Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

Wakoloni walikaa miaka zaidi ya 200 humu! hatukuwa ba barabara nzuri km za leo, miundo mbinu km ya leo! tangu tumepata uhuru ni miaka 60 tu!! tuna kila kitu kizuri nchi nzima!

Pili Mangungo kuwa mjinga haihalalishi kuwa asiwepo Mtawala mwingine mjinga kama yeye!! au pengine mjinga zaidi yake!..na bado watakuja wengine wajinga zaidi na zaidi!

mwingine mbinafsi, mchoyo, umimi mpaka ukamuua sitaki kumtaja msije nipiga mawe humu!!...kunawatu wataachia mianya ya unyonyaji km huyo! lkn hatuta waacha kuandika kuwa walikuwa wajinga!

Ila baba wa Taifa heko..........tusinge fika hapa......leo! usiteteee upuuzi! tafadhali nakuomba.
Mwanzisha thread ana hoja nzuri kama utakubali kupima pande mbili. Pamoja na kuwa mimi nahusudu sana kujitegemea na kujiletea maendeleo wenyewe lakini hebu niambie viongozi waliokuwepo baada ya chifu Mangungo kuondoka wamefanya nini tofauti naye? Ukiondoa mwalimu Nyerere aliyekuwa na vision na kuhangaika sana kutaka tujiendeleze kwa nguvu zetu ni yupi mwingine ambaye amefanya tofauti? Kwa nini tunamsema vibaya Mangungo wakati mtu kama rais wa sasa, Samia, anadhani bila usaidizi wa nchi nyingine sisi wenyewe ni bure?
 
Au ulitaka Mangungo awadanganye watu kama kinjikitile ndio umuone shujaa?

Lengo la huu uzi sio kuyatangaza maovu ya Mangungo hayo yalishafanywa na wengine. Mini nimejaribu kumweleza mangungo katika fikra za leo.
Mimi nimekuelewa sana. Lengi ni kutufungua macho tuone kuwa mtu ambaye kwenye historia anaitwa alikuwa kiongozi mjinga hakufanya tofauti na kinachofanywa na viongozi wa leo. Haitakuwa fair kumuita Mangungo ni mjinga wakati siku hizi rais anapofanya kile kile alichofanya anasifiwa na kuitwa rais bora. Kila mwekezaji anayekuja rais anapewa credit wakati Mangungo alifanya hivyo hivyo.
 
Au ulitaka Mangungo awadanganye watu kama kinjikitile ndio umuone shujaa?

Lengo la huu uzi sio kuyatangaza maovu ya Mangungo hayo yalishafanywa na wengine. Mini nimejaribu kumweleza mangungo katika fikra za leo.
Kwa fikra za leo ndo ha fit kabisaaa!! Uongo mwingine huu KInje hajawadanganya watu!! bali ile ilikuwa akili kubwa ya kuwatia moyo wapigananaji! ..

si unaona mjermani alivo tishikaa??..mpaka leo akikumbuka Mwili unamsisimka! hato sahahu milele!
 
Hapa naona kuna afrocentric historians na Eurocentric historians mchuano ni mkali. Nani yupo sahihi na Nani hayupo sahihi ni kama Imani za dini, kila mtu abakie na kile anaamini
 
Mkuu samahani kama nitakukwaza lakini niseme kwamba UNACHANGANYA MAMBO. Kuendelea kwa sehemu moja na kusis sehemu nyingine kulichangiwa na sababu ya kimazingira.

Sagara land au kilosa ni eneo la joto kali hiivyo kwa eneo kubwa liliwafaa kulima mikonge na miundombinu michache.

Sehemu zilizojengwa shule kama Kagera na Kilimanjaro ba Nyanda za juu kusini kama Mbeya na Iringa sababu ni maeneo yenye baridi hivyo wao wenyewe waliishi huko.
Hiyo ndio pia sababu hata maeneo mengi ya Tanga kutokana na joto mikonge ilikuwa mingi kuliko idadi ya shule.

Na sikweli kwamba maeneo waliyopata maendeleo ni yale walipopingwa kama ilivyopotoshwa na waandishi wa historia.

Lakini hata hivyo hayo maeneo pamoja na kulima sana mkonge bado mjerumani alijenga shule inaitwa KIZUNGI sekondari ( Kizu boys)

Inaonekana wewe ni kitukuu cha Mangungo!
 
Haitakuwa fair kumuita Mangungo ni mjinga wakati siku hizi rais anapofanya kile kile alichofanya anasifiwa na kuitwa rais bora. Kila mwekezaji anayekuja rais anapewa credit wakati Mangungo alifanya hivyo hivyo.
Zamani za Nyerere tuwalifukuzilia kwa mbali hukoo! wakafanyie ujinga wao hukooo km kina Faza Thom na kundi lake! Leo akifanya hovyo tunaua! km Korimba si unawajua? Mtikila nk?! tupilia mbali kule! ....

Then .tuna subiria kwanza kumuandika vibaya! Nikuulize tuu nani kafanya ujinga na bado tuka mvumilia sisi wabongo??? Bashite unajua?, Sabaya ndo kabisaa, au yule mrafi na Mtekaji? km hujui aliko nenda chato?..

hao wooote si unajua hali zao weye lkn bana ! au huishi Bongo kijana! tena huyo wa Msovero ashukuru tu ni zamani lkn laiti angefanya hayo leo heee!!...wewe/yeye woote manzi ga nyanza!

Nakuuliza weye hujui Bazil Mramba na wenzake walivochapwa mpaka wakawa wanaokota takataka/ usafi Hospitali ya Sinza! ulikuwa wapi??? yaani hiyo huoni ni adhabu tosha kwa viongozi km huyo wa Msovero??

au ulitaka tuwauwe ndo ujue kuwa tumechukia??? ...Well! adhabu tuliyompa kambona , Bibi tii, Mohamed Babu, na yule komandoo aliye fia Msumbiji umesahau mara hii??......kweli weye kichwa chako bOga sana......

ndo tatizo lenu wana vijiji mnaleta mada wkt hata hujui kinachoendelea nchini! kifupi tumeaadhibu wengi sana na weye unastahili adhabu kushadadia waarifu!

Tatizo lako unadhani kuwekeza ni dhambi kwa kuwa hujui maana yake!......wanalipa kodi tunayotaka sisi!! na tunachagua sisi nani awekeze na nani asiwekeze! na kwa wakati gani!! tuna uwezo huo!

Mangungo yeye hakuwa na uwezoo wa kupinga alikuwa dhaifu! na chifu mzima na baraza lake looote alidanganywa sisi hatudanganywi

ikitokea wa ivo yeye huyo aliye mkaribisha na huyo mwekezaji wataipata fresh ile yenyewe!! mifano ni mingi tu!! ....ebu funguka bana weee!...huyo mzee wako ni moja ya mifano mibaya Africa ever!

hata Idd amini, Bokasa, Banda wa Malawi walikuwa ni mifano mibaya Africa, lkn wana wafuasi wao waliokuwa wana faidika nao! lkn wanaficha aibu zao! mbali kabisaaaa!...sasa weye mbraaaa!!
 
Chifu mangungo hakuwa mjinga, watanzania tulipotoshwa, tunapaswa kuiomba familia yake msamaha

Kwa miaka mingi sana chifu mangungo ameendelea kuonekana kama mfano wa kiongozi mjinga hasa pale linapotokea swala la mikataba. Lakini je Mangungo alikuwa mjinga kweli?

