Waafrika tulipotoshwa kuhusu Chifu Mangungo wa Msovero sio mjinga, Watanzania tuiombe familia yake msamaha na tumuenzi kama shujaa wa uwekezaji

Mangungo ni kiongozi bora sana kuwahi kutokea. Kwa zama zake . Sema mtunzi wa kitabu ndio anaweza kumtengeza staa aonekane vip
 
Naona wataka kurudi tena kwenye historia ya hila za wakoloni barani Afrika ili tu kuweza kututawala.

Ukumbuke wakoloni walikuwa na njia tatu za kutaka kuitawala Afrika - kutumia majasusi kama akina Carl Peters, kugombania na kisha kuamua kukaa Berlin Conference na mwisho kuanzisha utawala wa kikoloni barani Afrika.

Hii ya mwisho ya kuanzisha rssmi ukoloni Afrika isingefanikiwa bila akina Carl Peters kusafisha njia na kuketi kule Berlin Conference.

Ukumbuke utawala wa kikoloni ule wa wajerumani ulikuwa ni kati ya mwaka 1880 na 1900, lakini walipoanzisha makampuni kama GEA, mashamba makubwa na uchumi wa kijerumani na pia kupambana na wenyeji walokuwa wakipinga ukoloni, tayari walikuwa wamefanikiwa kuwalaghai hao viongozi ambao ndo walokuwa wa mwanzao kuwaruhusu hao wakoloni.

Pia wazungumzia diplomasia ya hayati Nyerere katika kushirikiana na wakoloni hii ilikuwa ni katika azma ileile ya kuwaondoa hawa kuitawala Afrika na hizi resistance zisingeweza kufanikiwa kama kusingekuwa na nia ya dhati ya kutaka kujitawala wenyewe.

Ila usipotoshe kuwa Chifu Mangungo alitumia diplomasia kwa kukubali ulaghai wa Carl Peters na kusaini mkataba ambao haukuwa na uhalali wowote, tena baada ya kukubali vijizawadi.

Hili ni somo zuri ambao Mwanafunzi Mtoro kalileta tujadili kwa makini.
 
hata atende mema kumzidi Musa bado kuna siku atafumba. Macho.
Halafu weye Babu Msagara una tatizo la kudumu daamuni...Nani alikwambia Musa alifumba macho??...wewe kama utafumba siyo woote watafumba!......sisi tutaendelea kuishi ktk ulimwengu mwingine!

unaelewaje fungu la ........''ili kila amwaminiye apate uzima wa Milele?.......
Hapa hatupo kulinganisha awamu ya tano na ya sita.
Babu umedandia uzi, rudia tena ukasome ndo ujue kwa nini nimelinganisha na uongozi wa sasa! au umelewa??
Unaonekana unakazi maalumu hapa JF???

Geuka nyuma angalia kwenye ubao .Kama jina lako sio la kwanza pia haliwezi kuwa la mwisho.
Afu weee Babu ntakupiga ngumi ujue?? nani asiyejua kazi ni msingi wa Maendeleo??..........jina na mie wapi na wapi?? CHIFU MANGUNGO ALIKUWA chief mzembe sana! tunachekwa huko nje ya nchi! mpaka leo!

Hana tofauti na Kambona , Babu, ntuntemeke sanga! sijui haya maeneo yana shida gani yaani ni mtindo wakutoa viongozi vilaza tyuuuuu! mpaka leo! mnakulaga nini nyie kenge!
 
Ancient Egypt ilitawala Atlantidas yoote ni wamisri wakazi wake, Ulaya yooote hiyo usiwaone wajanja vile lkn walikuwa chini ya Mweusi Wa Misri pure!! mpaka kuleee USA ya leo!!

Wana sayansi wooote km Archimedes, Dalton, nk walisomea Misri! ....lkn alicho kifanya Mzungu alifuta kumbukumbu zooote za kinyonge za kutawaliwa na watu weusi!..kwa faida za vizazi vyao! na

kamwe weusi hamtayajua haya Makuu yenu kwa sababu mkijua tuuu.... mtakuwa hamkamatiki tena kwa kiburi bin jeuri........hii ni siri isipokuwa sisi wachache tu, twajua...!

