Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
 
Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
Tatizo tumewaabudu mno, kila kitu kwao,
 
Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
Binafsi ninaamini kwamba Mwafrika anamchukia Mwafrika mwenzake kuliko ile Chuki aliyo nayo mtu mweupe dhidi ya Mwafrika..

Angalia jinsi viongozi wetu wanavyojijali wenyewe na wasivyo jali maendeleo ya Nchi na wananchi kwa ujumla. Mtu akipata madaraka anataka umtukuze kama Mungu, ole wako umpe changamoto yeyote utamkoma..

Wacha Wazungu watudharau tu maana tumewapa hicho kibali wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini wasitufananishe na wanyama aisee
 
Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
Alafu utakuta mke wako ametoka kumtoa mtoto Kliniki na amepata chanjo ya Kwashakoo..Pepopunda..Kifaduro na mengine mengi.
Kwamaana hiyo wewe unataka wenzako wafanye ugunduzi na kila kitu ila Africa wawe wanatumia tu dawa bila kuchangia chochote?
Akili mgando kweli; yaani CORONA ndo ionekana mbaya kuliko tafiti zingine? Basi Afrika ifanye tafiti ili tuache kulialia.
 
Wangekuwa na nia mbaya wasingechukua wakimbizi wa kiafrica wakaishi kwao,hizo ni hisia mfu,hakuna raslimali yeyeto nchi yeyeto Africa wameitaka wameikosa tena tukiwapelekea wenyewe kuuza kwao.Chanjo huwa ujaribiwa kwa mataifa yote na si waafrika pekee ili iwafae jamii zote duniani huwa wanaangalia kwa mazingira ya joto,baridi,nk huwa inakuaje ili watangazapo itibu wote thus dawa ya malaria atumiae mwafrika ndio hio hio umtibu mzungu,mwarabu,mchina,mhindi.
 
Labda ifanye tafiti za kuwamaliza wapinzani maana vipaumbele vya watawala wa kiafrica sio maendeleo ya kutatua shida za waafrika bali kupambana na upinzani hii iko Africa nzima ya weusi.Haya ya wasiojulikana, kubambika kesi,kufilisi,kuuwa,kupiga risasi ni copy na paste utayasikia Rwanda,Burundi,Zimbabwe, Uganda, Mali,Cameroon, Sudan, Nigeria Africa nzima.
 
True hata matendo ya unyama watufanyiayo hawa wakoloni weusi mkoloni mweupe hakuwahi mtendea mwafrika.Nipase Kusema laiti dunia hii wasingekuwepo hao yaani wabaki waafrika na waarabu kusingekalika duniani. Mwarabu katili,mwafrika roho mbaya hio collable ni zaidi ya nyuklia.Watawala wa kiafrica wanaoga the Hague na kunyimwa misaada bila hivo wangetugeuza bucha usiku na mchana.
 
It cannot be true, tell me that you are an agent of neo colonialism [emoji20][emoji20][emoji20]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zimwi likujualo halikuli ukakwisha mkuu[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatuna university hospital unategemea nini
 
Na wewe hauna hoja, badala useme tupigane tujenge uchumi imara tusiwategemee wazungu wewe unaongelea mambo ya maabara tu kama vile maabara ndio kila kitu. Ni upuuzi tu huo.
 
hii chanjo haiji tu afrika ni majaribio ya dunia nzima kila kanda ya bara inatestiwa, na sio afrika pekee.!
 
Unaweza kujitolea kufanyiwa majaribio wewe kama wewe, pia inaruhusiwa.

Natamani sana itangazwe nijitolee wa kwanza ili niokoe Afrika yangu, maana kwa umaskini huu wa Afrika, hiki kirusi siku kikichanganya njia kije vizuri Afrika, tutazika mamilioni.

Tuacheni ujinga wa kuwasema wazungu ilhali hapa tumekaa hovyoo tukisubiri mpaka siku mzungu atagundua dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…