Chifu mangungo ni nani?

Naomba ninukuu kidogo kipande cha historia fupi kuhusu chifu Mangungo kutoka katika uzi wa ndugu humu Jf KILABA

"Mangungo simultaneously for all his people and Dr. Peters for alt his present and future associates hereby concluded a treaty of Eternal Friendship.

Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.

Dr. Karl Peters, in the name of the Society for German Colonization declares his willingness to take over the territory of the Sultan Mangungo with all rights for German Colonization subject to any existing suzerainty of Mwenyi Sagara.

In pursuance thereof, Sultan Mangungo hereby cedes all the territory of Msovero, belonging to him by inheritance or otherwise for all time, to Dr. Karl Peters, making over to him at the same time all his rights.

Dr. Karl Peters in the name of the Society for German Colonization undertakes to give special...attention to Msovero when colonizing Usagara.

This treaty has been communicated to the Sultan Mangungo by the interpreter Ramzan in a clear manner and has been signed by both sides, with the observation of the formalities valid in Usagara the Sultan on direct enquiry having declared that he was not in anyway dependent upon the Sultan of Zanzibar, and that he did not even know the existence of the latter.

Sgd. Dr. KARL PETERS
Sgd. MANGUNGO

This contract has been executed legally and made valid for all time before a great number of witnesses, we testify herewith:
Kwagakinga (mark);
Sultan Mangungo’s son of Golola (mark);
Sultan Mangungo’s second son of Draman (mark);
Graf Pfeil August Otto;
Mark of the intepreter Ramazan etc.
Dr. Karl Juhlke.
Msovero Usagara November 29, 1884.

Kwa tafsiri isiyo rasmi, kwa Kiswahili unasomeka hivi:
Mangungo, Sultan wa Msovero katika Mwenyisagara, na Dk. Karl Peters. Mangungo sambamba na watu wake wote na Dk. Peters kwa niaba yake na washirika wake wengine wajao kwa pamoja wanaweka mkataba wa Urafiki wa Kudumu.

Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.

Dk. Karl Peters, kwa niaba ya jina la Umoja wa Ukoloni wa Ujermani anatangaza dhamira yake ya kuitwaa himaya yote ya Sultan Mangungo na haki zote kwa ajili ya Koloni la Ujerumani inayohusisha kila kona na amali za Mwenyi Sagara.

Katika kutekeleza hilo, Sultan Mangungo anakabidhi himaya yote ya Msovero, inayomilikiwa na yeye mwenyewe kwa urithi au kwa namna yoyote ile kwa nyakati zote, kwa Dk. Karl Peters, na wakati huo huo kumkabidhi haki zake zote.

Dk. Karl Peters kwa niaba ya Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani anakusudia kuweka mkazo maalum kwa eneo la Msovero wakati wa kuitawala Usagara.

Mkataba huu umewasilishwa kwa Sultan Mangungo na mkalimani Ramzan katika dhana ya wazi kabisa na umesainiwa na pande zote, kwa kuzingatia taratibu zilizopo katika Usagara, Sultan baada ya kuhojiwa moja kwa moja alikiri kwamba hakuwa na ushirika ama kutegemea kwa namna yoyote Sultan wa Zanzibar, na kwamba hakuwa hata akimfahamu.

Imesainiwa. Dk. KARL PETERS
Imesainiwa. MANGUNGO

Mkataba huu umefanyika kihalali kabisa na umehuishwa kwa nyakati zote mbele za mashahidi wengi, ambao tunakiri hapa:
Kwagakinga (dole gumba);
Golola mtoto wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Draman mtoto wa pili wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Graf Pfeil August Otto.
Dole gumba la mkalimani Ramazan etc.
Dk. Karl Juhlke.
Msovero Usagara Novemba 29, 1884.



KWANINI MANGUNGO ALIONEKANA MJINGA?

Historia ilipoandikwa baada ya kupata uhuru , iliwahesabu watu wote waliopambana na wazungu kama mashujaa mfano Mkwawa. Bila kujali utawala wa hao machifu kama ulikuwa wa haki au laa. Historia haikutazama watawala hawa machifu kama watu walio pambania madaraka yao bali inawahesabu kama mashujaa kwa kuwa ilipambana tu mzungu.

Baada ya uhuru watu walisoma hadithi kama "KIBANGA AMPIGA MKOLONI". waliosoma kwa kipindi hicho walimuona Kibanga kama shujaa kwa kumpiga mzungu ( mkoloni). Lakini je Kibanga wa mwaka 1960 bado ni shujaa leo hii au ataonekana anafukuza "WAWEKEZAJI" ?

Kwahiyo kama KIBANGA alionekana shujaa kwa kumpinga mkoloni kipindi cha kutaka kujitawala ni wazi historia yoyote iliyoandikwa kwa kipindi hiko ingemtazama mtu yeyote yule aliyeshirikiana na wakoloni kipindi wanaingia Afrika kama mtu mjinga na msaliti kwa jamii yake.


KWANINI NASEMA MANGUNGO SIO MJINGA?


Kilichotokea kati ya Mangungo na machifu wengine waliopigana na wazungu ni uelewa tu. Mangungo aliona mbali ambapo wengine hawakuona kwa kipindi kile. MANGUNGO aliwaona wazungu kama wawekezaji mapema sana kuliko machifu wenzake. Kile alichokifanya Mangungo kuwaona wazungu kama wawekezaji ndio hiki tunakiona leo na sisi kuwa wazungu wanauwezo wa kuwekeza katika nchi zetu za kiafrika na uchumi ukakua.

JE MANGUNGO ALIAHIDIWA NINI KWA WAZUNGU?

Binafsi naamini tofauti na mkataba wa kuichukua ardhi na kiutawala tunaoambiwa kuwa ndio huo MANGUNGO alisaini lakini inaonesha wazi kwamba Mangungo alielezwa kuwa kama wazungu watalichukua eneo basi watakuja na mamba yafuatayo ;

mashine ( matreka) za kilimo kama treka nk

Ujenzi wa hospital za kisasa kwa (kipindi hicho)

Ujenzi wa shule

Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia chakula

Ujenzi wa barabara

Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme

Ujenzi wa reli ya kisasa kwa wakati huo

Ujenzi wa madaraja katika maeneo yasiyopitika kipindi cha masika

Upatikanaji wa huduma za maji safi .

Je upi unaweza kuwa uthibitisho wa hizo ahadi hadi kupelekea MANGUNGO kukubali?

Ukilitazama vizuri hilo eneo la Msovero ambalo ndio inaelezwa kuchukua eneo kubwa la KILOSA ya leo utagundua yafuatayo.

Maeneo mengi ya wilaya hiyo yana mashamba makubwa ya mkonge yaliyolimwa na mwekezaji wa Mangungo. Kuanzia Msowero ya leo , Gairo, Kimamba, Ludewa, Kilosa mjini ya leo, Chanzuru, Kivungu, Zombo , Mikumi, Kilangali , Malangali ,Ngaite, Melela Mvomero inayopakana na kilosa , ILONGA had maeneo ya dumila nk

Hayo ni maeneo machache sana yanayoonesha mwekezaji alitekeleza kweli ahadi yake ya kuinua kilimo.

Maeneo ya Kilosa mengi yalijegwa hospital. Mfano hospital ya Kilosa , Kimamba , vituo vya afya kama maeneo ya Ludewa , Mkata , na vingine ambavyo vilijegwa na wajerumani . Hivyo vitu havikuwepo kabla ya mkataba wa MANGUNGO.

