EvilSpirit JF-Expert Member Joined Jun 15, 2017 Posts 10,576 Reaction score 16,644 Oct 7, 2023 #81 The List said: Unamfokea nani Sasa? Click to expand... Sifoki ila nakaripia
R roadmaster JF-Expert Member Joined Mar 21, 2023 Posts 1,609 Reaction score 2,751 Oct 7, 2023 #82 The List said: Utajua wewe na bwana wako Click to expand... Huo ndio ukweli kama inauma chomoa
elmuhaja Member Joined Jun 20, 2014 Posts 42 Reaction score 30 Oct 7, 2023 #83 matunduizi said: Mtu wa kwanza kuwa mkristo ni yule jamaa muethiopia aliyekutwa anasoma gombo la Isaya. Akabatizwa na shemasi Filipo. Hapo siku nyingi sana kabla paulo hajawa mkristo. Wala hajaenda ulaya kusambaza ukristo. Click to expand... mtu wa kwanza mkiristo? Kwani ukiristo kaanzisha nani
matunduizi said: Mtu wa kwanza kuwa mkristo ni yule jamaa muethiopia aliyekutwa anasoma gombo la Isaya. Akabatizwa na shemasi Filipo. Hapo siku nyingi sana kabla paulo hajawa mkristo. Wala hajaenda ulaya kusambaza ukristo. Click to expand... mtu wa kwanza mkiristo? Kwani ukiristo kaanzisha nani
25000q JF-Expert Member Joined Dec 27, 2022 Posts 4,805 Reaction score 3,762 Oct 7, 2023 #84 Fabian Vitus said: Kwer kabisa Click to expand... Lete andiko kutoka kwenye qur,aan au biblia lilosema uisilamu ni dini ya waarabu vinginevyo hatufaiti upumbavu wako huo
Fabian Vitus said: Kwer kabisa Click to expand... Lete andiko kutoka kwenye qur,aan au biblia lilosema uisilamu ni dini ya waarabu vinginevyo hatufaiti upumbavu wako huo
Fabian Vitus JF-Expert Member Joined Jul 18, 2022 Posts 5,828 Reaction score 7,532 Oct 7, 2023 #85 25000q said: Lete andiko kutoka kwenye qur,aan au biblia lilosema uisilamu ni dini ya waarabu vinginevyo hatufaiti upumbavu wako huo Click to expand... Wapi nmeandika mpk unambie upumbavu wangu chief
25000q said: Lete andiko kutoka kwenye qur,aan au biblia lilosema uisilamu ni dini ya waarabu vinginevyo hatufaiti upumbavu wako huo Click to expand... Wapi nmeandika mpk unambie upumbavu wangu chief