Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
 
Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
Tatizo tumewaabudu mno, kila kitu kwao,
 
Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
Binafsi ninaamini kwamba Mwafrika anamchukia Mwafrika mwenzake kuliko ile Chuki aliyo nayo mtu mweupe dhidi ya Mwafrika..

Angalia jinsi viongozi wetu wanavyojijali wenyewe na wasivyo jali maendeleo ya Nchi na wananchi kwa ujumla. Mtu akipata madaraka anataka umtukuze kama Mungu, ole wako umpe changamoto yeyote utamkoma..

Wacha Wazungu watudharau tu maana tumewapa hicho kibali wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi ninaamini kwamba Mwafrika anamchukia Mwafrika mwenzake kuliko ile Chuki aliyo nayo mtu mweupe dhidi ya Mwafrika..

Angalia jinsi viongozi wetu wanavyojijali wenyewe na wasivyo jali maendeleo ya Nchi na wananchi kwa ujumla. Mtu akipata madaraka anataka umtukuze kama Mungu, ole wako umpe changamoto yeyote utamkoma..

Wacha Wazungu watudharau tu maana tumewapa hicho kibali wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
lakini wasitufananishe na wanyama aisee
 
Afrika tulikosea wap?
Corona ianzie kwao!
Kufa wafe wao!
Majaribio yafanyike kwetu?

Haki ya Mungu tena mm hyo chanjo labda niwe nimekufa ndo wanichanje.
bdo kna viumbe wanamwabudia mzungu akupe demokrasia! Maendeleo,Haki n.k?haaaaahaa
Alafu utakuta mke wako ametoka kumtoa mtoto Kliniki na amepata chanjo ya Kwashakoo..Pepopunda..Kifaduro na mengine mengi.
Kwamaana hiyo wewe unataka wenzako wafanye ugunduzi na kila kitu ila Africa wawe wanatumia tu dawa bila kuchangia chochote?
Akili mgando kweli; yaani CORONA ndo ionekana mbaya kuliko tafiti zingine? Basi Afrika ifanye tafiti ili tuache kulialia.
 
Wana JF,

Baada ya kusoam makala fulani nimeona wazungu wanavyotuandama kwa ubaguzi, na hawako na nia njema wanataka tufe tuishe waje wajichukulia mali kama ilivyo kawaida yao. mada za kibaguzi hawazifichi wanazisema laive bila kupepesa macho.

Tangu kuingia kwa Covid 19 kumekuwepo tetesi za kufanyiwa majaribia kwa waafrica dawa zao pia na hcanjo mbali mbali ambazo huwa wanatupa. Kuna siku tutakuta maafrica wengi tumezaa mazezeta maana mtoto yeoyote azaliwaye ni lazima apate chanjo tano.

soma hii habari.
Two French doctors have been accused of racism after a TV debate in which one suggested trials in Africa to see if a tuberculosis vaccine would prove effective against coronavirus.

During the debate on TV channel LCI, Camille Locht, head of research at the Inserm health research group, was talking about a trial in Europe and Australia.

Jean-Paul Mira, head of intensive care at Cochin hospital in Paris, then says: “If I can be provocative, shouldn't we be doing this study in Africa, where there are no masks, no treatments, no resuscitation?”

“A bit like as it is done elsewhere for some studies on Aids. In prostitutes, we try things because we know that they are highly exposed and that they do not protect themselves.”

Dr Mira had earlier questioned whether the study would work as planned on healthcare workers in Europe and Australia because they had access to personal protective equipment to prevent them catching the virus.

Didier Drogba plays for Chelsea in 2014
Image copyrightGETTY IMAGESImage captionDidier Drogba, pictured playing for Chelsea in 2014, was among those to voice concern
“You are right,” Dr Locht responded.

"We are in the process of thinking about a study in parallel in Africa," he said, referencing the existing trials in countries in other continents.

What has the reaction been?
The comments received an angry response on social media, including from former footballers Didier Drogba and Samuel Eto’o.

“I would like to vividly denounce those demeaning, false and most of all deeply racist words,” Drogba tweeted.

“Do not take African people as human guinea pigs! It’s absolutely disgusting,” he added.

Skip Twitter post by @didierdrogba

17.1K people are talking about this


Report
End of Twitter post by @didierdrogba
Presentational white space

Eto'o called the doctors "murderers".

But Inserm said in a statement that the video was “the subject of erroneous interpretations”.

“Clinical trials to test the efficacy of the BCG vaccine against Covid-19 are... about to be launched in European countries and in Australia,” it said.

“If there is indeed a reflection around a deployment in Africa, it would be done in parallel with these. Africa must not be forgotten or excluded from research because the pandemic is global."