Uwepo wa barabara kama ya kutoka Kilosa hadi Mikumi kupitia Zombo, barabara ya kutoka Kilosa hadi Morogoro mjini kupitia Mkata na ile kupitia Ludewa ni ushahidi tosha kuwa mwekezaji alifanya yale aliyoahidi mbele ya chifu Mangungo.

Uwepo wa njia ya reli inayopita tokea Morogoro mjini pale kichangani na kupita maeneo kama Mkata, Kimamba, Kilosa mjini ya sasa, Mkadage huko hadi Pwaga na kuingia Mpwapwa hii inaonedha jinsi gani mkataba wa chifu Mangungo na machifu wa kiluguru na wa kizingua ulizaa matunda kwa maeneo yao kiuwekezaji.

Uwepo wa shule ya KIZUNGUZI (kizu boys)

Ajira kwa vijana Uwepo wa huduma za malazi kwa wafanyakazi. Ajira ilipatikana kwa manamba japo mshahara haukuwa mkubwa lakini ukibadili thamani ya mshahara wa kipindi hicho unafanana na baadhi ya mishahara ya baadhi ya watu wanaolipwa hivi leo. Si kwamba hata hivi leo watu hawalalamiki udogo wa mishahara.

Nyumba za watumishi zilijegwa kila kwenye stesheni , kwenye kila kituo chao cha kukusanyia mikonge mfano Kimamba, ludewa , Chanzuru Msiwero , Kivungu nk. Hapa inaonesha ni jinsi gani mkataba aliosaini abwana mangungo haukuwa mbaya kama tunavyoaminishana leo hii.


Bado kama hayo hayatoshi ukipita maeneo ya Ilonga utaona jinsi wajerumani walivyopaendeleza katika kilimo na vituo vya utafiti wa kilimo walijenga ( hapa mtanikosoa kama walijenga wajerumani au waingereza).


Kwa wale watu walio bahatika kuishi Sagara ya zamani au Kilosa ya leo wanaweza kuwa mashahidi . Mji wa kilosa wa leo unaoneka ni mji uliokuwa wa kifahari enzi ya wawekezaji wa Mangungo ( ambao waliitwa wakoloni hapo awali) kabla ya kubadilishwa jina tena na kuitwa wawekezaji kama alivyowaita Mangungo na kizazi cha sasa . Kilosa ulikuwa mji kimbilio la wageni toka mikoa mbali mbali Tanzania. Usifikiri katika "engo" ya manamba kupata mchanganyiko wa kabila katika eneo la kilosa bali hata huduma ziliwavuta vijana wa zamani kwenda kuishi Kilosa.

Je kunyonywa kiuchumi ndio kunatufanya tumuone Mangungo alikuwa mjinga?


Binafsi namuona Bwana Mangungo kama kiongozi aliyeuona uwekezaji tangu mapema. Kwani kama kuhusu kunyonywa bado hadi leo kama taifa bado tuna mikataba mingi ya kinyonyaji isiyoacha alama kwa taifa kuliko ile ya msovero iliyoacha hata reli ,magofu ya nyumba na hospital.
Wapo watakaosema ujinga wa Mangungo ni kuiachia ardhi kwa wazungu kulima pamba na mikonge huku wenyeji kuishi kwa njaa. Binafsi naamini kwa nyakati hizo kulikuwa na watu wachache sana wenye uwezo wa kulima mamia ya ekari kama wawekezaji. Wengi walilima kujikimu kwani ni miaka zaidi ya 70s sasa tangu Mzungu atuachie ardhi yetu lakini kuna maeneo tangu kuumbwa kwa dunia hayajawahi kulimwa na wazawa. Vijana wanashinda kwenye vituo vya kubeti huku redio zikihamasisha nguvu ya buku katika kushinda kamali. Kwa mawazo kama hayo hatuoni kama bwana Mangungo aluoba mbali kuingia mikataba na wawekezaji?

Wapo watakaosema ujinga ni kuwa alisaini bila kuelewa chochote . Binafsi naona si kweli, kwani kama ni kweli Mangungo alisaini kitu asichoelewa historia ingeonesha kutokea mgogoro baina ya mwekezaji na Mangungo. Katika hali ya kawaida mtu akwambie muingie makubaliano ya kulichukua eneo lako lote la ardi na kiutawala na ukakubali bila kumuuliza shughuri atakazofanyia eneo lako. Pili, mkata ulisainiwa kisha Karl na wenzake wakaondoka kurudi Ujerumani . Kama wangekuwa ni walaghai basi pale waliporudi kutekeleza uwekezaji wao lazima pangetokea ugomvi na kutoelewana. Maana katika hali ya kawaida ukimpa mtu eneo alime au akae alafu ghafla unamwona anakuja na fundi wake wanajenga nyumba , hospitali, reli bila kwenda kuwahoji.

MANGUNGO ALIKUWA KIONGOZI MWANADIPLOMASIA

Kwajinsi sasa jamii ya Kiafrika inavyomsifu kiongozi mwenye mahusiano mazuri na wazungu kama kiongozi bora na mwanadiplomasia basi ni wazi Mangungo alikuwa nguli zaidi kama mwanadiplomasia wa mwanzoni kabisa.

NINI WITO WANGU KWA JAMII

Niwakati sasa wa jamii yetu kubadili mtazamo juu ya chifu Mangungo kwa kumchukulia kama kiongozi mjinga na kumwona kama kiongozi wa mwanzoni kuhamasisha uwekezaji nchini. Kumwona Mangungo kama kiongozi mjinga kumeifanya hata familia yake isijulikane leo hii ksma zinavyojulikana familia za ma chifu wengine. Kwakuwa sasa viongozi wetu wamerudi kule kule kuwapokea wazungu na kufanya nao shughuri za maendeleo kama ujenzi wa miundombinu ya maji , barabara, reli, hospitali, na shule jambo ambalo hata Mangungo ndilo alilifanya kwa ustadi basi hatuna budi kumuenzi Mangungo kama mwasisi wa uwekezaji nchini.
Natamani sasa hata familia yake iliyobaki tuiombe msamaha kama taifa kwakuwa tulilewa mvinyo wa uhuru kiasi ya kuwaona waliopinga kushirikiana na wazungu kuwa ndio MASHUJAA.

Nawasaliim

Pole sana mtoto wa chief Mangungo ndivyo siasa Ya Africa ilivyo.
 
Samia, anadhani bila usaidizi wa nchi nyingine sisi wenyewe ni bure?
Yes! Mama yuko sahihi sana!! kwanza anatambua sisi siyo kisiwa! anajua watu tunahitajiana sisi km wao, marafiki wa kweli na wa wazi siyo wanyonyaji wa kujipendekeza,

pili anafanya kwa uwazi, tena kwa faida yetu wooote! nani tushirikiane naye (na nani tusishirikiane naye) halazimishwi kijinga km Mangungo!

Na matokeo ni halisi, hapelekwi! pelekwi! (Iron fist Lady).......anajitambua! anachagua nani awe!! na nani asiwe nchi Rafiki!...anajali na kuthamini, michango ya ndugu zake wa AO, EAC, na SADDAC!

Kifupi Mama yuko njema usijaribu kumtania! Amejipanga! na misimamo inayoeleweka labda km una yako! na hakuna km Mama!..........

