Labda kama Kuna Kenya nyingine tofauti na hii niliyoishi. Kenya na Tz hazitofautiani sana kimaendeleo.Mtoto wa masikini Kenya anaenda kwenye shule bora za umma kuliko Tanzania, Kenya fursa za ajira nzuri tofauti ni nyingi ndani ya nchi hadi nje ya nchi kutuzidi,
Wafanya biashara ndogo ndogo wanafanya bishara zao katika mazingira mazuri kuliko Tz, muuza mboga barabarani wa Kenya ana unafuu mkubwa wa maisha ukilinganisha na wa Tanzania
Huo ukabila wa Kenya ni story za kufikirika na propaganda zaidi,Kenya walitakuwa kuwa juu zaidi ,nimeishi kenya maana pia nimekaa mpakani.
Kenya wana maendeleo ila sio nchi nzuri ...Kenya kuna ubaguzi wa wazi ndugu yangu kuna makabila ukizaliwa basi una nuksi mazima hata furaa hupati usiwe mkamba ,mkisii ,wakale
Tunafanana nao kwenye vipengele vipi??Labda kama Kuna Kenya nyingine tofauti na hii niliyoishi. Kenya na Tz hazitofautiani sana kimaendeleo.
Nimeishi kenya na kukaa mpakani sehemu inaitwa Daluni ,kule ukabila ni hatari sio nchi ya kukaaa .kabisa kama umezoea Tanzania .Huo ukabila wa Kenya ni story za kufikirika na propaganda zaidi,
Jaji mkuu wa saa wa Kenya ni Mmeru, Rais ni Mkale, mkuu wa majeshi ni Mjaluo, Speaker wa bunge ni Mluhya
Wakenya hawana utu kabisaNairobi mchana kweupe unaweza kuwekewa pistol kwa kificho ukapelekwa kusikojulikana kama una pesa
Ukabila mwingi na rushwa iliyokithiri
Nimepita na sanduku langu moja tu, uhamiaji ananiambia hii biashara ya nguo?
Anatafuta rushwa ya nguvu yaani hawana haya wala aibu kwenye rushwa
Uganda wapole nimepita Kampala wao wanakuambia home watoto wanataka kuku 😄 hapo lazima umpe hata $10
Nimeishi kenya na kukaa mpakani sehemu inaitwa Daluni ,kule ukabila ni hatari sio nchi ya kukaaa .kabisa kama umezoea Tanzania .
Kenya ni ovyo kabisa haswa unakuta mtu anapewa huduma kwa kuitwa jina la kabila "utasikia huyu mkikuyu"
Labda Mombasa na Nairobi ila kaunti zilizobaki ni
Daluni ni Tanga, TanzaniaNimeishi kenya na kukaa mpakani sehemu inaitwa Daluni ,kule ukabila ni hatari sio nchi ya kukaaa .kabisa kama umezoea Tanzania .
Kenya ni ovyo kabisa haswa unakuta mtu anapewa huduma kwa kuitwa jina la kabila "utasikia huyu mkikuyu"
Labda Mombasa na Nairobi ila kaunti zilizobaki ni chefu.
Nimekaa hapo kenya wanaingilia sana na hayo maeneo walikuwa wanakuja sana ,tena wapo kibao tulikuwa tunachek nao mpira .Daluni ni Tanga, Tanzania
Naongezea pia Katiba bora.GDP yao ni $billion 115, sisi ni 86
Wana viwanda vingi kutuzidi,
Huduma bora za afya kutuzidi,
Shule bora kutuzidi
Benki kubwa zaidi Africa mashariki ziko Kenya
Mtandao wa simu ulioenea kila mahali
Huduma bora za digital kutuzidi
Demokrasia bora kutuzidi
Barabara, bandari na Airports bora kutuzidi.
Sababu gani zinakufanya useme hawana utu kabisa?Wakenya hawana utu kabisa
Childish argument,Nimekaa hapo kenya wanaingilia sana na hayo maeneo walikuwa wanakuja sana ,tena wapo kibao tulikuwa tunachek nao mpira .
Pale wanaitana majina kwa makabila haswa wakisii wanadharaulika ,mtu akiwa mshiirikina utasikia mkamba huyo hata kama sio mkamba.
Kenya huwezi kufananisha na Tanzania , wakenya wana roho mbaya wanafanana na watu wa kaskazini haswa kweny ubaguzi ..Sababu gani zinakufanya useme hawana utu kabisa?
Wana moja ya katiba bora sana duniani.Naongezea pia Katiba bora.
Kenya hamna diversity kubwa makabila machache ndio tatizo ...Tanzania makabila kibao , narudia Tz ina mikao miwili yenye ubaguzi basi sasa nenda kenya kila jimbo lina sheria zake usije kushangaaChildish argument,
Hapa Tanzania yenyewe Wasukuma, Wachaga, watu wa pwani na karibia makabila yote yanataniana mambo ya ajabu ajabu tu. Kuna wanaosemwa ni wezi sana hata wakipewa nchi wataiuza, kuna wanaosemwa ni wavivu sana, kuna wanoitwa washamba sana, kuna wanaoitwa wachawi sana n.k
Watu wa Kaskazini wa nchi gani??Kenya huwezi kufananisha na Tanzania , wakenya wana roho mbaya wanafanana na watu wa kaskazini haswa kweny ubaguzi ..
Tz wanafanana na wakenya kwa roho ,kenya sio sehemu nzuri kwanza wanatumaind sana sisi watanzania ilihali hatuna tatizo nao .Watu wa Kaskazini wa nchi gani??
Tanzania ardhi sio ishu? Migogoro ya ardhi kila kona ya nini kama ardhi sio ishu??Kiufupi kule ardhi ni ishu halafu wanasiasa wana nguvu sana labda kwa watu weupe.
Sasa nakuambia hapa Tz vijana wanafanya biashara wadogo wanashika pesa ila sio kenya ...Kule kutoboa sio rahisi makampuni makubwa ya nje yana HQ zao hakuna biashara za kuchuuza kwa sana kutoka nje...Hata wanaofanya wengi wana mkono mrefu wa kisiasa.Tanzania ardhi sio ishu? Migogoro ya ardhi kila kona ya nini kama ardhi sio ishu??
Tanzania wanasiasa hawana nguvu?? Uchawa umeotokea wapi kama wanasiasa hawana nguvu?