Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
at anya rate lazima watu wawe tested .... kwa taratibu zinazokubalika duniani
We ndo hauna mchango wowote Duniani.
Unahisi bila walivyotufanya na wanavyoendelea kutufanya Waafrika hao unaowaabudu wangefika hapo walipo?
Kama wako vizuri sana kwenye uvumbuzi wa chanjo waanze kujijaribia huko wenyewe waliokumbwa na madhara zaidi yetu.
Haya wewe tupe hiyo dawaTambueni ya kwamba kuna mtego ktk hili na tunapaswa kuikataa hiyo chanjo,labda kwa mtu asiyekua mchunguzi wa kina juu ya ugonjwa husika na ugumu wa miili ya waafrika
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Mtuunganishe nao sasa,Ambao mko tayari nendeni mkafanyiwe majaribio
Ila kwa tunaojua maana ya hizo biological experiment tunaungana na Etoo.
Hivi Hawa Etoo na huyu mwenziwe wao ndio wamekua wasemaji wa waafrica?
Waafrica ni watu wa ajabu sana, Hatuna mchango wowote kwenye maendeleo ya ulimwengu halafa tunang'ang'ania lazima tupewe heshima sawa. Nikama vile wanawake wanaodai usawa wakati ni tegemezi tu.
Tuache kulalamika.
[emoji122][emoji122][emoji91]Acha kufanya Nisha wanawake na waafrika. Kama uko na mke au mama tegemezi basi jua kuna wanawake wanahangaika kutafutia maisha mazuri watoto wao bila kutegemea mtu. Anahakikisha watoto wake wanapata elimu, malazi, chakula na matibabu mazuri kitu ambacho government nyingi za Africa zimeshindwa ku provide kwa watu wake.
Hujaelewa mantiki ya kutufanya chamboNgumu SANA kuwaridhisha...wana-wa-Adam.
Wakiwa wa mwisho kosa, wamebaguliwa, wakiwa wa kwanza pia kosa wanategwa, wakiachwa kabisa ndiyo usiseme...
Tutafika taratibu...
Everyday is Saturday.................... 😎