Stone!! ana la kujibu, ina maana siku zikiendaaa!....lile kaburi lake litapigwa Pingu!. make kafa akiwa hajafikia hatua ya kuwa na kinga ya Urais! na hilo kaburi la Mangungo linastahili kupigwa pingu sasa hivi.!
 
Chifu mangungo hakuwa mjinga, watanzania tulipotoshwa, tunapaswa kuiomba familia yake msamaha

Kwa miaka mingi sana chifu mangungo ameendelea kuonekana kama mfano wa kiongozi mjinga hasa pale linapotokea swala la mikataba. Lakini je Mangungo alikuwa mjinga kweli?

Chifu mangungo ni nani?

Naomba ninukuu kidogo kipande cha historia fupi kuhusu chifu Mangungo kutoka katika uzi wa ndugu humu Jf KILABA

"Mangungo simultaneously for all his people and Dr. Peters for alt his present and future associates hereby concluded a treaty of Eternal Friendship.

Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.

Dr. Karl Peters, in the name of the Society for German Colonization declares his willingness to take over the territory of the Sultan Mangungo with all rights for German Colonization subject to any existing suzerainty of Mwenyi Sagara.

In pursuance thereof, Sultan Mangungo hereby cedes all the territory of Msovero, belonging to him by inheritance or otherwise for all time, to Dr. Karl Peters, making over to him at the same time all his rights.

Dr. Karl Peters in the name of the Society for German Colonization undertakes to give special...attention to Msovero when colonizing Usagara.

This treaty has been communicated to the Sultan Mangungo by the interpreter Ramzan in a clear manner and has been signed by both sides, with the observation of the formalities valid in Usagara the Sultan on direct enquiry having declared that he was not in anyway dependent upon the Sultan of Zanzibar, and that he did not even know the existence of the latter.

Sgd. Dr. KARL PETERS
Sgd. MANGUNGO

This contract has been executed legally and made valid for all time before a great number of witnesses, we testify herewith:
Kwagakinga (mark);
Sultan Mangungo’s son of Golola (mark);
Sultan Mangungo’s second son of Draman (mark);
Graf Pfeil August Otto;
Mark of the intepreter Ramazan etc.
Dr. Karl Juhlke.
Msovero Usagara November 29, 1884.

Kwa tafsiri isiyo rasmi, kwa Kiswahili unasomeka hivi:
Mangungo, Sultan wa Msovero katika Mwenyisagara, na Dk. Karl Peters. Mangungo sambamba na watu wake wote na Dk. Peters kwa niaba yake na washirika wake wengine wajao kwa pamoja wanaweka mkataba wa Urafiki wa Kudumu.

Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.

Dk. Karl Peters, kwa niaba ya jina la Umoja wa Ukoloni wa Ujermani anatangaza dhamira yake ya kuitwaa himaya yote ya Sultan Mangungo na haki zote kwa ajili ya Koloni la Ujerumani inayohusisha kila kona na amali za Mwenyi Sagara.

Katika kutekeleza hilo, Sultan Mangungo anakabidhi himaya yote ya Msovero, inayomilikiwa na yeye mwenyewe kwa urithi au kwa namna yoyote ile kwa nyakati zote, kwa Dk. Karl Peters, na wakati huo huo kumkabidhi haki zake zote.

Dk. Karl Peters kwa niaba ya Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani anakusudia kuweka mkazo maalum kwa eneo la Msovero wakati wa kuitawala Usagara.

Mkataba huu umewasilishwa kwa Sultan Mangungo na mkalimani Ramzan katika dhana ya wazi kabisa na umesainiwa na pande zote, kwa kuzingatia taratibu zilizopo katika Usagara, Sultan baada ya kuhojiwa moja kwa moja alikiri kwamba hakuwa na ushirika ama kutegemea kwa namna yoyote Sultan wa Zanzibar, na kwamba hakuwa hata akimfahamu.

Imesainiwa. Dk. KARL PETERS
Imesainiwa. MANGUNGO

Mkataba huu umefanyika kihalali kabisa na umehuishwa kwa nyakati zote mbele za mashahidi wengi, ambao tunakiri hapa:
Kwagakinga (dole gumba);
Golola mtoto wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Draman mtoto wa pili wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Graf Pfeil August Otto.
Dole gumba la mkalimani Ramazan etc.
Dk. Karl Juhlke.
Msovero Usagara Novemba 29, 1884.



KWANINI MANGUNGO ALIONEKANA MJINGA?

Historia ilipoandikwa baada ya kupata uhuru , iliwahesabu watu wote waliopambana na wazungu kama mashujaa mfano Mkwawa. Bila kujali utawala wa hao machifu kama ulikuwa wa haki au laa. Historia haikutazama watawala hawa machifu kama watu walio pambania madaraka yao bali inawahesabu kama mashujaa kwa kuwa ilipambana tu mzungu.

Baada ya uhuru watu walisoma hadithi kama "KIBANGA AMPIGA MKOLONI". waliosoma kwa kipindi hicho walimuona Kibanga kama shujaa kwa kumpiga mzungu ( mkoloni). Lakini je Kibanga wa mwaka 1960 bado ni shujaa leo hii au ataonekana anafukuza "WAWEKEZAJI" ?

Kwahiyo kama KIBANGA alionekana shujaa kwa kumpinga mkoloni kipindi cha kutaka kujitawala ni wazi historia yoyote iliyoandikwa kwa kipindi hiko ingemtazama mtu yeyote yule aliyeshirikiana na wakoloni kipindi wanaingia Afrika kama mtu mjinga na msaliti kwa jamii yake.


KWANINI NASEMA MANGUNGO SIO MJINGA?


Kilichotokea kati ya Mangungo na machifu wengine waliopigana na wazungu ni uelewa tu. Mangungo aliona mbali ambapo wengine hawakuona kwa kipindi kile. MANGUNGO aliwaona wazungu kama wawekezaji mapema sana kuliko machifu wenzake. Kile alichokifanya Mangungo kuwaona wazungu kama wawekezaji ndio hiki tunakiona leo na sisi kuwa wazungu wanauwezo wa kuwekeza katika nchi zetu za kiafrika na uchumi ukakua.

JE MANGUNGO ALIAHIDIWA NINI KWA WAZUNGU?

Binafsi naamini tofauti na mkataba wa kuichukua ardhi na kiutawala tunaoambiwa kuwa ndio huo MANGUNGO alisaini lakini inaonesha wazi kwamba Mangungo alielezwa kuwa kama wazungu watalichukua eneo basi watakuja na mamba yafuatayo ;

mashine ( matreka) za kilimo kama treka nk

Ujenzi wa hospital za kisasa kwa (kipindi hicho)

Ujenzi wa shule

Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia chakula

Ujenzi wa barabara

Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme

Ujenzi wa reli ya kisasa kwa wakati huo

Ujenzi wa madaraja katika maeneo yasiyopitika kipindi cha masika

Upatikanaji wa huduma za maji safi .

Je upi unaweza kuwa uthibitisho wa hizo ahadi hadi kupelekea MANGUNGO kukubali?

Ukilitazama vizuri hilo eneo la Msovero ambalo ndio inaelezwa kuchukua eneo kubwa la KILOSA ya leo utagundua yafuatayo.

Maeneo mengi ya wilaya hiyo yana mashamba makubwa ya mkonge yaliyolimwa na mwekezaji wa Mangungo. Kuanzia Msowero ya leo , Gairo, Kimamba, Ludewa, Kilosa mjini ya leo, Chanzuru, Kivungu, Zombo , Mikumi, Kilangali , Malangali ,Ngaite, Melela Mvomero inayopakana na kilosa , ILONGA had maeneo ya dumila nk

Hayo ni maeneo machache sana yanayoonesha mwekezaji alitekeleza kweli ahadi yake ya kuinua kilimo.

