clemsha789
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 198
- 335
TB JOSHUA HAKUNA ANAYEFOKA ILA NI UKWELI UNAAMBIWA.Sasa unafokafoka nini. Punguza kelele.
Leo mnajidai mnajali maisha ya watu wa Nigeria? Afrika? Since when?
Tulia.
Punguza ukasuku. Unapiga makelele kama HN Unafikiri ukiwa unatusi hivyo ndio unatoa point?
Utapigishwa deki tu kwa Wazungu wakimaliza kukutumia. Tulia.
Ila tb joshua Mungu anamuona.yote hayo kisa hela tu.?
Ushahidi gani walioutoa
Umeona hao mashahidi wenyewe?
Siku zote wanawake wakizungu wakikosa pahali pa kugawiwa pesa, wanalazimisha kwa kurusha na kutoa tuhuma.
hovyo kabisa
Charles wa Uingereza ni kiongozi wa Dini. Dini ya kishetani.
Mizezeta ya Uingereza haisikii lolote, huwaambii lolote, unafikiri kwanini?
Yatoke kwao kwenda Nigeria kutafuta nini kama sio kwrnda kuanzisha taharuki?
Anyways, ni tabia iliyo ndani ya damu zao. Kila wakati akitokea kioo wa Mwafrika, wao huja na Character assasination. There is no coincidence.
Wale wanawake waliliwa matunda yao kimasihara wakachanganyikiwa, leo hii mke wake TB kashika usukani wamekosa pa kuchumia, wamekimbilia kwao na nye nye nye kibao
This is a trend ya wanawake wazungu kila mahali walipo Waafrika walio succesful. Hovyo
Hadi binti yake?Wale wanawake waliliwa matunda yao kimasihara wakachanganyikiwa, leo hii mke wake TB kashika usukani wamekosa pa kuchumia, wamekimbilia kwao na nye nye nye kibao
This is a trend ya wanawake wazungu kila mahali walipo Waafrika walio succesful. Hovyo
TPeli tu kama manabii wenu wa hukuAlikuwa ndie Nabii mkuu wa Africa ndie kawapa upako manabii wengi waafrika.wa bongo anajulikana,
Siangalii hiyo Aljazeera zaidi ya miaka 10 ..Huo mda kifupi sina..Aljazira wangetoa wa hyo documentary usinge panga
Mwisho manabii wote hao ni matapeli
Ova
Hapo yesu itakuwa alikosea bana hakuna nabii wa uongo watu wamefanya miujuza tukashuhudia anakuaje nabii wa uongo?
TB joshua anafilisiwa tupo hapa mtaona hiyo ndio timing yake , inaonekana ana mali mpaka ulaya maana alikuwa njema kweny pesa.Zamani sana niliacha pia kuamini habari zao.
Jamaa wanabase upande mmoja.
Nadhani ni mtindo wao wa kutaka kufatiliwa zaidi. Maana kama hawajakudaka kwenye kumnanga TB Joshua basi watakudaka kwenye kuinanga katoliki, wakikukosa huko watawananga waislam, waafrica au raisi anaependwa sana nk.
Watu huyobtulimjuwa ni tapeli way backUkijiingiza kwenye information war ya identity crisis, kunakuwa na facts na wanaopinga facts kwa sababu yabidentity.
Kwenye saikolojia kuna kitu kinaitwa "cognitive dissonance". Hii hali hutokea pale mtu anapoonabukweli unapingana na imani yake, lakini anaendelea kushikilia imani yake na kupingana na ukweli.
Kwa mfano, mtu anatoka Mwenge Dar es salaam, anataka kwenda Kariakoo Dar es salaam. Lakini badala ya kuelekea kusini, anaelekea kaskazini, anapita Lugalo, anapita Kawe, anapita Tangi Bovu, anapita Africana, anapita Tegeta, anaanza kuona kama anakoenda siko, lakini anajipa moyo kwamba anaelekea upande sawa, soko la Kariakoo liko mnele kidogo tu hapo, after all, ameshasafirinumbali mrefu sana, lazima soko litakuwa karibu.
Kumbe anaelekea upande tofauti na kila anavyozidi kusafiri ndivyo anavyozidi kuliacha soko la Kariakoo mbali zaidi.
Watu wengi wanapinga ripoti za BBC kwanza bila hata kuangalia hizo video. Wanapinga kwa "identity war" tu. Ni kama mtu akimshambulia baba yako na kumuita mjinga, unaweza kupigana naye bila kujali kwamba alichosema ni kweli au la.