On Friday Dr Mira apologised for his comments, saying in a statement released by his employer: "I want to present all my apologies to those who were hurt, shocked and felt insulted by the remarks that I clumsily expressed on LCI this week."
Wangekuwa na nia mbaya wasingechukua wakimbizi wa kiafrica wakaishi kwao,hizo ni hisia mfu,hakuna raslimali yeyeto nchi yeyeto Africa wameitaka wameikosa tena tukiwapelekea wenyewe kuuza kwao.Chanjo huwa ujaribiwa kwa mataifa yote na si waafrika pekee ili iwafae jamii zote duniani huwa wanaangalia kwa mazingira ya joto,baridi,nk huwa inakuaje ili watangazapo itibu wote thus dawa ya malaria atumiae mwafrika ndio hio hio umtibu mzungu,mwarabu,mchina,mhindi.
 
Alafu utakuta mke wako ametoka kumtoa mtoto Kliniki na amepata chanjo ya Kwashakoo..Pepopunda..Kifaduro na mengine mengi.
Kwamaana hiyo wewe unataka wenzako wafanye ugunduzi na kila kitu ila Africa wawe wanatumia tu dawa bila kuchangia chochote?
Akili mgando kweli; yaani CORONA ndo ionekana mbaya kuliko tafiti zingine? Basi Afrika ifanye tafiti ili tuache kulialia.
Labda ifanye tafiti za kuwamaliza wapinzani maana vipaumbele vya watawala wa kiafrica sio maendeleo ya kutatua shida za waafrika bali kupambana na upinzani hii iko Africa nzima ya weusi.Haya ya wasiojulikana, kubambika kesi,kufilisi,kuuwa,kupiga risasi ni copy na paste utayasikia Rwanda,Burundi,Zimbabwe, Uganda, Mali,Cameroon, Sudan, Nigeria Africa nzima.
 
Binafsi ninaamini kwamba Mwafrika anamchukia Mwafrika mwenzake kuliko ile Chuki aliyo nayo mtu mweupe dhidi ya Mwafrika..

Angalia jinsi viongozi wetu wanavyojijali wenyewe na wasivyo jali maendeleo ya Nchi na wananchi kwa ujumla. Mtu akipata madaraka anataka umtukuze kama Mungu, ole wako umpe changamoto yeyote utamkoma..

Wacha Wazungu watudharau tu maana tumewapa hicho kibali wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
True hata matendo ya unyama watufanyiayo hawa wakoloni weusi mkoloni mweupe hakuwahi mtendea mwafrika.Nipase Kusema laiti dunia hii wasingekuwepo hao yaani wabaki waafrika na waarabu kusingekalika duniani. Mwarabu katili,mwafrika roho mbaya hio collable ni zaidi ya nyuklia.Watawala wa kiafrica wanaoga the Hague na kunyimwa misaada bila hivo wangetugeuza bucha usiku na mchana.
 
It cannot be true, tell me that you are an agent of neo colonialism [emoji20][emoji20][emoji20]
Wangekuwa na nia mbaya wasingechukua wakimbizi wa kiafrica wakaishi kwao,hizo ni hisia mfu,hakuna raslimali yeyeto nchi yeyeto Africa wameitaka wameikosa tena tukiwapelekea wenyewe kuuza kwao.Chanjo huwa ujaribiwa kwa mataifa yote na si waafrika pekee ili iwafae jamii zote duniani huwa wanaangalia kwa mazingira ya joto,baridi,nk huwa inakuaje ili watangazapo itibu wote thus dawa ya malaria atumiae mwafrika ndio hio hio umtibu mzungu,mwarabu,mchina,mhindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zimwi likujualo halikuli ukakwisha mkuu[emoji3]
True hata matendo ya unyama watufanyiayo hawa wakoloni weusi mkoloni mweupe hakuwahi mtendea mwafrika.Nipase Kusema laiti dunia hii wasingekuwepo hao yaani wabaki waafrika na waarabu kusingekalika duniani. Mwarabu katili,mwafrika roho mbaya hio collable ni zaidi ya nyuklia.Watawala wa kiafrica wanaoga the Hague na kunyimwa misaada bila hivo wangetugeuza bucha usiku na mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatuna university hospital unategemea nini
 
Na wewe hauna hoja, badala useme tupigane tujenge uchumi imara tusiwategemee wazungu wewe unaongelea mambo ya maabara tu kama vile maabara ndio kila kitu. Ni upuuzi tu huo.
 
hii chanjo haiji tu afrika ni majaribio ya dunia nzima kila kanda ya bara inatestiwa, na sio afrika pekee.!
 
Unaweza kujitolea kufanyiwa majaribio wewe kama wewe, pia inaruhusiwa.

Natamani sana itangazwe nijitolee wa kwanza ili niokoe Afrika yangu, maana kwa umaskini huu wa Afrika, hiki kirusi siku kikichanganya njia kije vizuri Afrika, tutazika mamilioni.

Tuacheni ujinga wa kuwasema wazungu ilhali hapa tumekaa hovyoo tukisubiri mpaka siku mzungu atagundua dawa.
 
Back
Top Bottom