Maeneo ya Kilosa mengi yalijegwa hospital. Mfano hospital ya Kilosa , Kimamba , vituo vya afya kama maeneo ya Ludewa , Mkata , na vingine ambavyo vilijegwa na wajerumani . Hivyo vitu havikuwepo kabla ya mkataba wa MANGUNGO.

Uwepo wa barabara kama ya kutoka Kilosa hadi Mikumi kupitia Zombo, barabara ya kutoka Kilosa hadi Morogoro mjini kupitia Mkata na ile kupitia Ludewa ni ushahidi tosha kuwa mwekezaji alifanya yale aliyoahidi mbele ya chifu Mangungo.

Uwepo wa njia ya reli inayopita tokea Morogoro mjini pale kichangani na kupita maeneo kama Mkata, Kimamba, Kilosa mjini ya sasa, Mkadage huko hadi Pwaga na kuingia Mpwapwa hii inaonedha jinsi gani mkataba wa chifu Mangungo na machifu wa kiluguru na wa kizingua ulizaa matunda kwa maeneo yao kiuwekezaji.

Uwepo wa shule ya KIZUNGUZI (kizu boys)

Ajira kwa vijana Uwepo wa huduma za malazi kwa wafanyakazi. Ajira ilipatikana kwa manamba japo mshahara haukuwa mkubwa lakini ukibadili thamani ya mshahara wa kipindi hicho unafanana na baadhi ya mishahara ya baadhi ya watu wanaolipwa hivi leo. Si kwamba hata hivi leo watu hawalalamiki udogo wa mishahara.

Nyumba za watumishi zilijegwa kila kwenye stesheni , kwenye kila kituo chao cha kukusanyia mikonge mfano Kimamba, ludewa , Chanzuru Msiwero , Kivungu nk. Hapa inaonesha ni jinsi gani mkataba aliosaini abwana mangungo haukuwa mbaya kama tunavyoaminishana leo hii.


Bado kama hayo hayatoshi ukipita maeneo ya Ilonga utaona jinsi wajerumani walivyopaendeleza katika kilimo na vituo vya utafiti wa kilimo walijenga ( hapa mtanikosoa kama walijenga wajerumani au waingereza).


Kwa wale watu walio bahatika kuishi Sagara ya zamani au Kilosa ya leo wanaweza kuwa mashahidi . Mji wa kilosa wa leo unaoneka ni mji uliokuwa wa kifahari enzi ya wawekezaji wa Mangungo ( ambao waliitwa wakoloni hapo awali) kabla ya kubadilishwa jina tena na kuitwa wawekezaji kama alivyowaita Mangungo na kizazi cha sasa . Kilosa ulikuwa mji kimbilio la wageni toka mikoa mbali mbali Tanzania. Usifikiri katika "engo" ya manamba kupata mchanganyiko wa kabila katika eneo la kilosa bali hata huduma ziliwavuta vijana wa zamani kwenda kuishi Kilosa.

Je kunyonywa kiuchumi ndio kunatufanya tumuone Mangungo alikuwa mjinga?


Binafsi namuona Bwana Mangungo kama kiongozi aliyeuona uwekezaji tangu mapema. Kwani kama kuhusu kunyonywa bado hadi leo kama taifa bado tuna mikataba mingi ya kinyonyaji isiyoacha alama kwa taifa kuliko ile ya msovero iliyoacha hata reli ,magofu ya nyumba na hospital.
Wapo watakaosema ujinga wa Mangungo ni kuiachia ardhi kwa wazungu kulima pamba na mikonge huku wenyeji kuishi kwa njaa. Binafsi naamini kwa nyakati hizo kulikuwa na watu wachache sana wenye uwezo wa kulima mamia ya ekari kama wawekezaji. Wengi walilima kujikimu kwani ni miaka zaidi ya 70s sasa tangu Mzungu atuachie ardhi yetu lakini kuna maeneo tangu kuumbwa kwa dunia hayajawahi kulimwa na wazawa. Vijana wanashinda kwenye vituo vya kubeti huku redio zikihamasisha nguvu ya buku katika kushinda kamali. Kwa mawazo kama hayo hatuoni kama bwana Mangungo aluoba mbali kuingia mikataba na wawekezaji?

Wapo watakaosema ujinga ni kuwa alisaini bila kuelewa chochote . Binafsi naona si kweli, kwani kama ni kweli Mangungo alisaini kitu asichoelewa historia ingeonesha kutokea mgogoro baina ya mwekezaji na Mangungo. Katika hali ya kawaida mtu akwambie muingie makubaliano ya kulichukua eneo lako lote la ardi na kiutawala na ukakubali bila kumuuliza shughuri atakazofanyia eneo lako. Pili, mkata ulisainiwa kisha Karl na wenzake wakaondoka kurudi Ujerumani . Kama wangekuwa ni walaghai basi pale waliporudi kutekeleza uwekezaji wao lazima pangetokea ugomvi na kutoelewana. Maana katika hali ya kawaida ukimpa mtu eneo alime au akae alafu ghafla unamwona anakuja na fundi wake wanajenga nyumba , hospitali, reli bila kwenda kuwahoji.

MANGUNGO ALIKUWA KIONGOZI MWANADIPLOMASIA

Kwajinsi sasa jamii ya Kiafrika inavyomsifu kiongozi mwenye mahusiano mazuri na wazungu kama kiongozi bora na mwanadiplomasia basi ni wazi Mangungo alikuwa nguli zaidi kama mwanadiplomasia wa mwanzoni kabisa.

NINI WITO WANGU KWA JAMII

Niwakati sasa wa jamii yetu kubadili mtazamo juu ya chifu Mangungo kwa kumchukulia kama kiongozi mjinga na kumwona kama kiongozi wa mwanzoni kuhamasisha uwekezaji nchini. Kumwona Mangungo kama kiongozi mjinga kumeifanya hata familia yake isijulikane leo hii ksma zinavyojulikana familia za ma chifu wengine. Kwakuwa sasa viongozi wetu wamerudi kule kule kuwapokea wazungu na kufanya nao shughuri za maendeleo kama ujenzi wa miundombinu ya maji , barabara, reli, hospitali, na shule jambo ambalo hata Mangungo ndilo alilifanya kwa ustadi basi hatuna budi kumuenzi Mangungo kama mwasisi wa uwekezaji nchini.
Natamani sasa hata familia yake iliyobaki tuiombe msamaha kama taifa kwakuwa tulilewa mvinyo wa uhuru kiasi ya kuwaona waliopinga kushirikiana na wazungu kuwa ndio MASHUJAA.

Nawasaliim
umeandika kitu kizuri lakini si kwa kizazi na watawala wa sasa wanaweza penda hiki
 
Mwanzisha thread ana hoja nzuri kama utakubali kupima pande mbili. Pamoja na kuwa mimi nahusudu sana kujitegemea na kujiletea maendeleo wenyewe lakini hebu niambie viongozi waliokuwepo baada ya chifu Mangungo kuondoka wamefanya nini tofauti naye? Ukiondoa mwalimu Nyerere aliyekuwa na vision na kuhangaika sana kutaka tujiendeleze kwa nguvu zetu ni yupi mwingine ambaye amefanya tofauti? Kwa nini tunamsema vibaya Mangungo wakati mtu kama rais wa sasa, Samia, anadhani bila usaidizi wa nchi nyingine sisi wenyewe ni bure?
Ahsante sana nadhani umenisaidia kunieleweshea.
 
