Waafrika waungana kuishambulia BBC mitandaoni. Kweli nimeamini dini ni kitu hatari zaidi ya bomu la nyuklia

Waafrika waungana kuishambulia BBC mitandaoni. Kweli nimeamini dini ni kitu hatari zaidi ya bomu la nyuklia

Wale wanawake waliliwa matunda yao kimasihara wakachanganyikiwa, leonhii mke wake TB kasika usukanibwamekosa pa kuchumia, wamekimbilia kwao.

This is a trend ya wanawake wazungu kila mahali walipo Waafrika walio succesful. Hovyo
Labda kama ingekuwa imeanza sasshiv kweli ingekuwa maslahi.
Ila muda tu ila zikawa zinazimwa kwa nguvu ya pesa.

Mbio za sakafuni hizo muda ni mwalimu mzuri yule mbwa alikuwa hana miujiza yoyote zaidi ya utapeli na umalaya.

Yesu alisema manabii feki watatokea ndio hawa, kupinga hilo ni unampinga yesu.
 
Nimetazama documentary zote tatu. Nimetokwa machozi. Nafikiri hata lile tukio la kule Kilimanjaro lililouwa watu lichunguzwe.
Kwa kweli KAMA YASEMWAYO NI KWELI. Basi TB JOSHUA ni katili, muuaji, mbakaji, mnyanyasaji...
Ila kama wasemavyo wanasheria, everyone is innocent until proven guilty by the law...
Ila inatisha Kwa kweli...
 
Labda kama ingekuwa imeanza sasshiv kweli ingekuwa maslahi.
Ila muda tu ila zikawa zinazimwa kwa nguvu ya pesa.

Mbio za sakafuni hizo muda ni mwalimu mzuri yule mbwa alikuwa hana miujiza yoyote zaidi ya utapeli na umalaya.

Yesu alisema manabii feki watatokea ndio hawa, kupinga hilo ni unampinga yesu.
Daaaah, unamuita mwanadamu mwenzio Mbwa?
 
Hii ni cha mtoto, hiyo documentary ya kumchafua TB Joshua , let's say wangekugusa imani ya kiislam hakuna rangi wangeacha kuona kwa waislam duniani. Wanajua hilo hawawezi kufanya uchunguzi wa imani hiyo hao BBC
 
Takribani ni siku nne sasa BBC inarusha makala za kuonyesha hujuma zilizofanywa na mhubiri TB Joshua.
TB Joshua ndiye chachu iliyozaa manabii karibu wote Afrika na nje ya Afrika kwa zama ya Leo.
Hivyo ukimgusa TB Joshua ni sawa na kuwagusa manabii na mitume wote wa Afrika.
Wafuasi wa mitume na manabii waijia juu BBC.
Wengine wakiahidi kuwa hawataamini tena habari yoyote itakayotolewa na BBC,
Wengine wanaitabiria anguko BBC.
Dini ni hatari zaidi ya bomu la nyuklia.
Katika vitu ambavyo mwanadamu anapaswa kuwa makini anapoongea ni pale atakapoongea jambo linalohusu dini l/njia au Imani.
Asilimia 100 ya watu wanaowafuata hao waongo wanaojiita wahubiri sijui mitume, walimu, nabii, sijui wachungaji au maaskofu ni wagonjwa wa akili: wameharibikiwa kihisia, ni wagonjwa wasio na elimu ya magonjwa, na watu waliokosa akili ambao hawawezi kujua matatizo yanayowapata yanatokana na nini.

Kuna mambo mawili yanajitokeza kutokana na hali hii ilivyo na inavyoendelea kwenye jamii yetu hasa Afrika.

Jambo la kwanza ni elimu. Kwa sababu ya kukosa na kutokuwa na uelewa wa mambo na elimu ya vitu, asilimia 99 ya watu (waafrika) wamejiingiza katika mambo ambayo hawakuwa wanayajua vyema, na sasa yanawatesa kihisia, kisaikolojia na kimwili huku wakiwa hawajui wafanye nini. Kwa kuwa hawawezi kutoka humo wanabaki kuwa watu wa kutangatanga wakitafuta faraja kwa yeyote anayewatangazia faraja (anayecheza na hisia zao).

Jambo la pili ni tatizo la afya ya akili. Kwa kadiri hali ilivyo Afrika kwamba: makundi makubwa makubwa ya watu wanaowafuata hao wanaojiita manabii, mitume, walimu, wachungaji na maaskofu, ni wazi kuwa Afrika tatizo la afya ya akili ni kubwa sana. Hawa maelfu ya watu kote Afrika na duniani wanaokwenda kutafuta huduma kwao wana matatizo ya akili - ni wagonjwa wa akili; ambao wameharibikiwa kihisia na ambao hawana elimu ya magonjwa na elimu ya biashara na fedha.
 
Takribani ni siku nne sasa BBC inarusha makala za kuonyesha hujuma zilizofanywa na mhubiri TB Joshua.
TB Joshua ndiye chachu iliyozaa manabii karibu wote Afrika na nje ya Afrika kwa zama ya Leo.
Hivyo ukimgusa TB Joshua ni sawa na kuwagusa manabii na mitume wote wa Afrika.
Wafuasi wa mitume na manabii waijia juu BBC.
Wengine wakiahidi kuwa hawataamini tena habari yoyote itakayotolewa na BBC,
Wengine wanaitabiria anguko BBC.
Dini ni hatari zaidi ya bomu la nyuklia.
Katika vitu ambavyo mwanadamu anapaswa kuwa makini anapoongea ni pale atakapoongea jambo linalohusu dini l/njia au Imani.
BBC ni wapuuzi
Mbona hawaweki zile zinazoonyesha lady Bisola alishafanya anachofanya sahivi! Tbj akiwa hai, akashindwa akaishia kuomba msamaha?

Watuondelee ujinga!
Huwa naona waafrika wanaishitumu BBC kuwa haipendi mweusi asifiwe kwenye Chochote,popote ila mzungu, ss nimeamini ndo maana kagame aliwatimua Rwanda.
Kila kitu kizuri ni Cha mzungu!

Nasubiri kuona mwisho wa hili!
Bisola ulifeli vby sana,this time itakuwa worse
 
Back
Top Bottom