Waafrika tunabaguliwa sana. Tupende vya kwetu. Mtoto huyu ilivyonyanyapaliwa

Waafrika tunabaguliwa sana. Tupende vya kwetu. Mtoto huyu ilivyonyanyapaliwa

Mtoto mweusi arukwa Kavalishwa medali mbele ya camera. Imagine what is happening behind the camera? hawa watu wa nje wanatubagua sana waafrica.

Ndo maana Magufuli alisema tupende n vya kwetu. .. huko nje hatupendwi hata kidogo

View attachment 2762688
Huwa najiuliza ivi Waafrica wanao kimbilia Nchi za ulaya na Uarabuni wako timamu kweli?? Wananyanyasika na kudharauliwa kama wanyama, lakini bado wameng'ang', ania kukaa huko.

Kuna wengine hasa Africa Magharibi na Kaskazini kila mwezi lazima wazame na boat, kisa wanavuka bahari kuingia ulaya! Pathetic
 
Back
Top Bottom