Chifu mangungo hakuwa mjinga, watanzania tulipotoshwa, tunapaswa kuiomba familia yake msamaha

Kwa miaka mingi sana chifu mangungo ameendelea kuonekana kama mfano wa kiongozi mjinga hasa pale linapotokea swala la mikataba. Lakini je Mangungo alikuwa mjinga kweli?

Chifu mangungo ni nani?

Naomba ninukuu kidogo kipande cha historia fupi kuhusu chifu Mangungo kutoka katika uzi wa ndugu humu Jf KILABA

"Mangungo simultaneously for all his people and Dr. Peters for alt his present and future associates hereby concluded a treaty of Eternal Friendship.

Mangungo offers all his territory with all its civil appurtenances to Dr. Karl Peters, as the representative of the Society for German Colonization, for the exclusive and universal utilization for German colonization.

Dr. Karl Peters, in the name of the Society for German Colonization declares his willingness to take over the territory of the Sultan Mangungo with all rights for German Colonization subject to any existing suzerainty of Mwenyi Sagara.

In pursuance thereof, Sultan Mangungo hereby cedes all the territory of Msovero, belonging to him by inheritance or otherwise for all time, to Dr. Karl Peters, making over to him at the same time all his rights.

Dr. Karl Peters in the name of the Society for German Colonization undertakes to give special...attention to Msovero when colonizing Usagara.

This treaty has been communicated to the Sultan Mangungo by the interpreter Ramzan in a clear manner and has been signed by both sides, with the observation of the formalities valid in Usagara the Sultan on direct enquiry having declared that he was not in anyway dependent upon the Sultan of Zanzibar, and that he did not even know the existence of the latter.

Sgd. Dr. KARL PETERS
Sgd. MANGUNGO

This contract has been executed legally and made valid for all time before a great number of witnesses, we testify herewith:
Kwagakinga (mark);
Sultan Mangungo’s son of Golola (mark);
Sultan Mangungo’s second son of Draman (mark);
Graf Pfeil August Otto;
Mark of the intepreter Ramazan etc.
Dr. Karl Juhlke.
Msovero Usagara November 29, 1884.

Kwa tafsiri isiyo rasmi, kwa Kiswahili unasomeka hivi:
Mangungo, Sultan wa Msovero katika Mwenyisagara, na Dk. Karl Peters. Mangungo sambamba na watu wake wote na Dk. Peters kwa niaba yake na washirika wake wengine wajao kwa pamoja wanaweka mkataba wa Urafiki wa Kudumu.

Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa Dk. Karl Peters, kama mwakilishi wa Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani (Society for German Colonization), kwa ajili ya matumizi ya moja kwa moja ya koloni la Kijerumani.

Dk. Karl Peters, kwa niaba ya jina la Umoja wa Ukoloni wa Ujermani anatangaza dhamira yake ya kuitwaa himaya yote ya Sultan Mangungo na haki zote kwa ajili ya Koloni la Ujerumani inayohusisha kila kona na amali za Mwenyi Sagara.

Katika kutekeleza hilo, Sultan Mangungo anakabidhi himaya yote ya Msovero, inayomilikiwa na yeye mwenyewe kwa urithi au kwa namna yoyote ile kwa nyakati zote, kwa Dk. Karl Peters, na wakati huo huo kumkabidhi haki zake zote.

Dk. Karl Peters kwa niaba ya Umoja wa Ukoloni wa Kijerumani anakusudia kuweka mkazo maalum kwa eneo la Msovero wakati wa kuitawala Usagara.

Mkataba huu umewasilishwa kwa Sultan Mangungo na mkalimani Ramzan katika dhana ya wazi kabisa na umesainiwa na pande zote, kwa kuzingatia taratibu zilizopo katika Usagara, Sultan baada ya kuhojiwa moja kwa moja alikiri kwamba hakuwa na ushirika ama kutegemea kwa namna yoyote Sultan wa Zanzibar, na kwamba hakuwa hata akimfahamu.

Imesainiwa. Dk. KARL PETERS
Imesainiwa. MANGUNGO

Mkataba huu umefanyika kihalali kabisa na umehuishwa kwa nyakati zote mbele za mashahidi wengi, ambao tunakiri hapa:
Kwagakinga (dole gumba);
Golola mtoto wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Draman mtoto wa pili wa Sultan Mangungo (dole gumba);
Graf Pfeil August Otto.
Dole gumba la mkalimani Ramazan etc.
Dk. Karl Juhlke.
Msovero Usagara Novemba 29, 1884.



KWANINI MANGUNGO ALIONEKANA MJINGA?

Historia ilipoandikwa baada ya kupata uhuru , iliwahesabu watu wote waliopambana na wazungu kama mashujaa mfano Mkwawa. Bila kujali utawala wa hao machifu kama ulikuwa wa haki au laa. Historia haikutazama watawala hawa machifu kama watu walio pambania madaraka yao bali inawahesabu kama mashujaa kwa kuwa ilipambana tu mzungu.

Baada ya uhuru watu walisoma hadithi kama "KIBANGA AMPIGA MKOLONI". waliosoma kwa kipindi hicho walimuona Kibanga kama shujaa kwa kumpiga mzungu ( mkoloni). Lakini je Kibanga wa mwaka 1960 bado ni shujaa leo hii au ataonekana anafukuza "WAWEKEZAJI" ?

Kwahiyo kama KIBANGA alionekana shujaa kwa kumpinga mkoloni kipindi cha kutaka kujitawala ni wazi historia yoyote iliyoandikwa kwa kipindi hiko ingemtazama mtu yeyote yule aliyeshirikiana na wakoloni kipindi wanaingia Afrika kama mtu mjinga na msaliti kwa jamii yake.


KWANINI NASEMA MANGUNGO SIO MJINGA?


Kilichotokea kati ya Mangungo na machifu wengine waliopigana na wazungu ni uelewa tu. Mangungo aliona mbali ambapo wengine hawakuona kwa kipindi kile. MANGUNGO aliwaona wazungu kama wawekezaji mapema sana kuliko machifu wenzake. Kile alichokifanya Mangungo kuwaona wazungu kama wawekezaji ndio hiki tunakiona leo na sisi kuwa wazungu wanauwezo wa kuwekeza katika nchi zetu za kiafrika na uchumi ukakua.

JE MANGUNGO ALIAHIDIWA NINI KWA WAZUNGU?

Binafsi naamini tofauti na mkataba wa kuichukua ardhi na kiutawala tunaoambiwa kuwa ndio huo MANGUNGO alisaini lakini inaonesha wazi kwamba Mangungo alielezwa kuwa kama wazungu watalichukua eneo basi watakuja na mamba yafuatayo ;

mashine ( matreka) za kilimo kama treka nk

Ujenzi wa hospital za kisasa kwa (kipindi hicho)

Ujenzi wa shule

Ujenzi wa maghala ya kuhifadhia chakula

Ujenzi wa barabara

Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme

Ujenzi wa reli ya kisasa kwa wakati huo

Ujenzi wa madaraja katika maeneo yasiyopitika kipindi cha masika

Upatikanaji wa huduma za maji safi .

Je upi unaweza kuwa uthibitisho wa hizo ahadi hadi kupelekea MANGUNGO kukubali?