Hawa watu wengi wanaona baba yao TB Joshua kashambuliwa, wanaishambukia BBC. Identity war tu.
Ukifuatilia zile video, wale watu walivyoongea, walivyo wengi, walivyotoka nchi nyingi, mpaka mtoto wa TB Joshua alivyosema, jinsi TB Joshua alivyokuwa ana fake mirackes tangu zamani tunavyojua, jinsi alivyokuwa mtu wa kutafuta shortcuts mpaka akajenga ghorofa lililoanguka, jinsi alivyozuia waokoaji wasiokoe watu, jinsi wafuasi wake wa karibu walivyokubali madudu aliyoyafanya, jinsi mpaka serikali ya Nigeria ikivyokubali TB Joshua kajenga jumba kiholela.
Utaona kuwa only a fanatic fighting identity war with cognitive dissonance would defend TB Joshua.
This is identity war fueled by cognitibe dissonance.
TB Joshua tulimjua ni tapeli siku nyingi tu, kabla BBC hawajammulika.
BBC wamejazia nyama tu kwenye skeleton kwa expose yao.
HABARI ZA TB JOSHUA NAZIONA KWENYE SURA MBILI.
1. TAARIFA HIZI ZIMEKUJA KUPOTEZEA TAARIFA ZA PAPA KURASIMISHA NDOA ZA MASHOGA KWENYE KANISA LAKE.
2. SASA TUCHUKULIE TUHUMA HIZI NI ZA KWELI, AFUFULIWE? ASHITAKIWE?
JE KWA NINI SASA NA SI KIPINDI ALIPOKUA HAI?
ETI MTU ANA KWENDA KANISANI ANABAKWA, ANARUDI NYUMBANI.
KESHO TENA ANAKWENDA ANATESWA, ANARUDI NYUMBANI
HALAFU NAKWENDA TENA ANANYANYASWA ANARUDI NYUMBANI!
SASA HAPA TATIZO LA NANI?NABII AU MUUMINI?
JE LENGO LA BBC NI KUTAKA WAAFRICA WAWAEPUKE MITUME NA MANABII?
JE NI KWELI WAFUASI WA MITUME NA MANABII NI MAZOMBIES? HAYANA FAHAMU, HAYANA AKILI?
HAPO KENYA TAPELI PAUL MACKENZIE, KASABABISHA VIFO VYA WATU 428 MBONA BBC HAIJAIPA KIUPAUMBELE ZILE HABARI?
Wapmbv ni wengiYaani Dunia imekuwa ya utani utani tu siku hizi
Unatengeneza hela kiulaini
Mara mwingine anasema anyonywe dhambi zake [emoji1]
Ni ujinga wa hali ya juu.Watu huyobtulimjuwa ni tapeli way back
Naona kuna watu humu bado wanaamini tp Joshua alikuwa anafanya miujiza
Ova
Haya tuachane na Nigeria turudi hapa kwetu na huyu wa kwetuSasa unafokafoka nini. Punguza kelele.
Leo mnajidai mnajali maisha ya watu wa Nigeria? Afrika? Since when?
Tulia.
Punguza ukasuku. Unapiga makelele kama HN Unafikiri ukiwa unatusi hivyo ndio unatoa point?
Utapigishwa deki tu kwa Wazungu wakimaliza kukutumia. Tulia.
Sasa huo unabii feki mpaka aje aseme Mwanamke wa Kizungu ndio Uamini? Hilo linadhihirisha umekamatwa kufikiria kwa uwezo wako na kudadavua unabii wake. (Una ukasuku) Yani mpaka unamuita Mbwa! Yebo
Kwanza wachana na Yesu ambaye hakuwepo pale Nigeria(Sic) manake kama angekuwepo(in spirit or physically, according to your state of mind) miujiza isingetokea. Au? That is another topic. Lakini miujiza ilitokea and Documented.
BBC ni mchonganyishi, BBC is predominantly controlled by white men. A white woman is part of a White Supremacy mindset they co-exist kwa kila kitu wanachokifanya.
According to my Friend ambaye ameandika extensively kuhusu White Women in Europe and America, nita mnukuu anasema
Kwa msingi huo, na ukizingatia historia ya BBC na Uzungu wake, propaganda zake etc ndipo napopata nguvu ya kusema
- 'Mwanamke wa Kizungu anaweza kuwa kitu chochote, lakini hapaswi kukiuka kanuni ya msingi ambayo ni lazima azingatie overtly or tacitly, acceptance of white supremacy. She must be commited to whiteness, i.e she is biogenetically, politically, socioeconomically, and culturally white' mwisho wa kunukuu