Ebu fikiria tu, utakapo jua kuwa wewe ulikuwa kitukuu cha Farao Ramse...aliye shindana na Mungu si utapanda watu vichwani weye??
 
Mbona mzee Mohamed Said akiwaambia hata hao machifu wenu mashujaa kina Mkwawa na Songea mbano. Walikuwa waislam mnambishia wakati kila kitu kinajionesha kwamba waarabu walishirikiana na machifu katika biashara na mambo ya kiimani.

Kabishane na wengine
 
Yani Kambona alikuwa kilaza? Are you serious?
 
Yani Kambona alikuwa kilaza? Are you serious?
Eeee! Bana weee!! sijakosea kabisa sasa km siyo kilaza, katusaidia nini humu Tanzania! Africa??!!....leo hii vitukuu vyake vinasafiri kutoka Bambabey mpaka Tarime kwa Lami tupU ambayo hakushiriki kuijenga!! Muzee!.............

hana la kukumbukwa msaliti yule! yaani kwa sababu ni babu yako baaaasi...........fikiria mtu aliye tukimbia maatizo yetu, tukamuimba weee!! bila hata kujisikia aibu! alirudi?? angekomaa na sisi humu tuone!!

Hata Mtakatifu nyerere alifungwa na Mkoloni, Alikumbana na hatare ya kupinduliwa kabisaaa, naMapinduzi jua kabisa kile ni kifooooo!! na alikuwa na uwezo wa kukimbia nchi tena akaishi huko vizuri tu.......

lkn kidume cha Mara kile kikasema noooo! ntafia humu humu,........ Haya huyoooo kaachia ngazi akaitwa kwa kuombwaaa na Mabepari njoo huku Uswiss uishi!! aka sema nooooooooo!
 
Tia neno kwenye mada mkuu, hizi porojo zingine ni kwa mada ingine.

Twamwongelea Chifu Mangungo kwamba kusaini mkataba wa kilaghai alopewa na Carl Peters ilikuwa ni udhaifu, au ujinga (kutofahamu kusoma na kuandika) ama kutojitambua au ilikuwa ni njia mojawapo ya kuvuta uwekezaji wa kikoloni kama anavyodai Mwanafunzi Mtoro.
 
GREAT THINKER ,binafsi kwa bandiko hili Mangungo aombwe msamaha kule alipo na yoyote aliyemtumia kama reference ya mikataba mibovu.
 
Mi nilishindwa kumjibu mana niliona kaja kama mwalimu wa history na anataka tujadili mambo kama anavyoyafundisha yeye huko shuleni.
Labda maswali yangu yalikuwa magumu sana na yangevuruga narrative yako kwa hiyo umeona mwl wa historia ndio kichaka cha kujificha. Rudi kajibu maswali yangu. Mimi sio mwalimu wa historia.

Nimenukuu ulichokiandika na nikahoji kama unavyohoji. Unfortunately unaona una haki ya kuhoji historia ya vitabuni ila for some reason unadhani hoja zako hazitakiwi kuhojiwa, else anayehoji atakuwa mwalimu wa historia!
 
wale hawambishii Mzee mohamed bali wana muelimisha! kuwa Uislamu ulikuwa ni Dini ya kitumwa hata watemi nguri na akina mkwawa waaliukataa! lkn kuupeleleza uislamu ili kuujua siyo kuwa sasa umekuwa Mwislamu!
 
GREAT THINKER ,binafsi kwa bandiko hili Mangungo aombwe msamaha kule alipo na yoyote aliyemtumia kama reference ya mikataba mibovu.
Si Chifu Mangungo pekee ambae alitia saini mikataba ya kilaghai kwa niaba ya wananchi wake na maeneo yote waloyamiliki.

Wapo machifu wengine nilowataja hapo juu ambao nao baadae walipojitambua kama yule wa Shona na Ndebele wakaamua kupigana na akina Cecil Rhodes kurudhisha ardhi zao.

Ardhi ya kabila ya Wandebele ilisheheni dhahabu kama ilivyokuwa kwa kabila la Washona na wakoloni wa kiiingereza walipogundua hiyo rasilimali wakamsainisha mikataba ya kilaghai (wale washirika wa Rhodes) Lobengula tena wakifahamu kuwa baba yake Msilikazi alikufa lakini Lobengula hakubaini ulghai huo hadi alipogundua Waingereza watangaza kumiliki eneo la migodi na ndipo vita ilipoanza.