Ukilitazama vizuri hilo eneo la Msovero ambalo ndio inaelezwa kuchukua eneo kubwa la KILOSA ya leo utagundua yafuatayo.

Maeneo mengi ya wilaya hiyo yana mashamba makubwa ya mkonge yaliyolimwa na mwekezaji wa Mangungo. Kuanzia Msowero ya leo , Gairo, Kimamba, Ludewa, Kilosa mjini ya leo, Chanzuru, Kivungu, Zombo , Mikumi, Kilangali , Malangali ,Ngaite, Melela Mvomero inayopakana na kilosa , ILONGA had maeneo ya dumila nk

Hayo ni maeneo machache sana yanayoonesha mwekezaji alitekeleza kweli ahadi yake ya kuinua kilimo.

Maeneo ya Kilosa mengi yalijegwa hospital. Mfano hospital ya Kilosa , Kimamba , vituo vya afya kama maeneo ya Ludewa , Mkata , na vingine ambavyo vilijegwa na wajerumani . Hivyo vitu havikuwepo kabla ya mkataba wa MANGUNGO.

Uwepo wa barabara kama ya kutoka Kilosa hadi Mikumi kupitia Zombo, barabara ya kutoka Kilosa hadi Morogoro mjini kupitia Mkata na ile kupitia Ludewa ni ushahidi tosha kuwa mwekezaji alifanya yale aliyoahidi mbele ya chifu Mangungo.

Uwepo wa njia ya reli inayopita tokea Morogoro mjini pale kichangani na kupita maeneo kama Mkata, Kimamba, Kilosa mjini ya sasa, Mkadage huko hadi Pwaga na kuingia Mpwapwa hii inaonedha jinsi gani mkataba wa chifu Mangungo na machifu wa kiluguru na wa kizingua ulizaa matunda kwa maeneo yao kiuwekezaji.

Uwepo wa shule ya KIZUNGUZI (kizu boys)

Ajira kwa vijana Uwepo wa huduma za malazi kwa wafanyakazi. Ajira ilipatikana kwa manamba japo mshahara haukuwa mkubwa lakini ukibadili thamani ya mshahara wa kipindi hicho unafanana na baadhi ya mishahara ya baadhi ya watu wanaolipwa hivi leo. Si kwamba hata hivi leo watu hawalalamiki udogo wa mishahara.

Nyumba za watumishi zilijegwa kila kwenye stesheni , kwenye kila kituo chao cha kukusanyia mikonge mfano Kimamba, ludewa , Chanzuru Msiwero , Kivungu nk. Hapa inaonesha ni jinsi gani mkataba aliosaini abwana mangungo haukuwa mbaya kama tunavyoaminishana leo hii.


Bado kama hayo hayatoshi ukipita maeneo ya Ilonga utaona jinsi wajerumani walivyopaendeleza katika kilimo na vituo vya utafiti wa kilimo walijenga ( hapa mtanikosoa kama walijenga wajerumani au waingereza).


Kwa wale watu walio bahatika kuishi Sagara ya zamani au Kilosa ya leo wanaweza kuwa mashahidi . Mji wa kilosa wa leo unaoneka ni mji uliokuwa wa kifahari enzi ya wawekezaji wa Mangungo ( ambao waliitwa wakoloni hapo awali) kabla ya kubadilishwa jina tena na kuitwa wawekezaji kama alivyowaita Mangungo na kizazi cha sasa . Kilosa ulikuwa mji kimbilio la wageni toka mikoa mbali mbali Tanzania. Usifikiri katika "engo" ya manamba kupata mchanganyiko wa kabila katika eneo la kilosa bali hata huduma ziliwavuta vijana wa zamani kwenda kuishi Kilosa.

Je kunyonywa kiuchumi ndio kunatufanya tumuone Mangungo alikuwa mjinga?


Binafsi namuona Bwana Mangungo kama kiongozi aliyeuona uwekezaji tangu mapema. Kwani kama kuhusu kunyonywa bado hadi leo kama taifa bado tuna mikataba mingi ya kinyonyaji isiyoacha alama kwa taifa kuliko ile ya msovero iliyoacha hata reli ,magofu ya nyumba na hospital.
Wapo watakaosema ujinga wa Mangungo ni kuiachia ardhi kwa wazungu kulima pamba na mikonge huku wenyeji kuishi kwa njaa. Binafsi naamini kwa nyakati hizo kulikuwa na watu wachache sana wenye uwezo wa kulima mamia ya ekari kama wawekezaji. Wengi walilima kujikimu kwani ni miaka zaidi ya 70s sasa tangu Mzungu atuachie ardhi yetu lakini kuna maeneo tangu kuumbwa kwa dunia hayajawahi kulimwa na wazawa. Vijana wanashinda kwenye vituo vya kubeti huku redio zikihamasisha nguvu ya buku katika kushinda kamali. Kwa mawazo kama hayo hatuoni kama bwana Mangungo aluoba mbali kuingia mikataba na wawekezaji?

Wapo watakaosema ujinga ni kuwa alisaini bila kuelewa chochote . Binafsi naona si kweli, kwani kama ni kweli Mangungo alisaini kitu asichoelewa historia ingeonesha kutokea mgogoro baina ya mwekezaji na Mangungo. Katika hali ya kawaida mtu akwambie muingie makubaliano ya kulichukua eneo lako lote la ardi na kiutawala na ukakubali bila kumuuliza shughuri atakazofanyia eneo lako. Pili, mkata ulisainiwa kisha Karl na wenzake wakaondoka kurudi Ujerumani . Kama wangekuwa ni walaghai basi pale waliporudi kutekeleza uwekezaji wao lazima pangetokea ugomvi na kutoelewana. Maana katika hali ya kawaida ukimpa mtu eneo alime au akae alafu ghafla unamwona anakuja na fundi wake wanajenga nyumba , hospitali, reli bila kwenda kuwahoji.

MANGUNGO ALIKUWA KIONGOZI MWANADIPLOMASIA

Kwajinsi sasa jamii ya Kiafrika inavyomsifu kiongozi mwenye mahusiano mazuri na wazungu kama kiongozi bora na mwanadiplomasia basi ni wazi Mangungo alikuwa nguli zaidi kama mwanadiplomasia wa mwanzoni kabisa.

NINI WITO WANGU KWA JAMII

Niwakati sasa wa jamii yetu kubadili mtazamo juu ya chifu Mangungo kwa kumchukulia kama kiongozi mjinga na kumwona kama kiongozi wa mwanzoni kuhamasisha uwekezaji nchini. Kumwona Mangungo kama kiongozi mjinga kumeifanya hata familia yake isijulikane leo hii ksma zinavyojulikana familia za ma chifu wengine. Kwakuwa sasa viongozi wetu wamerudi kule kule kuwapokea wazungu na kufanya nao shughuri za maendeleo kama ujenzi wa miundombinu ya maji , barabara, reli, hospitali, na shule jambo ambalo hata Mangungo ndilo alilifanya kwa ustadi basi hatuna budi kumuenzi Mangungo kama mwasisi wa uwekezaji nchini.
Natamani sasa hata familia yake iliyobaki tuiombe msamaha kama taifa kwakuwa tulilewa mvinyo wa uhuru kiasi ya kuwaona waliopinga kushirikiana na wazungu kuwa ndio MASHUJAA.

