Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Waafrika/watu weusi tuna matatizo gani?

Mkuu vizuri, basi naomba uwe tayari kuelewa na sio kubishana.
Naomba tuende kwenye mzizi wa tatizo elimu, uchumi, sayansi mbovu kwa watu weusi
ni matokeo ya mda mrefu sana.
Tuaanzie kwenye kipengele cha IQ.
ni kweli muafrika akipelekwa katika mazingira sawa yaani shule anayosoma mzungu na muafrika
akasoma hapo, muafrika atakuwa wa mwisho!?
Naomba twende kwa mfumo wa swali na jibu
Sawa mkuu, kwanza kabisa mimi sipo kubishana hapa bali nipo kupokea elimu kutoka kwenu wadau kutokana na msingi wa swali toka awali.

Karibu.
 
Mkuu una energy. Huyo ana majibu yake tayari hata umueleze vipi sijui kama atakubali
Mkuu wewe si umeona huu mjadala hauku fai ya nini sasa kusumbua wengine walio tenga muda wao kwa ajili ya hili swali ?
 
Asante
 
Sawa mkuu, kwanza kabisa mimi sipo kubishana hapa bali nipo kupokea elimu kutoka kwenu wadau kutokana na msingi wa swali toka awali.

Karibu.
Unaamini muafrika akienda kusoma shule ya wazungu atakuwa wa mwisho
kwa sababu ya IQ ndogo!?
 
Sababu kubwa ni kuwa Sisi ni kenge kwenye msafara wa Mamba(wazungu).
Mungu katuumba na low IQ sana hata kama humu tunajiita ma GREAT THINKER.
Kuna uwezekano mkubwa Plan ya Mungu amuumbe binadamu Mzungu sisi tumetokeza tu.
Ila wazungu wenyewe wanasema kuwa binadamu wa kwanza ametokea Africa.

Soma African Exodus, The Seven Daughters of Eve na Guns, Germs and Steel.
IMG_20230208_222603.jpg
 
Tuki katiwa misaada tutafika walipo wazungu na waasia ?
Tutafika hata na zaidi ya hapo, ukizoea kusaidiwa akili inashindwa kufanya kazi vizuri kwa kuwa unajua yupo wa kuumiza akili kukusaidia
 
Mkuu iko hivi tunalingana kila kitu na wazungu, sisi tulicho wazidi tunaviongozi
wa hovyo.
Chukua nchi zote zilizoendelea linganisha viongozi wake na wetu.
Wazungu wanapigania race yao sisi tunapigania matumbo na familia zetu.
Kwani hao viongozi wa hovyo tulio nao wanatokea wapi ? Na hao viongozi bora walio nao wazungu na waasia wana tokea wapi ?

Karibu.
 
Back
Top Bottom