Hellow Afrika!!
Afrika na wanae wanapitishwa tena katika moto Ili kuwasaidia kurudi kuijenga Africa Yao tena,
Ni kama tu tai, akitaka kumfunza kifaranga chake kuruka, huondoa nyasi Ili miiba Imchome aruke na kuanza safari ya kujitegemea.
Wazungu wanatoka ulaya kuja kufanya KILIMO na kufungua makampuni Africa, kuchimba dhahabu ardhini,waafrika wanatelekeza utajiri ,wanazamia meli kwenda uzunguni kufaidi JASHO na utajiri wa wazungu walioupata Afrika na kurudisha nchini mwao, sasa kwanini waafrika wasijenge Nchi zao?
Kufutiwa misaada ya madawa, kufutiwa misaada na mikopo ni njia njema ingawa ni ngumu, itasaidia kuwafanya viongozi wa Afrika waache wizi wa Kodi za wananchi, matumizi ya anasa, na kutumia vyema raslimali zao kunufaisha Nchi zao.
Muda umetosha Waafrika mmepata Maarifa ya kutosha ughaibuni, fungueni kampuni mbalimbali , fanyeni tafsiri za kisomi Kwa Elimu na Maarifa mliyopata ughaibuni, ninafurahi mnaporudishwa nyumbani tena Kwa kufukuzwa maana hamkusoma alama za nyakati.
Kuna wakati Ili ufikie mafanikio Yako, ni muhimu ukataliwe, ufukuzwe KAZI, uteswe nk nk, sasa huu ni muda sahihi Mungu anataka kuiinua Africa ifikie viwango vya juu kiuchumi, kisiasa, kijamii nk nk
Mungu Mbariki Nabii wako Donald Trump.
Mungu tubariki Afrika,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Afrika na wanae wanapitishwa tena katika moto Ili kuwasaidia kurudi kuijenga Africa Yao tena,
Ni kama tu tai, akitaka kumfunza kifaranga chake kuruka, huondoa nyasi Ili miiba Imchome aruke na kuanza safari ya kujitegemea.
Wazungu wanatoka ulaya kuja kufanya KILIMO na kufungua makampuni Africa, kuchimba dhahabu ardhini,waafrika wanatelekeza utajiri ,wanazamia meli kwenda uzunguni kufaidi JASHO na utajiri wa wazungu walioupata Afrika na kurudisha nchini mwao, sasa kwanini waafrika wasijenge Nchi zao?
Kufutiwa misaada ya madawa, kufutiwa misaada na mikopo ni njia njema ingawa ni ngumu, itasaidia kuwafanya viongozi wa Afrika waache wizi wa Kodi za wananchi, matumizi ya anasa, na kutumia vyema raslimali zao kunufaisha Nchi zao.
Muda umetosha Waafrika mmepata Maarifa ya kutosha ughaibuni, fungueni kampuni mbalimbali , fanyeni tafsiri za kisomi Kwa Elimu na Maarifa mliyopata ughaibuni, ninafurahi mnaporudishwa nyumbani tena Kwa kufukuzwa maana hamkusoma alama za nyakati.
Kuna wakati Ili ufikie mafanikio Yako, ni muhimu ukataliwe, ufukuzwe KAZI, uteswe nk nk, sasa huu ni muda sahihi Mungu anataka kuiinua Africa ifikie viwango vya juu kiuchumi, kisiasa, kijamii nk nk
Mungu Mbariki Nabii wako Donald Trump.
Mungu tubariki Afrika,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