dini ya Hinduism au Buddhism ni bora kuliko hiyo ya kikristo unayojigamba....
 
Ni kwa vile Mungu huyo Hayupo.

Angekuwepo ange tu prove wrong kwamba yupo.

Ange jitokeza na kujidhihirisha.
Ndo maana skuizi mnakulana sana kinyume na maumbile nyie msio amini mungu yupo ndo nyie mashoga wengi sana na bado mtakoma nyie mtachomwa na kulia
 
Ndo maana skuizi mnakulana sana kinyume na maumbile nyie msio amini mungu yupo ndo nyie mashoga wengi sana na bado mtakoma nyie mtachomwa na kulia
Mbona kipindi tunatumia Mizimu kulikuwa hakuna hizo tabia... Ina maana mizimu nayo ni bora kwa sababu hakukuwepo hayo mambo, na tabia zozote chafu chafu hazikuwepo kipindi tunatumia mizimu
 
ZIwe za kweli au la , ila hili la zimetengeneza division ni kweli, na jamii nyingi hasa kwenye mchanganyiko watu wanaishi kwa timing tu na kila mtu anamuona mwenzake kapotokwa
 
Ndo maana skuizi mnakulana sana kinyume na maumbile nyie msio amini mungu yupo ndo nyie mashoga wengi sana na bado mtakoma nyie mtachomwa na kulia
Mungu muweza wa vyote na mwenye kujua yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na ushoga?

Kwanza, ume hamisha mada, Mada ina husu Dini wewe unaleta habari za ushoga!!

Wajinga kama ninyi, Hamuwezi kujenga hoja mna ingiza personal attack...

Bila shaka wewe ndio shoga unafukuliwa huo mtaro.

Mada inahusu Dini, una ingiza ushoga..

Damn fool.
 
ZIwe za kweli au la , ila hili la zimetengeneza division ni kweli, na jamii nyingi hasa kwenye mchanganyiko watu wanaishi kwa timing tu na kila mtu anamuona mwenzake kapotokwa
True... Watu mtaani wanaishi kwa timing tu hasa sehemu zenye udini mchanganyiko... Kila mtu anaona mwenzake hafai
 
Mungu muweza wa vyote na mwenye kujua yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na ushoga?

Kwanza, ume hamisha mada, Mada ina husu Dini wewe unaleta habari za ushoga!!

Wajinga kama ninyi, Hamuwezi kujenga hoja mna ingiza personal attack...

Bila shaka wewe ndio shoga unafukuliwa huo mtaro.

Mada inahusu Dini, una ingiza ushoga..

Damn fool.
Mimi nimemuuliza tu

Mbona hizo tabia za ushoga hazikuwepo enzi tunaabudu mizimu, kwa muktadha huo mizimu ni bora kwa sababu na mizimu yetu yote hatukuwahi kukutana na mambo ya ushoga...
 
Mwenzangu wewe abudu tu mizimu yako mie muislamu naipenda dini yangu Quran ndo kitabu changu.

Namuomba الله سبحانه وتعالى na swala zangu za usiku, Dua zangu nikimuomba anipatia hitaji la moyo wangu bila Ibada nikikaa tu namuomba Mwenyeezi Mungu nibariki jambo flani anipa,mfano nimezaa watoto wa kiume wa 3 nikamuomba Mwenyeezi Mungu hii mimba ya 4 ndo ya mwisho nijaalie mtoto mzuri wa kike awe na dimples nywele za singa rangi sio mweupe sio mweusi na shape awe naye aiseee Allah kanijaalia nilicho muomba mpaka Gily Gru anasema mwanae atakuja kuowa 😂 naanzaje kuombw mizimu.
 
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.

Dini ndio chanzo cha matatizo mengi Duniani. Katia Dunia ya leo raia wanakosa ushirkiano tu kwa sababu wanatofautiana Kidini, mkristo anambagua muislamu na muislamu anambagua mkristo...
Tuachane na uongo/ujinga wa kigeni, tuurudie uongo/ujinga wetu wenyewe?
 
Mimi nimemuuliza tu

Mbona hizo tabia za ushoga hazikuwepo enzi tunaabudu mizimu, kwa muktadha huo mizimu ni bora kwa sababu na mizimu yetu yote hatukuwahi kukutana na mambo ya ushoga...
Kabisa mkuu.

Kwanza Dini hizo ndio zina chochea ushoga.

Juzi kati hapo papa wa wakatoliki anasema eti, mashoga wasitengwe ni binadamu kama sisi.

Na yule Askofu wa Anglikana ndio kahalalisha kabisa ndoa za jinsia moja.

Afu kuna wajinga huku Afrika wana endelea kuamini Dini hizo.

Dini ni utapeli.
 
Kabisa mkuu.

Kwanza Dini hizo ndio zina chochea ushoga.

Juzi kati hapo papa wa wakatoliki anasema eti, mashoga wasitengwe ni binadamu kama sisi...
Kavae pampasi wew sip mzima wa akili subiria kufa ukawe mume wa mtu motoni
 
Back
Top Bottom