Hii ni historia ambayo ipo na ni vizuri tukaijadili kwa makini kuhusu udhaifu wa viongozi wa wakati huo.
 
wale hawambishii Mzee mohamed bali wana muelimisha! kuwa Uislamu ulikuwa ni Dini ya kitumwa hata watemi nguri na akina mkwawa waaliukataa! lkn kuupeleleza uislamu ili kuujua siyo kuwa sasa umekuwa Mwislamu!
Sawa hizo ni mada zingine turudi mada kuu
 
siyo poroja mkuu baba!! Bali ni kuonyesha kwamba sisi weusi tulikuwa hatari sana kuliko kina karl peters hao, na tulifanya makubwa zaidi!!ya wao!! na bado tuna weza ...... lkn wanataka tujione sisi ni madhaifuuuuu!

wanatkuza watu dhaifu km kina chifu mangungo wa msovero ambao walikuwa upande wao! yaani vibaraka lkn sisi hatuwafanyi vibaraka km mfano wa kuigwa
 
wale hawambishii Mzee mohamed bali wana muelimisha! kuwa Uislamu ulikuwa ni Dini ya kitumwa hata watemi nguri na akina mkwawa waaliukataa! lkn kuupeleleza uislamu ili kuujua siyo kuwa sasa umekuwa Mwislamu!
Mkuu, tusitoke nje ya mada tunaiharibu.
 
Samahani kama jibu langu lilikukwaza mkuu. Kuhusu swali lako jibu sina. Swali lako lipo juu ya uwezo wangu kulijibu.
 
Hiyo ya kwamba sisi watu weusi akili tunazo hiyo haina ubishi na hadi kesho sisi ni tishio kwa hawa jamaa.

Lakini je sisi ni werevu?

Walotushinda wenzetu wote wazungu waloijenga Ulaya na waarabu waloijenga Dubai kwenye jangwa ni akili au werevu?
 
Si Chifu Mangungo pekee ambae alitia saini mikataba ya kilaghai kwa niaba ya wananchi wake na maeneo yote waloyamiliki.
Hatutaki hayooo!! hao waliotia mikataba kama hiyo ya kilaghai ni wengi tu, lakini walijua kujitetea upyaaa na kwa nguvu zote na mikataba ikafa mazimaaa!!

pale walipo gundua wamelaghaiwa mfano ni chief Malumbo wa Majita, na Majinge wa Musoma nk. huwezi kuja na kajikaratasi halafu unidanganye eti ni Mkataba,.......Hata leo!..fanya ivo uone!! ivi wewe kijana kabila gani weye!!

Richa ya maeneo hayo kuwa na dhahabu nyingi na vipusaa/watumwa, lkn Wazungu/waarabu hawakutia pua zao hovyo kuree! heee!.. eti na kikaratasi unaropoka eti ni mkataba........

walichofanywa kuree Mara ...walikuwa wanazingirwa na kuchomwa moto LIVE, then wanakula nyama zao hadharani hasa makalio yaliyo nona! kule hata utumwa ilikuwa ni mtihani!

Mkurya mmoja tu alikuwa anapiga Battalion nzima ya mzungu tena akiwa na panga/rungu tu!...ndo maana wakaenda kubembeleza wanajeshi kule wkt wa vita ya II.
 
Lakini je sisi ni welevu?

Walotushinda wenzetu wote wazungu waloijenga Ulaya na waarabu waloijenga Dubai kwenye jangwa ni akili au welevu?
Naona sasa unaanza kunielewa safi sana! ..sisi ni werevu kupita maelezo na asikudanganye mtu wazungu... waarabu wanatuogopa mno! ndo maana wanatumia nguvu nyingi kutuua

.........walioijenga Ulaya yoote .USA yoote. Dubai yako hiyo ni watumwa weusi tii!kifupi mitaifa yenye nguvu Duniani ilijengwa na watumwa weusi tuu tena!

Kutoka Africa! jiulize tu kwa nini, wauza watumwa wali Target Africa tu zaidi!! wakt kwingine kooote kuna watu?? hata alexander ali--target AFRICA kwa nini?...ubora wa Rasilimali watu...

OK! turudi kwenye mada!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…