Nawasaliim
Nakubali asante na uandishi mkubwa na akili kubwa hongera sana, amazing analysis and thinking 🙏🙏🙏
 
Zamani za Nyerere tuwalifukuzilia kwa mbali hukoo! wakafanyie ujinga wao hukooo km kina Faza Thom na kundi lake! Leo akifanya hovyo tunaua! km Korimba si unawajua? Mtikila nk?! tupilia mbali kule! ....

Then .tuna subiria kwanza kumuandika vibaya! Nikuulize tuu nani kafanya ujinga na bado tuka mvumilia sisi wabongo??? Bashite unajua?, Sabaya ndo kabisaa, au yule mrafi na Mtekaji? km hujui aliko nenda chato?..

hao wooote si unajua hali zao weye lkn bana ! au huishi Bongo kijana! tena huyo wa Msovero ashukuru tu ni zamani lkn laiti angefanya hayo leo heee!!...wewe/yeye woote manzi ga nyanza!

Nakuuliza weye hujui Bazil Mramba na wenzake walivochapwa mpaka wakawa wanaokota takataka/ usafi Hospitali ya Sinza! ulikuwa wapi??? yaani hiyo huoni ni adhabu tosha kwa viongozi km huyo wa Msovero??

au ulitaka tuwauwe ndo ujue kuwa tumechukia??? ...Well! adhabu tuliyompa kambona , Bibi tii, Mohamed Babu, na yule komandoo aliye fia Msumbiji umesahau mara hii??......kweli weye kichwa chako bOga sana......

ndo tatizo lenu wana vijiji mnaleta mada wkt hata hujui kinachoendelea nchini! kifupi tumeaadhibu wengi sana na weye unastahili adhabu kushadadia waarifu!

Tatizo lako unadhani kuwekeza ni dhambi kwa kuwa hujui maana yake!......wanalipa kodi tunayotaka sisi!! na tunachagua sisi nani awekeze na nani asiwekeze! na kwa wakati gani!! tuna uwezo huo!

Mangungo yeye hakuwa na uwezoo wa kupinga alikuwa dhaifu! na chifu mzima na baraza lake looote alidanganywa sisi hatudanganywi

ikitokea wa ivo yeye huyo aliye mkaribisha na huyo mwekezaji wataipata fresh ile yenyewe!! mifano ni mingi tu!! ....ebu funguka bana weee!...huyo mzee wako ni moja ya mifano mibaya Africa ever!

hata Idd amini, Bokasa, Banda wa Malawi walikuwa ni mifano mibaya Africa, lkn wana wafuasi wao waliokuwa wana faidika nao! lkn wanaficha aibu zao! mbali kabisaaaa!...sasa weye mbraaaa!!
Unaonekana unakazi maalumu hapa JF???

Geuka nyuma angalia kwenye ubao .Kama jina lako sio la kwanza pia haliwezi kuwa la mwisho.

Sisi hatuzungumzii mambo ya kulamba nyayo na siasa za maji taka.

Tunamzungumzia Mangungo kama mkazi wa msovero iliyokuwa huru chini ya himaya yake . Wakati huo alikuwa na uhuru wa kukubali au kukataa.

Waliosema alikuwa mjinga wametoa sababu zao acha na sisi tunaosema hakuwa mjinga tutoe sababu kisha wasomaji watapima hoja zipi ni nzito.

Hapa hatupo kulinganisha awamu ya tano na ya sita.

Mjadala huu haupo katika kupima uzalendo wa mtu bali kuchimba yale yasiyoandikwa vitabuni.

NB: kama mjadala upo juu ya uwelewa wako tafadhari ignore huo huzi sio kosa nenda kwenye nyuzi saiz yako.
Usione kila ID mpya basi ni mgeni mwenzako .Watu tulikaa pembeni kama wasomaji zaidi ya miaka 7 tukijifunza namna gani JF watu wanajadiliana.

Tangu kizazi cha FB muhamie Humu mmekua kero sana.
Huyo uliyejiunga kumtetea hata atende mema kumzidi Musa bado kuna siku atafumba. Macho.
Jiheshimu HAMMY
 
Au ulitaka Mangungo awadanganye watu kama kinjikitile ndio umuone shujaa?

Lengo la huu uzi sio kuyatangaza maovu ya Mangungo hayo yalishafanywa na wengine. Mini nimejaribu kumweleza mangungo katika fikra za leo.
Wewe utakuwa ni msagara au mkaguru. Hapa unajaribu kupaka rangi uovu wa Huyo chifu Mangungo ambaye mpaka sasa huko Kilosa hata ukoo wake haujulikani. Mangungo alikuwa chifu dhaifu sana na si
mfano wa kuigwa leo.
 
Inaonekana wewe ni kitukuu cha Mangungo!
Hapana ila naifahamu kilosa in and out . Ndio maana hata mtu akiniambia kilosa sasaivi inaendelea nitabisha na kumwambia Kilosa inajegwa upya ilishawahi kuendelea huko zamani.
 
Mkuu acha kuhalalosha ujinga uliofanywa na huyo chief kwa kutumia kigezo cha uwekezaji katika karne hii.Maana hata kinachofanyika Sasa hivi bado ni ujinga kama alioufanya huyo chief,hamna Taifa lolote la watu wanajielewa akupe ardhi yake eti wewe uwekeze-ni ujinga wa kiwango cha PHD kwa nini wasiwekeze watu wako??
Kwa nini hao wawekezeaji wasiwekeze katika Nchi zao waje kuwekeza kwako,kwanza wanaua ubunifu wa watu wako na unaimarisha chumi za Mataifa yao kuliko lako-sasa hizo ni akili au matope?
 
Wewe utakuwa ni msagara au mkaguru. Hapa unajaribu kupaka rangi uovu wa Huyo chifu Mangungo ambaye mpaka sasa huko Kilosa hata ukoo wake haujulikani. Mangungo alikuwa chifu dhaifu sana na si
mfano wa kuigwa leo.
Hapana sio msagara mimi kwanza kiasili. Wasagara sio kabila moja bali ni watu kutoka maeneo mengi pembezoni mwa Morogoro na KUZAGAA/ Kutawanyika kilosa ndio wakaitwa Wasagara au watawanyikaji. Ndio maana Wasagara hawana lugha maalumu kama kabila zingine sababu ni mwingiliano wa lugha nying wakajikuta wanaongea kiswahili.
 
Wewe utakuwa ni msagara au mkaguru. Hapa unajaribu kupaka rangi uovu wa Huyo chifu Mangungo ambaye mpaka sasa huko Kilosa hata ukoo wake haujulikani. Mangungo alikuwa chifu dhaifu sana na si
mfano wa kuigwa leo.
Hapana sio msagara mimi kwanza kiasili. Wasagara sio kabila moja bali ni watu kutoka maeneo mengi pembezoni mwa Morogoro na KUZAGAA/ Kutawanyika kilosa ndio wakaitwa Wasagara au watawanyikaji. Ndio maana Wasagara hawana lugha maalumu kama kabila zingine sababu ni mwingiliano wa lugha nying wakajikuta wanaongea kiswahili
 
Hapana sio msagara mimi kwanza kiasili. Wasagara sio kabila moja bali ni watu kutoka maeneo mengi pembezoni mwa Morogoro na KUZAGAA/ Kutawanyika kilosa ndio wakaitwa Wasagara au watawanyikaji. Ndio maana Wasagara hawana lugha maalumu kama kabila zingine sababu ni mwingiliano wa lugha nying wakajikuta wanaongea kiswahili.
 
Back
Top Bottom